kipara kipya
JF-Expert Member
- May 2, 2016
- 18,833
- 23,276
Anguko gani chapo anaongoza kwa kura nyingi!Naona anguko hilo kwa waleeeee
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Anguko gani chapo anaongoza kwa kura nyingi!Naona anguko hilo kwa waleeeee
Kuna uhusiano wa uyasemayo na kuuawa kwa mwana sheria na mshauri wa Mondlane na kiongozi wa chama kinachounga mkono Mondlane kwa kumiminiwa risasi?
Graca Machel mjane wa Samora Machel / mke wa Nelson Mandela na serikali ya America watoa tamko la kulaani mauaji ya wanachama wawili wa chama cha PODEMOS wakili Elvino Dias na Paulo Guambe
View: https://m.youtube.com/watch?v=5nA4jPXeLqw
Waangalizi wa uchaguzi wa Mozambique kutoka Jumuiya ya Ulaya EU:
“Kazi yetu Umoja wa Ulaya ni kukusanya, kuchambua na kuchakata taarifa bila kuingilia mchakato wa uchaguzi.
Kila siku tunakutana na vyama vya siasa, tume na wasimamizi uchaguzi, vyombo vya habari, mashirika ya kiraia, na wapiga kura katika kila wilaya ya mkoa wetu. Ni kazi inayohitaji shauku na udadisi kuhusu tamaduni zingine”.
The European Union Election Observation Mission in Mozambique 2024:
View: https://m.youtube.com/watch?v=5tUBznmuDqQ
“Our job is to collect, process and analyse information without interfering in the process. Every day we meet with political parties, electoral bodies, media, civil society, and voters in every district of our province. It’s a job that needs interest and curiosity about other cultures”.
October 3, 2024
H. E Dr. Amani Abeid Karume launches the SADC Electoral Observation Mission to the Republic of Mozambique’s Presidential, Legislative and Provincial Elections
The SADC Head of Mission to the Republic of Mozambique’s 9 October 2024 National and Provincial elections, H. E. Dr. Amani Abeid Karume, Former President of Zanzibar, officially launched the SADC Electoral Observation Mission (SEOM) at a ceremony held in Maputo today.
The launch was attended by several key stakeholders, which included Ambassadors and High Commissioners accredited to the Republic of Mozambique, Representatives of the Mozambican Government, the National Electoral Commission (CNE) and the Technical Secretariat for Election Administration (STAE), Political Parties, Religious Leaders, and Members of the Civil Society, Local and International Observation Missions and partners from the Media Houses.
The launch ceremony was followed by the official sending-off of the SADC observers, during which the SEOM leadership stressed the importance of implementing all aspects of their training as they observe and report on the pre-election, election day, and post-election processes.
H. E. Dr. Karume underscored that the SADC Electoral Observation Mission would assess the conduct of the elections against the revised SADC Principles and Guidelines Governing Democratic Elections (2021), which the SADC Member States adopted. These include, among others, the full participation of citizens in the democratic and development processes, enjoyment of human rights and fundamental freedoms such as freedom of association, assembly and expression, measures to prevent corruption, bribery, favouritism, political violence, intimidation and intolerance, equal opportunity for all political parties to access the State Media, and the assurance of access to information to all citizens on election matters.
The Head of Mission commended the works of the SADC Mission in Mozambique (SAMIM), which served to address the terrorist insurgency in Northern Mozambique. He also welcomed the assurance and commitment of the Mozambican government to guarantee that the gains achieved by SAMIM are safeguarded.
He went on to applaud the efforts of the Mozambican Defence Forces and other security agencies in ensuring that, like all Mozambicans, the people of the affected areas in Northern Mozambique managed to register to vote and fully participate in the electoral process despite their security challenges.
The SEOM leadership further wished the people of Mozambique a peaceful and calm election and called “upon all registered voters to turn out peacefully and cast their votes on the 9th October 2024. In the remaining days to this important date, SADC also calls upon all political stakeholders in Mozambique to act maturely, respect divergent political views, and exercise responsibility during the elections and in the post-election phase”.
For his part, Professor Kula Ishmael Theletsane, Director of the Organ on Politics, Defence and Security Affairs, underscored the importance of the conduct of elections and election observation Missions, noting how “the common aspiration of transforming the SADC region into a fully integrated space which safeguards prosperity for all relies heavily on its overall resilience in commanding democracy, good governance, peace, and stability”, as exemplified in the manner we conduct elections.
The SEOM arrived in Mozambique on 24 September 2024 and will be in the country until 20 October 2024 to observe the elections following the revised SADC Principles and Guidelines Governing Democratic Elections (2021).
The Mission comprises 97 personnel, of which 52 observers will be deployed. The observers for SEOM Mozambique come from 10 SADC Member States, namely, Angola, Botswana, the Democratic Republic of Congo, Eswatini, Malawi, Namibia, South Africa, United Republic of Tanzania, Zambia, and Zimbabwe. They will be deployed to all 11 Provinces of Mozambique, namely, Cabo Delgado, Gaza, Inhambane, Manica, Maputo City, Maputo, Nampula, Niassa, Sofala, Tete and Zambezia.

A terceira declaração pós-eleitoral à imprensa da MOE UE Moçambique.
Encontre-a aqui 👇: https://t.co/RD9o7OmCbX
Taarifa ya tatu ya EU EOM Msumbiji kwa vyombo vya habari baada ya uchaguzi.
Ipakue hapa 👇: https://t.co/KkJ1Ln5EBB @lauballarin pic.twitter.com/sYOq2xxuBh
— MOE UE Moçambique 2024 (@moeueMozambique) Oktoba 25, 2024
Lini anaapishwa?
Wasanii wasikose msafara siku ya kuapishwa Daniel Chapo hapo Maputo.Huko Msumbiji wanatarajia kufanya uchaguzi Mkuu tarehe 09 Oktoba 2024. Huku Mgombea wa FRELIMO Komredi Daniel Chapo (47) akitarajia kushinda kwa kishindo. Maana huko Msumbiji Upinzaji upo taabani kama tu hapo Tanganyika. FRELIMO bado ina nguvu sana kama CCM.
# Waangalizi wa kimataifa wakiwemo wale wa African Union, wakiongozwa na Makamu wa Rais wa Zamani wa Angola Mheshimiwa Bornito de Sousa Baltazar Diogo tayari wamewasili nchini Msumbiji.
***Chapo ana tabia kama za jiwe hivyo Fillipe Nyusi usisahangae akafikishwa mahakamani kama si kufilisiwa.
NB: Air Tanganyika andaeni Boeing 787 Dreamliner kubeba makada na Wasanii kwenda kwenye uapisho wa Rais Mpya, Maputo.
Soma Pia: MSUMBIJI: Tume ya uchaguzi imekiri kuwa kuliwepo na dosari kadhaa wakati wa uchaguzi mkuu
Baraza la makada wa FRELIMOBado hadi matokeo hayo yapitishwe na Baraza la Katiba baada ya kusikiliza mapingamizi ya upinzani, ingawa hiyo ni utaratibu lakini Baraza halitegemewi kubadilisha chochote dhidi ya chama dola kongwe FRELIMO