Nakubali, ila strategy ziwe halisi. Tuangalie kwenye kura nyingi tusi waudhi wasikilizaji. Naamini Mh Lissu angefika mapema Nyamagana jana hapange tosha.. Watu wengi waliondoka baada ya kuchelewa. Halafu wakio baki wanaona mgombea ana lazimishwa kumaliza mkutano na Rpc.. Think that way...
Na inapo tokea wamechelewa kuwe na muda wa kuomba radhi kwa wahudhuriaji with reasons.. TutaelewekaWell, Lissu hutumia muda mwingi wa kampeni zake kuhutubia wananchi wa miji midogo kwa sababu uelewa wao haulingani na wanaokaa miji mikubwa, ndio maa mikutano yake huwa ya mwisho katika miji mikubwa. Hata hivyo ratiba inabana na naamini team ya kampeni imeshaliona hilo na halitatokea tena.
Chadema ni wababishaji mkuu,Time management.. Kama jana kuingia Mwanza late sio sawa. Mwanza mjini kuna kura, sio mahali pa kuhutubia kwa dakika tano. Watu wamesubiri muda mrefu kuwasikiliza halafu mna wavunja moyo kwa hotuba fupi. Mna shindwa hata kuwatambulisha wagombea ubunge na udiwani.. Tumieni muda vizuri..
Hapo umechemsha. Kila kitu kinafanywa with purpose and plan.Chadema ni wababishaji mkuu,
Ndio maana huwa tunasema hawafai kuongoza nchi,
Nakuhakikishia wakiingia ikulu hawatamaliza hata miezi wananchi watawaondoa kwa nguvu.
Kipimo kidogo tu ni ofisi waliyonayo, unaweza sema sio lazima lakini how on earth chama kinachotaka kuongoza nchi hakina makazi ya kudumu, kutokuwa na makazi ya kudumu hizo ni hulka za kipigaji.
Acheni uongo ma-BAVICHA! Hii video naijua ni Birthday ya mzee Mtei huko Marangu mwaka 1992! Kwanini mnaedit picha?!😂🤣Nasikia kanda maalum wameshaanza pilikapilika.
Kwenye suala la akili na uwezo Lissu anamzidi mgombea wa ccm kwa mbaaali sana. Nadhani kwenye hili hata Magu moyoni anajua hivyo.... nimesikiliza kikao chake na waandishi muda mfupi uliopita; kwa kweli ni chakula bora cha ubongo!
Anaongoza kura za maoni za wapi? Humu Jf? Uongo wa kipuuzi ambao haukisaidii Chadema. Na watu kama nyie ndio mnachangia Chadema kufanya vibaya.Yule Mgombea wa Urais anayeongoza kura za maoni Mh Tundu Lissu leo tena anaendelea kukutana na wananchi kwa lengo la kuwaomba kura , ambapo leo atahutubia baadhi ya maeneo ya Mkoa wa Mwanza na baadaye ataingia mkoani Mara
Kama kawaida yetu leo tena tutaendelea kuwaletea yote yanayojiri kote anakopita .
Endelea kubaki hapa hapa JF kwa taarifa za Uhakika
View attachment 1581211
========
Tukichukua nchi, mnahamia Ufipa, sisi tunachukua Lumumba! Piga maselfie ya kukutosha, una less than a month kuwa hapo!Chadema ni wababishaji mkuu,
Ndio maana huwa tunasema hawafai kuongoza nchi,
Nakuhakikishia wakiingia ikulu hawatamaliza hata miezi wananchi watawaondoa kwa nguvu.
Kipimo kidogo tu ni ofisi waliyonayo, unaweza sema sio lazima lakini how on earth chama kinachotaka kuongoza nchi hakina makazi ya kudumu, kutokuwa na makazi ya kudumu hizo ni hulka za kipigaji.
Kama alizuiwa igoma watu wamelala njiani awataki aondoke mlitaka afanye ajeTime management.. Kama jana kuingia Mwanza late sio sawa. Mwanza mjini kuna kura, sio mahali pa kuhutubia kwa dakika tano. Watu wamesubiri muda mrefu kuwasikiliza halafu mna wavunja moyo kwa hotuba fupi. Mna shindwa hata kuwatambulisha wagombea ubunge na udiwani.. Tumieni muda vizuri..
Hata huku JF, kuna Watanzania ambao ni wapiga kura pia!Anaongoza kura za maoni za wapi? Humu Jf? Uongo wa kipuuzi ambao haukisaidii Chadema. Na watu kama nyie ndio mnachangia Chadema kufanya vibaya.
Kubali ushauriAmeshakujibu leo kua ratiba hii ilikua ya chopa ambayo ccm wamemzuia rubani.....
Walaumu ccm sio Tundu Lissu..... Btw watz tayari wameshamuelewa sn mpaka sasa.... Ni km anakamilisha ratiba tu na kusalimiana na wananchi
Nimeuliza kura zipi za maoni?Hata huku JF, kuna Watanzania ambao ni wapiga kura pia!
Nimekujibu hata akiongoza humu JF, nako kuna Watanzania pia!Nimeuliza kura zipi za maoni?
Ndio maana nasema ni upuuzi usio na msaada kwa Chadema.Nimekujibu hata akiongoza humu JF, nako kuna Watanzania pia!
Viwanja vya michezo Je? Tulilipia toka kwenye mishahara yetu, pombe, guest house n.k. Leo si vyetu tena.Hapo umechemsha. Kila kitu kinafanywa with purpose and plan.
Ofisi karibu zote Ccm inazo miliki wamewaibia Watanzania. Hata mimi nilichangia kuzijenga wakati wa chama kimoja.
Ccm ikazipora wakati wa kuanzishwa kwa vyama vingi.
Ukiwauliza Ccm ofisi walizo jenga baada ya vyama vingi unaweza usipate hata moja.
Kama Ccm wasinge kuwa wezi mali zote za kabla ya vyama vingi zilitakiwa zirudi serikalini waanze fresh kama vyama vingine. Hebu wapeni Chadema hiyo miezi miwili muone Tanzania itakavyo paa..
Mfano chukueni kwenye halmashauri zilizo ongozwa na upinzani. Hakuna hati chafu, na maendeleo yako tofauti na halmashauri za mchwa Ccm.
Kama rubani kakataliwa kwa sababu ya sheria hatutakiwi kulalamika. Kwamba pilot wa helkopter Tanzania ni huyo babu tuu?? Tusiwe watu wa kulalamika. Tuwe watu wa kutafuta majibu.
Sijajua kama unalia au unalalamikaAnaongoza kura za maoni za wapi? Humu Jf? Uongo wa kipuuzi ambao haukisaidii Chadema. Na watu kama nyie ndio mnachangia Chadema kufanya vibaya.
Huu utetezi wa kitoto Sana kwamba eti hamna makazi ya kudumu kwakua mnasubiri muitoe CCM madarakani ili mchukue ofisi zake??Tukichukua nchi, mnahamia Ufipa, sisi tunachukua Lumumba! Piga maselfie ya kukutosha, una less than a month kuwa hapo!
Lissu yuko vizuri siyo lile gudulia lile!... nimesikiliza kikao chake na waandishi muda mfupi uliopita; kwa kweli ni chakula bora cha ubongo!
Mwaka huu mtakojoa damu kama ng'ombe anaugua Babesiosis!Chadema ni wababishaji mkuu,
Ndio maana huwa tunasema hawafai kuongoza nchi,
Nakuhakikishia wakiingia ikulu hawatamaliza hata miezi wananchi watawaondoa kwa nguvu.
Kipimo kidogo tu ni ofisi waliyonayo, unaweza sema sio lazima lakini how on earth chama kinachotaka kuongoza nchi hakina makazi ya kudumu, kutokuwa na makazi ya kudumu hizo ni hulka za kipigaji.