Yanayojiri sherehe ya harusi ya Mshana Jr Vs Demis!

Yanayojiri sherehe ya harusi ya Mshana Jr Vs Demis!

Acha kabisa, ila kama wachawi wameanza kweli kulewa, naona vigagula 2 au 3 wanasukumana na kunyoosheana vidole, wakitishiana, mmoja kamtishia mwenzake ataiweka papuchi kwa paji la uso! Aise ebu mtafuteni Mambosasa naona things are getting out of hand...

[emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28] tafuta kinga upesi kwenye koti la bwana harusi ukishuhudia huo ugomvi kavu kavu bila kinga lazima upate kiharusi
 
[emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28] tafuta kinga upesi kwenye koti la bwana harusi ukishuhudia huo ugomvi kavu kavu bila kinga lazima upate kiharusi
Hahahaha..ngoja nipande ungo wangu nisogee kwa bibi na bwana harusi..yaani kunanukia hatari fulani hivi walahi, punde tu moto utawaka hapa..
 
Acha bhana, kila mtu anaona tofauti tofauti nini, maana hilo sinia nliona lina miguu ya kenge na mapmbu ya fisi...
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]kwani hujaona hapa miguu ya kunguni mitamu mwambie muhudumu awape
 
Acha kabisa, ila kama wachawi wameanza kweli kulewa, naona vigagula 2 au 3 wanasukumana na kunyoosheana vidole, wakitishiana, mmoja kamtishia mwenzake ataiweka papuchi kwa paji la uso! Aise ebu mtafuteni Mambosasa naona things are getting out of hand...
[emoji23][emoji23]duuuh wagen gan hawa wanatoa siri
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]kwani hujaona hapa miguu ya kunguni mitamu mwambie muhudumu awape

[emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28]Mbongowakweli amesema ataniletea wings za popo nasikia zipo nyingi zitabaki tu hata iweje
 
[emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28] tafuta kinga upesi kwenye koti la bwana harusi ukishuhudia huo ugomvi kavu kavu bila kinga lazima upate kiharusi
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Hahahaha..ngoja nipande ungo wangu nisogee kwa bibi na bwana harusi..yaani kunanukia hatari fulani hivi walahi, punde tu moto utawaka hapa..
[emoji23][emoji23][emoji23]wewe mgen acha kuwatisha wenzioo wanaokujaa harus ni mwake mwake
 
Back
Top Bottom