jogoo wa maajabu
JF-Expert Member
- Mar 4, 2018
- 773
- 1,589
watu wanataka haki wew unaleta ucrocodileSerekali yao inacheka na kima!,
Hao vijana wasirembeshwe rembeshwe....!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
watu wanataka haki wew unaleta ucrocodileSerekali yao inacheka na kima!,
Hao vijana wasirembeshwe rembeshwe....!
Mambo ya kutumia akili na diplomasia hayatatuliwi kwa virungu na risasi.Hao "efefiyuu"/"GSU" watakwama.tuwaazime FFU
Why? Kama wabunge hawasikii unadhani watumie lugha gani? Hii ni njia nzuri sana ya kutengeneza precedence kwa wanasiasa waliojisahau.Dimocracy has gone too far! This is unacceptable by any means.
Ndiyo suluhu kuu la matakwa yao kama wenye nchi?NKT!hao wakamatwe wote wakatiwe gerezani
Hiyo ilikuwa ni Zanzibar tu majuzi polisi waliwashambulia masai na masai wakajibu mapigo kwa bakora zao!tuwaazime FFU
Ule mwwenge umepumbaza wengi, ndiyo maana katika maisha yangu sijawahi kuuona kwa macho yangu zaidi kwenye picha tu,tangu nikiwa shule za chini nilikuwa nagoma kwenda kwenye shughuli za mwenge.Huku kwetu RC anatukana watu kwenye mkutano. Ama kweli Nyerere aliongoza maiti
😂😂😂Walimpaka ule unga wa wahindu(baniani) kwenye paji la uso kwa nguvu.Hiyo ilikuwa ni Zanzibar tu majuzi polisi waliwashambulia masai na masai wakajibu mapigo kwa bakora zao!View attachment 3025913
Mko busy sana na Habari za Kenya, hili ndio tunaliweza kwa asilimia 1000Sehemu ya Jengo la bunge la Kenya linawaka moto muda huu
Vijana waandamanaji wamevamia bunge hali ni tete sana
Source Citizens tv
Tuliandaliwa kuto kuhojiHuku kwetu RC anatukana watu kwenye mkutano. Ama kweli Nyerere aliongoza maiti
Kupitishwa miswada kandamizi ndio unacceptable.Dimocracy has gone too far! This is unacceptable by any means.
Siyo tu busy ila nipo hapa Nairobi tutusa wahed 🐼Mko busy sana na Habari za Kenya, hili ndio tunaliweza kwa asilimia 1000
Ukiwa mtumwa unafikiri kitumwa-tumwa tu.hao wakamatwe wote wakatiwe gerezani
Spika wa bunge bwana Wetangula katoroshewa kwenye ambulance!Mambo ya kutumia akili na diplomasia hayatatuliwi kwa virungu na risasi.Hao "efefiyuu"/"GSU" watakwama.