Pre GE2025 Yanayojiri Uchaguzi Mkuu CHADEMA 2025: Tundu Lissu ashinda nafasi ya Mwenyekiti CHADEMA Taifa kwa Kura 513 sawa na 51.5%

Pre GE2025 Yanayojiri Uchaguzi Mkuu CHADEMA 2025: Tundu Lissu ashinda nafasi ya Mwenyekiti CHADEMA Taifa kwa Kura 513 sawa na 51.5%

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)

Ni Mbowe au Lissu

  • Mbowe

    Votes: 179 14.7%
  • Lissu

    Votes: 1,038 85.3%

  • Total voters
    1,217
  • Poll closed .
Hapo kwenye mtoto wa mjini. Tulisikia pia kuwa jogoo wa shamba hawiki mjini. Ila huyu kawika.
Siasa walizofanya. Mbowe alikuwa anajua wanachokifanya. Wakawa wanawafix baadhi ya watu lakin kukipa chama relevance.

Leo kwa mchezo ulivyoenda, ni lazima watu wengi watakiamini chama. Hiki ndicho kililuwa msingi mkubwa.
 
Kazi inaanza sasa. Wale waliokuwa wanampigia debe Lissu waonyeshe kwa vitendo kuwa wanamkubali. Hawezi kuwafikisha katika nchi ya ahadi bila nyinyi kusimama nae.

Amandla...
 
Lengo la maridhiano ni kuneutralize uchaguzi 2025 mama ashinde kirahisi.

Lissu komaa, yote ya kwenye katiba hayahitaji maridhiano, maridhiano ni vijana wote waliouwawa, kupotea na kuumizwa tunataka kuona justice.
 
Tuna imaniiii na Lissuuuu, oyaaa oyaaaa

Lissu kweliiiii, Kweliiii, kweliiii, Kweliii Kweliii Lisssu.
 
Natoa rai mapema baada ya ushindi huu wa lissu.

Yale tuliyo yaona ya Biden kuondolewa kwenye kinyanganyiro ndani ya chama chake yawezekana yakatokea na Tz mwaka huu.

Kuna jambo kiroho liko nyuma ya ushindi wa Lissu.

Ile roho iliyoko ndani yake ikipandikizwa kwa usahihi kwa wanachama wake kama ilivo kuwa kwa Yeshua. Tutegemee kuona mabadiliko ya siasa za kistaarabu kwenda siasa za kushawishi kwa nguvu.

Huyu Mwanaume ana near death experience watu wa hivi kiroho wana jambo la kustaajabisha mno.

My Take Chama Tawala wasifanye mambo kwa mazoea. Hili litagharimu taifa sana sana.



Kama asemavyo Kaka Paskali the Voice from within has alot to say to us.
Chama tawala wasifanye mambo kwa mazoea?... Fafanua.
 
Safari ya WATANGANYIKA kutoka misri dhidi ya FIRAUNI SAMIA BUSHIRI NA JESHI LAKE LA CCM...JE BAHARI ITAFUNGUKA NA KUMUANGAMIZA FIRAUNI NA JESHI LAKE .
Kwa machozi haya ya Watanzania hakika itafunguka na watanzania wenye mioyo safi tutapita, maccm yataangamia yote.
 
Aliyemtetea Lissu dhidi ya mashambulizi ya risasi na akatoka hai ndiye huyohuyo aliyemtetea na leo atoke na ushindi dhidi ya dhalimu Mbowe.
Naam kila sikio na lisikie.

Jiwe alikaza fuvu kama Farao akajaribu kupambana na mtetezi huyo. Somo limwingie kila Farao aliye mbele atambue kuwa TAL ni mteule
 
Back
Top Bottom