Kyakashombo
Senior Member
- Oct 13, 2018
- 151
- 232
Hapana usilete udini! Jaribu kujenga hojaBila shaka huyu ticha muislam anafikiri hao watoto wanajinni mpk awachape unyayoni
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hapana usilete udini! Jaribu kujenga hojaBila shaka huyu ticha muislam anafikiri hao watoto wanajinni mpk awachape unyayoni
Yaani ...japo ni kweli kuna wanafunzi wakorofi, lakini baadhi ya walimu wanatoa adhabu kali sana. Haziendani na utuYale anayoyasema mpwayungu village naanza kuona picha. Hizi ni stress kutokana na mambo ayasemayo mpwayungu.
Kwani kamuua, kuna vitu vya msingi vya kushadadia na sio hizo mambo za maskuli mnapigwa kodi zenu na viongozi wa juu mpo kimya ila upuuzi ndo mnaupazia sautiAcha kutetea uovu! Angekuwa ni Mwanao anafanyiwa kiyendo kama hicho ingekuwaje
Hayo ni matumizi sahihi ya simu janja.Na huu utandawazi sichapi mtoto wa mtu mimi,wajibu wangu ni kufundisha tu. Nawaza huyo aliyerekodi video kwanini asingeacha kurekodi na akaenda kuamulia au kukaelekeza hako ka teacher kasifanye ujinga huo?
HaipingwiYale anayoyasema mpwayungu village naanza kuona picha. Hizi ni stress kutokana na mambo ayasemayo mpwayungu.
Anaonekana ni mgeni kazini na ndyo unamsumbuawatumishi wenzake huko TRA wanachapa posho nzito yeye anajichosha kuchapa wanafunzi ambao wakipata matatizo unakuwa matatani.
Kiafya siyo nzuri baadae miguu inajaa maji.Hi nchi ngumu sana kuishi yaani kila mtu anafanya anavyoona inafaa, hakuna utaratibu maalum
Hii adhabu ni kubwa mno, unyayoni panauma haswaa