Pre GE2025 Yanayojiri Uchaguzi Mkuu CHADEMA 2025: Tundu Lissu ashinda nafasi ya Mwenyekiti CHADEMA Taifa kwa Kura 513 sawa na 51.5%

Pre GE2025 Yanayojiri Uchaguzi Mkuu CHADEMA 2025: Tundu Lissu ashinda nafasi ya Mwenyekiti CHADEMA Taifa kwa Kura 513 sawa na 51.5%

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)

Ni Mbowe au Lissu

  • Mbowe

    Votes: 179 14.7%
  • Lissu

    Votes: 1,038 85.3%

  • Total voters
    1,217
  • Poll closed .
Aliyemtetea Lissu dhidi ya mashambulizi ya risasi na akatoka hai ndiye huyohuyo aliyemtetea na leo atoke na ushindi dhidi ya dhalimu Mbowe.
IMG-20250122-WA0015.jpg
 
Natumaini, Lisu,utafanya ulichokuwa unakihubili, usije ukawa kama William Ruto, aliwaamisha watu ye ye ni Bora, walipokuja kushituka, ni mtu mbovu kuliko wore, tangu Uhuru!
Tuliza munkari.

Hata matokeo kutangazwa bado umeshakaa mkao wa kukosoa. Hiyo ni tabia ya wachawi.
 
Ila Boniyai aliweza kuwapa watu pressure kwa kukusanya zile kura kimlima huku Lema akisambaza kura zake mezani kama vile hana kitu.

Watu wakajua ndio basi tena ushindi unaenda Machame 🤣🤣 ephen_
Kumbe tuliona wengi!! Mimi ilibidi nizime data maana nlikua naskia kuchanganyikiwa hivi. Jamaa mikaratasi kama yote, nkajua Mbowe kazoa 90%.
 
Hongereni Chadema kwa kumaliza uchaguzi wenu salama,hapa kunaonekana kabisa kuna ukomavu wa kisiasa,maana wengi walitegemea kungetokea minyukano na vitu kama hivyo,lakini imekuwa tofauti,sasa tuendelee na siasa za kistaarabu tuijenge nchi yetu...
 
Ushindi wa Lissu utatufanya tujue mengi maovu ya Mbowe aliyoyamezea mate.
Tumesha jua hatuhitaji kujua tena, neno ka kwanza ndio la kweli linalo fuatia linakuwa na chumvi nyingi inayo pelekea si kweli.
 
Back
Top Bottom