Heaven on Earth
JF-Expert Member
- Mar 21, 2013
- 37,226
- 26,687
Kibo10 marehemu alikuwa hajaoa bado?
huyu steve nyerere natumaini hajawekwa kwenye kitengo cha rambirambi maana huyu mtoto mkavu kabisa kwenye hela.
Jaman nani kazimiaaa kuzid wotee
Dokii analia kwa uchungu hapa..........
hivi huyu aliyekuwa anamtia gundu caz t mwana wa komba bado yupo?
mfikishieni salaam tunazinduwa hotel ya ghorofa ya caz t mwana wa komba.
bogota, Mexico, Uruguay na Brazil woyeeeeeeeeee!!
Caz T yuko wapi.........
Wolper kazimia................
kabebwa kwenye machela
Dokii analia kwa uchungu hapa..........
kamrithi madame
dokii naeee!mmmhhhhh!
shuguli za mazishi ndio zimemalizika makaburini
watu wanatawanyika sasa
yuko hapahapa saridalama na mambo yake iko super kabisa kama siyo diesel.
ukifika mitaa ya ukonga mombasa ndio utapata data zake jinsi maisha yanavyoweza kuchange, yule kahaba nadhani atakuwa anaumia sana moyoni maana baada ya kupigana chini ndio kama kamfungulia neema caz t.