Pre GE2025 Yanayojiri Uchaguzi Mkuu CHADEMA 2025: Tundu Lissu ashinda nafasi ya Mwenyekiti CHADEMA Taifa kwa Kura 513 sawa na 51.5%

Pre GE2025 Yanayojiri Uchaguzi Mkuu CHADEMA 2025: Tundu Lissu ashinda nafasi ya Mwenyekiti CHADEMA Taifa kwa Kura 513 sawa na 51.5%

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)

Ni Mbowe au Lissu

  • Mbowe

    Votes: 179 14.7%
  • Lissu

    Votes: 1,038 85.3%

  • Total voters
    1,217
  • Poll closed .
Mbowe anaomba tumuamini

Kwani anaenda kufanya kazi ambayo haijawahi kutokea katika nchi hii

Anataka kuondoa umasikini wa nchi hii

Halafu kahitimisha hotuba kwa ku bow kama Shaolin
1737496012118.gif
 
Odero the super commedian..

Yeye ni wa katikati kimkakati ili kupatanisha Mbowe na Tundu.
 
Back
Top Bottom