Penye nia pana njia nguvu ya umma ikiamua hakuna linalo shindikana!

..ukaandamane Dodoma huo umati utatoka wapi?

..Na waandamanaji inabidi wawe vijana wa hali ya chini, wenye nguvu, lakini hawana ajira, au kipato cha uhakika.
 
Vijana wa Kenya(GenZ) siyo w kupuuziwa tena. Wamefanikisha maandamano miji mikuu yote ya Kenya na zaidi kulazimisha wabunge kujificha kwenye mahandaki chini ya jengo la bunge. Way forward wajipange kuanzisha chama cha vijana -wanachukua nchi asubuhi mapema.
 
Jommo Kenyata aliwahi kusema 1961, kuongoza Kenya ni sawa na kuongoza mgonjwa MAHUTUTI siku akipona lazima adai haki yake, ila kuongoza Tanzania ni sawa na kuongoza MAITI, haiwezi kuamka kudai haki yake inasubiri kuzikwa tu. nimethibitisha hilo Jamaa alikuwa sahihi 💯
 
Bora ningezaliwa KENYA
I LOVE KENYA
 
Angekuwa ni yule Gavana wa Dar Es Salaam aliyekuwa Kariakoo juzi, angekenua hadi jino la mwisho na kuomba akina Afande Mwita wapandishwe vyeo. 🤣

I wishi I kudu bi Aijipiii
 
Angekuwa ni yule Gavana wa Dar Es Salaam aliyekuwa Kariakoo juzi, angekenua hadi jino la mwisho na kuomba akina Afande Mwita wapandishwe vyeo. 🤣

I wishi I kudu bi Aijipiii
Ombeni siku moja nchi iongozwe na race hiyo na awe Muslim, mwenye imani kama huyo gavana, hamtajutia. Hapo angelikua mnigga unafikiri nini kingetokea! Japo sio wote wabaya
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…