Yanayojiri Maandamano ya Gen Z Kenya
Bado maiti za Tanzania kuanza kufanya civil disobedience na rebellion .
We ngoja tu ,hali ngumu ya maisha itatuforce kuingia barabarani ,tutake tusitake .
Tumeshindwa kuwawajibisha hawa mumiani wa ccm waliharibu hii nchi kwa miaka 60+ ,ila hali ya maisha itatuforce kuingia barabarani na wala si chama cha upinzani .
Hili linakuja Tz soon .
Ukiangalia jinsi serikali inavyokopa na kufanya mambo ya kipuuzi na ufisadi + kutowajibika .
Srilanka way
 
Bado maiti za Tanzania kuanza kufanya civil disobedience na rebellion .
We ngoja tu ,hali ngumu ya maisha itatuforce kuingia barabarani ,tutake tusitake .
Tumeshindwa kuwawajibisha hawa mumiani wa ccm waliharibu hii nchi kwa miaka 60+ ,ila hali ya maisha itatuforce kuingia barabarani na wala si chama cha upinzani .
Hili linakuja Tz soon .
Ukiangalia jinsi serikali inavyokopa na kufanya mambo ya kipuuzi na ufisadi + kutowajibika .
Srilanka way
 
Makamanda wa ufipa wao wanaweza kutumia vidole lakini linapokuja suala la maandamano wote wapo kwenye foleni za hospitall ni wagonjwa!
20240625_172457.jpg
 
Makamanda wa ufipa wao wanaweza kutumia vidole lakini linapokuja suala la maandamano wote wapo kwenye foleni za hospitall ni wagonjwa!
Maandamano ya Kenya hayahusu wapinzani wala wana siasa, hata Kule Sudani walio anzisha maandamano ya kumudoa ali Bashili sio wapinzani. Upinzani ni Ideology mjinga wewe, Upinzani sio Chama. CCM itang'oleaa na Raia aa kawaida walio choka na usanii na hadaaa za watawala
 
Maandamano ya Kenya hayahusu wapinzani wala wana siasa, hata Kule Sudani walio anzisha maandamano ya kumudoa ali Bashili sio wapinzani. Upinzani ni Ideology mjinga wewe, Upinzani sio Chama. CCM itang'oleaa na Raia aa kawaida walio choka na usanii na hadaaa za watawala
Kunywa maji utulie mpuuzi wewe!
 
Back
Top Bottom