Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Acha kabisa, ila kama wachawi wameanza kweli kulewa, naona vigagula 2 au 3 wanasukumana na kunyoosheana vidole, wakitishiana, mmoja kamtishia mwenzake ataiweka papuchi kwa paji la uso! Aise ebu mtafuteni Mambosasa naona things are getting out of hand...
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Hahahahah...hiyo tena, kuna vichwa vya ngedere somewhere, lilipita sinia hapa, umelikosa sekunde tu!
Hahahaha..ngoja nipande ungo wangu nisogee kwa bibi na bwana harusi..yaani kunanukia hatari fulani hivi walahi, punde tu moto utawaka hapa..[emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28] tafuta kinga upesi kwenye koti la bwana harusi ukishuhudia huo ugomvi kavu kavu bila kinga lazima upate kiharusi
Tunguli zipo vizur eeehNdiyo, usalama kwanza
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]ntu na nkeee yakeeeeAcheni fujo....
Mmeshalewa damu ya mbuzi kilingeni ilyochanganywa na konyagi nyie...
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Hahaha
Kwa kheriii
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Mmmh
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]kwani hujaona hapa miguu ya kunguni mitamu mwambie muhudumu awapeAcha bhana, kila mtu anaona tofauti tofauti nini, maana hilo sinia nliona lina miguu ya kenge na mapmbu ya fisi...
SanaaaaNina zawadi ya usinga kutoka simiyu.utakufaa sana
[emoji23][emoji23]duuuh wagen gan hawa wanatoa siriAcha kabisa, ila kama wachawi wameanza kweli kulewa, naona vigagula 2 au 3 wanasukumana na kunyoosheana vidole, wakitishiana, mmoja kamtishia mwenzake ataiweka papuchi kwa paji la uso! Aise ebu mtafuteni Mambosasa naona things are getting out of hand...
Damu na nyama za fisiiii unakulaaaMshana tutumie hata picha ya vyuku tule kwa hisia
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]kwani hujaona hapa miguu ya kunguni mitamu mwambie muhudumu awape
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28] tafuta kinga upesi kwenye koti la bwana harusi ukishuhudia huo ugomvi kavu kavu bila kinga lazima upate kiharusi
bi harusibtulia basi harusini.Sanaaaa
[emoji23][emoji23][emoji23]wewe mgen acha kuwatisha wenzioo wanaokujaa harus ni mwake mwakeHahahaha..ngoja nipande ungo wangu nisogee kwa bibi na bwana harusi..yaani kunanukia hatari fulani hivi walahi, punde tu moto utawaka hapa..
mmmh basi aniwekee hata kamzinga ka nyagi nipozee kooDamu na nyama za fisiiii unakulaaa
[emoji23][emoji23][emoji23]yawezekana ndo yy maana kuna ntu kaja na kapuuu kama la mama mlangua matembele[emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28]Mbongowakweli amesema ataniletea wings za popo nasikia zipo nyingi zitabaki tu hata iweje
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]bi harusibtulia basi harusini.