Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwani nawe ni kamanda!..ungekuwa sio muoga usingekuwa CCM.🏃🏾♂️
Hapa Labda akina Boda 😂😂Makamanda wa ufipa wao wanaweza kutumia vidole lakini linapokuja suala la maandamano wote wapo kwenye foleni za hospitall ni wagonjwa!
sisi tunamuachia mpina apambane peke yakeNoma sana, vijana wameamka, Tz tunakwama wapi? Yaani tunashindwa kufight hata kupitia mtandaoni, ni huzuni!
Wewe hujakasirishwa na tozo!Hayo maandamano sio ya vyama bali ya wananchi waliokasirishwa na muswada kandamizi wa fedha .
Sawa kipara kizee?
Sawa tuungane tukaibe mwenge!..hapana.
..mimi niko uv-ccm.
Makamanda wa ufipa wao wanaweza kutumia vidole lakini linapokuja suala la maandamano wote wapo kwenye foleni za hospitall ni wagonjwa!
Ninafurahishwa nazo.Wewe hujakasirishwa na tozo!
Kweli saa mbovu kuna wakati husemaMakamanda wa ufipa wao wanaweza kutumia vidole lakini linapokuja suala la maandamano wote wapo kwenye foleni za hospitall ni wagonjwa!
Unajifungia kwako unategemea wengine wakupambanieMakamanda wa ufipa wao wanaweza kutumia vidole lakini linapokuja suala la maandamano wote wapo kwenye foleni za hospitall ni wagonjwa!
Ni wanajua nini wanafanya sio huku ingekuwa kila mmoja anaulizia wakiwa vitandani wanaandamana kwa vidole!Ila wakenya 🤣🤣
Siwaoni huku bongo x na jamii aaha kazi tunaiweza!Kweli saa mbovu kuna wakati husema
Ukweli
Kpara kipya Leo umesema ukweli
Lakini vijana wa Kenya wanasema hawajatumwa Wala kushirikishwa na wanasiasa
Huenda hii ikawa east Africa uprising
Itasambaa na huku bongo na nchi nyingine za east Africa
Ccm mjiandae
Tutawataight pala salenfer na tanzanite bridge
Fisi mkubwa wee!Unajifungia kwako unategemea wengine wakupambanie
Utanyooka 🤠😄
Kupigabia zako mpaka chama kikusaidie? Uko serious kweli?Alaa hakuna wanasiasa sasa makamanda kwanini wasifanye hayo!
Nasema twendeni tuvamie bunge si linaendelea wote sisi ni waathirika wa CCM!Kupigabia zako mpaka chama kikusaidie? Uko serious kweli?
Wewe ndio mpuuzi mlamba wanasiasa Ma.ta.ko, wewe ni bila kujipendekeza watoto wako hawaendu Chooni. mjinga weweKunywa maji utulie mpuuzi wewe!
Wasifu wako unauweka hadharani kuwa wewe ni mtu wa kujipendekeza!Wewe ndio mpuuzi mlamba wanasiasa Ma.ta.ko, wewe ni bila kujipendekeza watoto wako hawaendu Chooni. mjinga wewe