Raisi hawezi kumgusa kwa sababu anajua jamaaa ni mchapa kazi balaa.
Kivipi? Toa mifano walau miwili.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Raisi hawezi kumgusa kwa sababu anajua jamaaa ni mchapa kazi balaa.
Cheti kilichomfikia mkuu hakionyeshi amefeliHuyu makonda anabebwa sana na Ngosha
Mbna wengine wanaadhibiwa kwann huyu anabebebwa wakati alifeli?
GSMHao wanaotaka abaki ni wale wenye maslahi moja kwa moja na u-RC wake. Ukumbuke hapo kuna wenye tender, zabuni na mazaga zaga kibao na ndio hao wanaojitoa akili kumkingia kifua.
Kitwanga[emoji87]Father and son like.
Viroba hakuna sasa ww umetumia nn? Au umekula[emoji90] [emoji196]Porojo bin fedhuli hizo, Lema amewagomea Mbowe, Tundu na Lowasa, walivyomshauri afanye Press conference mbele ya ofici ya Chadema, kuwashukuru viongozi wa cdm, wanachama na wananchi.
Lema kawaumiza kwa kuwaambia kwanza ni lazima akashauruane na mkewe na wanae, na aligoma kupizwa officini kwanza,
Mpasuko CDM unazidi kuendelea
Lakini si ni chake BASHITE?Cheti kilichomfikia mkuu hakionyeshi amefeli
Sahihi. Maana kaiibia serikali mnooKufoji vyeti ni kosa la kuhujumu uchumi. Miaka zaidi ya 20
Hao wanaotaka abaki ni wale wenye maslahi moja kwa moja na u-RC wake. Ukumbuke hapo kuna wenye tender, zabuni na mazaga zaga kibao na ndio hao wanaojitoa akili kumkingia kifua.
Usikute ni kale katetesi ka mange kana ukweliMahaba aliyonayo ngosha kwa bashite ni ya kiwango cha lami.
Hata kuna mbunge alilalamika kwamba bashite amefikia hata kumpigia simu ngosha akiwa kwenye mikutano yake na kumweka loud speaker, hii inaonyesha ni kwa kiasi gani bashite na ngosha walivyokuwa na ukaribu, yaani ni kama mtu na mwanae vile.
Ila wahenga walisema mchelea mwana kulia iko siku atalia yeye