mzee alpha
JF-Expert Member
- Jul 31, 2015
- 711
- 264
Ngoja niandae njia, na nsaidie uko control tower[emoji556] kutoa ripot kama ntatumia anga lenuPamoja sana mkuu nasubir zawad yakoo
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ngoja niandae njia, na nsaidie uko control tower[emoji556] kutoa ripot kama ntatumia anga lenuPamoja sana mkuu nasubir zawad yakoo
Asanteeeeee sanaNgoja nichangie vinywaji...
View attachment 717880
Cheers mshana jr & Demiss
We wish you all the best..
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]unachek rada za angaaaaNgoja niandae njia, na nsaidie uko control tower[emoji556] kutoa ripot kama ntatumia anga lenu
Hahahahah...hiyo tena, kuna vichwa vya ngedere somewhere, lilipita sinia hapa, umelikosa sekunde tu!Dah...nipo hapa kitambo sana...nasubiri raundi ya kunywa damu ya mbuzi....sijui itakuwepo?[emoji20] [emoji12]
Ndiyo, usalama kwanza[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]unachek rada za angaaaa
Halafu yataanza ku bleed[emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28] atakayejaribu kuivuruga hii ndoa ya Mshana Jr na Demiss atageuzwa makalio yahamie shingoni
Halafu yataanza ku bleed
[emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
Acheni fujo....Mme [emoji182][emoji182][emoji182][emoji182][emoji182]nasubir kupaaaaa tu hapa
HahahaTunguli zinazopumua unazoooo
MmmhKama huna macho ya pakaaa huwez kutuonaaa
HahahahahahaAcha bhana, kila mtu anaona tofauti tofauti nini, maana hilo sinia nliona lina miguu ya kenge na mapmbu ya fisi...
Acha kabisa, ila kama wachawi wameanza kweli kulewa, naona vigagula 2 au 3 wanasukumana na kunyoosheana vidole, wakitishiana, mmoja kamtishia mwenzake ataiweka papuchi kwa paji la uso! Aise ebu mtafuteni Mambosasa naona things are getting out of hand...Acheni fujo....
Mmeshalewa damu ya mbuzi kilingeni ilyochanganywa na konyagi nyie...
[emoji35] [emoji35] [emoji35] [emoji35] [emoji15] [emoji35]Acheni fujo....
Mmeshalewa damu ya mbuzi kilingeni ilyochanganywa na konyagi nyie...
HahahaaaZile nyuzi za usiku wa manane hatutazipata tena.
Maana muda huo si wa kaingia JF tena .
Demiss, michepuko tupa kabisa maana hapo ni kwa David Msuguri.
Hongereni wana ndugu.
[emoji120] [emoji120] [emoji120]Nina zawadi ya usinga kutoka simiyu.utakufaa sana
[emoji15] [emoji15] [emoji1] [emoji1] [emoji83] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]Acha kabisa, ila kama wachawi wameanza kweli kulewa, naona vigagula 2 au 3 wanasukumana na kunyoosheana vidole, wakitishiana, mmoja kamtishia mwenzake ataiweka papuchi kwa paji la uso! Aise ebu mtafuteni Mambosasa naona things are getting out of hand...