Yanayojiri kwenye Sakata la Mwalimu kumchapa kikatili Mwanafunzi wa Shule ya Msingi Wilayani Kyerwa, Kagera

Daaah! Hii ni hatari na wazazi wenyewe hali za maisha duni. Hawawezi hata kufikisha malalamiko yao sehemu za juu maana hakuna anayewasikiliza. Daah inasikitisha
 
OMG!, huu ni zaidi ya ukatili.
 
Mimi ni mwl 12+yrs plus ila Sina ujasiri wa kupiga mtoto hvyo,naadhibu inapostahiki ,nashirikisha wazazi 100%kwa Kila mtoto ,nawajua wanafunzi wanguu wore nnaowafundisha ukizingua nadeal na wewe kama inavyostahiki ila Sio kupiga kama naua nyoka,mkuu wa Shule akitaka taarifa za mwanafunzi yoyote msumbufu ananiita Mimi kwanza nimueleze then ndo hukumu zinatoka
Hawa watoto wanatoka backgrounds tofauti hatujwa walimu tuwafanyie ukatili,au tulipize tulivyofanyiwa tuko pale kama walezi,wazazi na washauri wao
Sipo kazini Kwa sasa watoto wananimiss juzi mmeenda mmekutana na watoto waeacha Shule Kwa visa TU vya walimu nimeumia mnooo, wanafunzi wananiambia madam ungekuepo ningemaliza Shule Mimi ila daahh mwl Fulani Ndo kasababisha nsimalize Mimi,walimu sisi wengi ni wakatili Mimi nachokipigania mwanafunzi yoyote yule hata awe mvuta bangi ukimtreat fair anakuelewa vzr Sema walimu hatuna saikolojia ya kweli
Wanafunzi wanapigana Mimi nikifika wanaacha,wanafunzi wa form 1 wanaporwa wakija kushtaki naenda Kwa wale wezi wa vidato vya juu huko machimboni nikifika wakiniona utaskia"oohh dogo katuchomesha shika begi Lako bwana hutaniwi"

Nakataa ukatili wa kijinsia Kwa wanafunzi walimua tuache

Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
 
Hayo mamlaka mkuu wa shule anayatoa wapi? Tatizo ni kupewa vyeo kwa kuhonga ila kichwani hamna kitu.

Sent from my CPH2239 using JamiiForums mobile app
Anayatoa kwake mwenyewe Kwa maamuzi yake wakuu wa Shule wanajichukulia sana sheria mkononi,wananyanyasa sana wanafunzi na wazazi haswaa wakiona huna nguvu,kinachosaidia sehemu kama Dar uelewa ni mkubwa ila mikoani Hali ni mbaya sana
Yanatokea na yapo pia mengi maovu TU,mwl anaweza mrudisha Mtoto darasa kirahisi tu

Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
 
Kama mwanao nilisugu wakwetu hawawezi kupigwa ivyo adhabu zipo na sheri mahali pakuchapa panajulikana kwaiyo ww unaona anapo chapa ni sahihi??????
Kwani amekufa?,mbona watu wanapigwa kwenye viganja na hamsemi,sasa kiganjani na unyayoni kuna utofaut gan
 
Mm siwez nikawa hapo staff nikavumilia icho kinacho tendeka....ova!
Japo sometimes hao watoto wanaweza kukupiga tukio mpka ukapanic.....
Mbona wazungu walisha abolished Stick in their school....
All in all Mungu ni mwema na Mwaminifu wakati wote.....
Usilete habari za wazungu hapa Tandale
Mkuu
Pamoja na kila kitu lakini kumfukuza mwalimu kazi ni kumkosea

Sent from my TECNO KC8 using JamiiForums mobile app
 
Askari nao vituoni humo huwa wapiga watuhumiwa hivihivi but sijawahi ona waziri was mkuu was mkoa akikemea?
 
Uko sahihi ila soma niliyemjibu hapo ujue hoja gani nimendika
 
tena ukiwa na stress na una hekima zako kwa kazi ya ualimu wala huwezi kwenda kazini.
 
Ngoja tuone kama mchukua video atachukuliwa hatua kama yule mteknolojia wa maabara[emoji848]
 
Jamii ya ajabu sana hii, hamtaki wanafunzi wapewe adhabu, haya tusilalamike huko mbele ya safari.
 
Huyo mbwa bado yuko hai?!, mimi naogopa sana siku nitakuja kuua mtu kwa mambo kama haya, nilishapiga mama wa mtoto wangu hadi akajikolea na kuzimia juu kwa ushenzy kama huu, mola aniepushe kwa kweli, mtoto aadhibiwe kwa mipaka, mpige kwa mkono tu bila silaha yeyote tena miguuni tu na si kwingine
 
Ingekua mwanangu ndio amefanyuwa hivi, huyu mwalimu hata kama serikali imemchukulia hatua bado ningemtengua kiuno walah, singemuacha hivihivi.

Huu ni unyama uliopitiliza
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…