kipara kipya
JF-Expert Member
- May 2, 2016
- 18,833
- 23,276
Sawa mama!Unataka mwanaume mwenzako akupambanie, ukiwa umejifungia ndani
Kaandamane wewe kama ni rahisi
Utaolewa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sawa mama!Unataka mwanaume mwenzako akupambanie, ukiwa umejifungia ndani
Kaandamane wewe kama ni rahisi
Utaolewa
😁😁😁😁Sawa mama!
Stop the Cap Mzee!
Mbona hata Maza naye ni Mwarabu wa Oman lakini yanamshinda ?🤣🤣🤣
Lakini nchi imetulia, umesikia mtu kauawa na watu wasio julikana? Nawapongeza sana kwa maandamano hayo, japo nimesikitika kuna watu wameuawa.
Sisi huku tozo kibao, ushuru wa kuingiza magari upo juu sana, kodi zipo juu, yani we acha tu.
Mama ni wa kunyenyekewa na kuheshimiwa!😁😁😁😁
Kwa upole kabisa
Babako na mamakoSawa mama!
Sawa mama!Babako na mamako
BabakoSawa mama!
Kwann isitulie wakat inaliwa kwa urefu wa kamba za binadamuLakini nchi imetulia, umesikia mtu kauawa na watu wasio julikana? Nawapongeza sana kwa maandamano hayo, japo nimesikitika kuna watu wameuawa.
Sisi huku tozo kibao, ushuru wa kuingiza magari upo juu sana, kodi zipo juu, yani we acha tu.
Hahaha 🤣 🤣 🤣 🤣tunapozungumzia mikate tunazungumzia kula-kula.. huez ongeza ma coin kibao kwenye sekta ya misosi, ndomana Gen Z wamevamia bunge.. wamefinya matonge ubwabwa wa waheshimiwa ili waone n jins gan inauma kuleteana mazoea kwenye mahotpot!!
Ruto kashapumzishwa?Gen Z wamependekeza wafuatao kuongoza serikali ya mpito kabla ya Uchaguzi kufanyika;
1. Rais - Sakaja,
2 Naibu Rais - Irungu.
Sio kweli Rais wamempa Freddy Matiangi.Gen Z wamependekeza wafuatao kuongoza serikali ya mpito kabla ya Uchaguzi kufanyika;
1. Rais - Sakaja,
2 Naibu Rais - Irungu.
si kwa hiz mait za tzJirani akinyolewa?
Niko burundi afisasi kwa hiz mait za tz