Pre GE2025 Yanayojiri Uchaguzi Mkuu CHADEMA 2025: Tundu Lissu ashinda nafasi ya Mwenyekiti CHADEMA Taifa kwa Kura 513 sawa na 51.5%

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)

Ni Mbowe au Lissu

  • Mbowe

    Votes: 179 14.7%
  • Lissu

    Votes: 1,038 85.3%

  • Total voters
    1,217
  • Poll closed .
Mama kazi anayo, halafu wamejichanganya eti mgombea mwenzao Nchimbi.

Haya sasa waendelee na akina Doto Magari, Mwijaku, Baba Revo, Diamond nk.
Tunataka siasa za JINO Kwa JINO sasa.
 
Mama kazi anayo, halafu wamejichanganya eti mgombea mwenzao Nchimbi.

Haya sasa waendelee na akina Doto Magari, Mwijaku, Baba Revo, Diamond nk.
Tunataka siasa za JINO Kwa JINO sasa.
HahahahaπŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
 
Matokeo bado kutanhazwa rasmi Ati mnafurahia

Teams tulieni kwanza maana mashangazo yanaweza kuwa piga shoki
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…