Kama tuhuma si za kweli kwanini asithibitisha? Wanavyoacha hili liendelee watu wanazidi kumunguza mmakonda, na wanaoathirika ni familia yake pia.Labda mheshimiwa mkuu kashachunguza na kubaini hili kuwa tuhuma haina ukweli, ndio maana kanyamaza.
Uongo hapo ni upi? Kwamba hamna wanaomkataa saul au wanaomuunga mkono ndani ya ccm? Au siyo kweli kwamba bashite ana div 0? Kwako wewe ambae siyo wa kupuuziwa(mpuuzi) kudanganywa kukoje?Pole sana
Hahaha
mtaendelea kuwadanganya wapuuzi!!
GSM wamamwaga hela ya kutosha kumtetea mtu waoJPM hana meno ya kung'ata siku hizi au ndio mtu wake kaguswa anajifanya kama haoni?
Kweli bana....BASHITE MKUBWA WEWEMwongo na mmbea mkubwa, hata wewe bashite vilevile
Cha paul makondaLakini si ni chake BASHITE?
Ukizungusha inamaanisha nn?
Du!! Rudia kusoma utumbo ulio uandikaUongo hapo ni upi? Kwamba hamna wanaomkataa saul au wanaomuunga mkono ndani ya ccm? Au siyo kweli kwamba bashite ana div 0? Kwako wewe ambae siyo wa kupuuziwa(mpuuzi) kudanganywa kukoje?
Mwongo na mmbea mkubwa, hata wewe bashite vilevile
Tatizo serikali ni ile ileSERIKALI ITOE TAMKO SASA .UKIMYA WA NINI ?MSEMA KWELI SIO MPENZI WA MUNGU SASA ?
Sijui sisiemu mlilaaniwa na nani, vichwa vimejaq maji hadi kwenye ngazi za familia,Du!! Rudia kusoma utumbo ulio uandika
Taifa limeingia katika wimbi la udikteta,hili halitaki tochi,kwa wenye busara na akili timamu.Mwongo na mmbea mkubwa, hata wewe bashite vilevile
Wewe ni kiaziPorojo bin fedhuli hizo, Lema amewagomea Mbowe, Tundu na Lowasa, walivyomshauri afanye Press conference mbele ya ofici ya Chadema, kuwashukuru viongozi wa cdm, wanachama na wananchi.
Lema kawaumiza kwa kuwaambia kwanza ni lazima akashauruane na mkewe na wanae, na aligoma kupizwa officini kwanza,
Mpasuko CDM unazidi kuendelea
Wasomi mbalimbali kina nani?Taarifa za ndani za CCM ni kwamba mpaka sasa kumetokea mgawanyiko; wapo wanachama na baadhi ya viongozi wa CCM ambao wameunga mkono madai ya wananchi kuzitaka mamlaka zihakiki tuhuma dhidi ya Kada wa CCM na mkuu wa mkoa wa DSM bwana Paul Makonda almaarufu Daudi Bashite, juu ya vyeti vya kitaaluma. Na kundi lingine ambalo linaamini kwamba hata kama mkuu huyo alifeli darasa la saba au hata awe hakufika darasa la saba Kwa maslahi ya c...hama, akingiwe kifua.
Uongozi wa juu wa chama hicho umewaagiza wanachama kutokukuza madai hayo, na badala yake wajiandae Kwa mkutano mkuu wa CCM unaotarajiwa kufanyika mwezi huu wa machi, kama maandalizi ya kubadili katiba ya chama hicho, iendane na matakwa ya mwenyekiti wao Mhe. Magufuli. Wasomi mbalimbali na wachambuzi wa masuala ya kiiasa wamedai kuwa CCM inakoelekea, inarudi zama za 'Kudumisha fikra za mwenyekiti'.
Takribani wiki mbili sasa, mkuu wa mkoa wa DSM amekuwa gumzo kwenye vyombo vya habari, mitandao ya kijamii na mijadala mbalimbali, juu ya tuhuma dhidi yake, kwamba anatumia vyeti ambavyo sio vyake, mbali na kufeli kabisa mtihani wa kidato cha NNE Kwa kupata alama Sifuri, pia anasemekana alighushi vyeti.
Ndani ya CCM kinachoendelea ni kulazimishana na kuonyana kwamba wamuache Bashite aendelee na ukuu wa mkoa wasihoji taaluma yake na historia yake ya elimu.