Tetesi: Yanayojiri ndani ya Chama Cha Mapinduzi(CCM)

Labda mheshimiwa mkuu kashachunguza na kubaini hili kuwa tuhuma haina ukweli, ndio maana kanyamaza.
Kama tuhuma si za kweli kwanini asithibitisha? Wanavyoacha hili liendelee watu wanazidi kumunguza mmakonda, na wanaoathirika ni familia yake pia.
 
Pole sana
Hahaha
mtaendelea kuwadanganya wapuuzi!!
Uongo hapo ni upi? Kwamba hamna wanaomkataa saul au wanaomuunga mkono ndani ya ccm? Au siyo kweli kwamba bashite ana div 0? Kwako wewe ambae siyo wa kupuuziwa(mpuuzi) kudanganywa kukoje?
 
Kuna jambo dogo tu hapa wenye mamlaka walifanye, watamke ya kuwa Makonda hajafoji au kafoji.
Makonda ni kiongozi wa mkoa na mwenyekiti wa kamati ya ulinzi ndani ya mkoa ambao Rais anaishi, sasa anapohusishwa na jambo lolote lenye kuleta utata watu wasilete ushabiki wa vyama.
Kuna sheria ya mitandao iliyopitishwa na ccm na kusainiwa na ccm, kama Makonda ni Makonda hebu sheria hiyo ifanye kazi kwani tuhuma hizi zimeanzia huko na kama Makonda sio Makonda hebu wenye mamlaka wajipime kwenye hili.
Kama ni kweli Makonda sio Makonda basi miaka 5 au 10 sio mingi sana. Wanachosahau ni kuwa ''WATU WANAPITA ILA UTARATIBU UNABAKI'' Sasa mkificha leo akija mwingine baada yenu mtaonekana nanyin mlikuwa HOVYO kana mlivyowaita wa kabla yenu.
Makonda asimame ahesabiwe, serikali hii ilijiwekea utaratibu wa kukanusha hata taarifa ndogo tu sasa hili la Makonda wawaambie watu ukweli.
Makonda ni mkubwa saba kuliko sisi na ana maslahi makubwa sana kwa wanaohoji kwani ni kiongozi tena wa jiji.
 
Kwa style hii nchi itapelekwa kusikojulikana,dereva hajui anaelekea wapi,abiria wakimwelekeza hataki kusikia,hatari sana kwa usalama wetu
 
Kama upumbavu ingekua ni crime, UVCCM wengi wangekua rumande.
 
Uongo hapo ni upi? Kwamba hamna wanaomkataa saul au wanaomuunga mkono ndani ya ccm? Au siyo kweli kwamba bashite ana div 0? Kwako wewe ambae siyo wa kupuuziwa(mpuuzi) kudanganywa kukoje?
Du!! Rudia kusoma utumbo ulio uandika
 
Big brother amejitoa a kilo Kabila katakana seals hili
 
Mbona wengine waliambia waweke vyeti vyao hadharani baada ya tetesi kwamba vyeti vyao vilikuwa na ubabaishaji
 
Wewe ni kiazi
 
Wasomi mbalimbali kina nani?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…