Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Au exactly the opposite.Labda mheshimiwa mkuu kashachunguza na kubaini hili kuwa tuhuma haina ukweli, ndio maana kanyamaza.
Kufoji vyeti ni kosa la kuhujumu uchumi. Miaka zaidi ya 20Wanaogopa akikutwa kanunua vyeti jela miaka 7.
POVU LA NINI NDUGU????.... VYETI VIWEKWE HADHARANI UTATA UISHE...... MASLAHI YA CHAMAAA, MASLAHI YA CHAMA!!!!...… MASLAHI YA WANANCHI JE??????Mwongo na mmbea mkubwa, hata wewe bashite vilevile
Labda mheshimiwa mkuu kashachunguza na kubaini hili kuwa tuhuma haina ukweli, ndio maana kanyamaza.
Bnt tuliaa...acha kupanikMwongo na mmbea mkubwa, hata wewe bashite vilevile
Kwani kakosea nn mpak useme anabebwa?
Mkuu ngazi zako za juu zina matatizo jibu hoja ukisema umshambulie mtoa hoja utashambuliwa wangapi wenye mawazo kama haya juu ya bashiteMwongo na mmbea mkubwa, hata wewe bashite vilevile
HATA UKINIPA BERE CCM SICHUKUI
Wewe na yeye nani aliyekosea zaidi?? Bora yeye kakosea we umepelekewa kinyume na maumbile...Na nd maan umekosea damn