cocochanel
Platinum Member
- Oct 6, 2007
- 27,885
- 76,043
embu elezea kwa kina kifupi kidogo kwa faida ya wadau my lady πMshindi ashinde, yoyote tu kati yao.
πΏπΏπΏ
Maana wanajua L na M, tayari wao nani wanataka awe Mwenyekiti
Nawapa pongezi nyingi kwa script waliyoandika na kufanyikiwa kutoa drama bombaaaaaa iliyoteka wengi wenu.
Yes,"mwenyekiti MPYA wa CHADEMA" Mmmmmh!.
kwahiyo mbowe kahamia mitandaoni alipo Lisu gentleman, right?π€£Kutoka eneo la tukio, niwaondoe hofu wapenda haki na demkrasia ya kweli. Mbowe hana dalili za kushinda tofauti ya hizi propaganda anazofanyiwa mtandaoni aonekane anakubalika
jukumu na wajibu wangu muhimu wa kitaalamu katika siasa ni kufafanua, kutoa maelezo na uchambuzi wa kina dhidi ya mambo mbalimbali yanayoendelea kuelekea uchaguzi wa chadema na si vinginevyo.MADA YA MWANACCM KINDAKINDAKI ANAYEMTAKA MBOWE.
Mbowe will win the election gentleman πAnything can happen!
mkosaji hua ana maneno mengi sana.Sultan Mbowe Bin King'ang'anizi atashinda kimagumashi akitumia rushwa ambayo ni sponsored na majizi ya Ccm baada ya hapo ataishi kwa majuto akielewa kabisa black & white kuwa watu wameshajua ni mamluki na hawana imani nae
Bila shaka utabubujikwa machozi ya furaha na kulia kwa kwikwi huku ukigalagala chiniSote ni mashuhuda kwamba Freeman Aikaeli Mbowe anaungwa mkono na wajumbe wa mkutano mkuu wengi zaidi ya mgombea uenyekiti mwingine yeyote wa chadema, na kwahivyo anakwenda kushinda uchaguzi huu kwa kishindo.
Tayari visingizio kutoka kwa wapambe wa wagombea wanaowafungia wajumbe wao kwenye nyumba za kulala wageni, huku wakikosa kujua ratiba na kinachoendelea kwenye ukumbi wa uchaguzi, wameanza kupiga mayowe ya kushindwa, kanakwamba kuna rafu za uchaguzi hali ya kua wanajitakia wenyewe. Ni vichekesho na makusudi ya kujitakia tu, eti mpaka sasa kuna wajumbe hawajasajiliwa na hawana vitambulisho, wamefungiwa ndani tu.
Prof. Kitila Mkumbo amebainisha wazi kwa umma kupitia vyombo vya habari na mitandao ya kijamii kwmba, Freeman Aikaeli Mbowe hawezi kugombea nafasi ya uongozi ambayo hatashinda.
Ni muhimu sana wadau wa JF na wanachadema kwa ujumla, kuzingatia kauli hii ya kitaalamu kutoka kwa mwanafalsafa huyu wa siasa za Tanzania.
Kila la kheri wajumbe,
Kila la kheri Mbowe na Asanti Lisu kwa kushiriki uchaguzi wa chadema ngazi ya taifa.π
Mungu Ibariki Tanzania
CCM na mahaba kwa Mbowe imekujaje?, mbona inachekesha!!Sote ni mashuhuda kwamba Freeman Aikaeli Mbowe anaungwa mkono na wajumbe wa mkutano mkuu wengi zaidi ya mgombea uenyekiti mwingine yeyote wa chadema, na kwahivyo anakwenda kushinda uchaguzi huu kwa kishindo.
Tayari visingizio kutoka kwa wapambe wa wagombea wanaowafungia wajumbe wao kwenye nyumba za kulala wageni, huku wakikosa kujua ratiba na kinachoendelea kwenye ukumbi wa uchaguzi, wameanza kupiga mayowe ya kushindwa, kanakwamba kuna rafu za uchaguzi hali ya kua wanajitakia wenyewe. Ni vichekesho na makusudi ya kujitakia tu, eti mpaka sasa kuna wajumbe hawajasajiliwa na hawana vitambulisho, wamefungiwa ndani tu.
Prof. Kitila Mkumbo amebainisha wazi kwa umma kupitia vyombo vya habari na mitandao ya kijamii kwmba, Freeman Aikaeli Mbowe hawezi kugombea nafasi ya uongozi ambayo hatashinda.
Ni muhimu sana wadau wa JF na wanachadema kwa ujumla, kuzingatia kauli hii ya kitaalamu kutoka kwa mwanafalsafa huyu wa siasa za Tanzania.
Kila la kheri wajumbe,
Kila la kheri Mbowe na Asanti Lisu kwa kushiriki uchaguzi wa chadema ngazi ya taifa.π
Mungu Ibariki Tanzania
Kama vipi tutafute sehemu tuzichape tu tujue mojamkosaji hua ana maneno mengi sana.
Ila ni kawaida gentleman π