Mkuu ukiwa live jambo tv hauhitaji kutoa maneno Twitter.Haya maswala yakutoa maneno Twitter kuleta huku, muache. Subiri matokeo. Ya live huku.
Lissu amepata kura 510 ameshinda wajumbe hawazidi elfu 1000Hebu Weka wazi mkuu niko safarini.
Hiyo haijawahi kuwa agenda ya chama ni agenda binafsi ya mtu.
Huko October mnaenda kubaka tu uchaguzi kama kawaida yenu.Na huyo binafsi ndio tundu anayejipambanua kuwa kiongozi mahiri
Tukutane October
CCM DAIMA
Kuwa na subraWazee mbona mudda wote anahesabu huyu Mayai tu Lema atahesabu saa ngapi
Hatimaye mugabe katolewaTusubiri atakaetangazwa mshindi!
Mbowe hajapata kitu
Lissu ni kiboko ya Mchwa ccmNa huyo binafsi ndio tundu anayejipambanua kuwa kiongozi mahiri
Tukutane October
CCM DAIMA
Woooow, sifa na utukufu, shukurani kwa aliyezifanya Mbingu na nchi.Lisu Hana mpinzani mpaka muda huu
Lissu akishinda uchaguzi huu imani inarudi hata wabunge wa Ccm watapoteza sana majimbo ndo maana majizi ya ccm yanamuombea mbowe ushindi maana ni mshindani dhaifuUpepo hausomeki maana Lema anahesabu kura kama hela vile na kuzifunga mafungu mafungu kama vibunda vya hela.🤣🤣
Ila mkao wa Boniyai kwenye kiti ni kama wakukata tamaa hivi unafanya mashabiki wahisi kama vile team Machame inaona kuna dalili mbaya.
Maana tumechoka 😅😅😅wagawane nchi kuanzia Dodoma.Wazo zuri
"Kicks of a dying horse"Chadema ni kiikundi kisicho makini
Tundu hafai hata kuwa kiongozi wa Kaya.... yaani kama mume wa Abigail vile
1 Samweli 25:2-44
Na jina la mtu huyo aliitwa "Nabali; na jina la mkewe aliitwa Abigaili, na huyo mwanamke alikuwa mwenye akili njema, mzuri wa uso; bali yule mwanamume alikuwa hana adabu, tena mwovu katika matendo yake; naye alikuwa wa mbari ya Kalebu.
Ndipo hapo Abigaili alipomwona Daudi, alifanya haraka kushuka juu ya punda wake, akamwangukia Daudi kifulifuli, akainama mpaka nchi.
Nakusihi, bwana wangu, wewe usimwangalie huyu mtu asiyefaa, yaani, Nabali; kwa maana kama lilivyo jina lake ndivyo alivyo yeye; jina lake ndilo Nabali, na upumbavu anao; lakini mimi, mjakazi wako, sikuwaona hao vijana wa bwana wangu aliowatuma."
Mbowe amekomaa kiuongozi kwa level ya chadema lakini sio kwa kuongoza dola
Lissu amekukosea nini mama d?Siwezi kujifunza kulinda faragha za mashoga kama tundu kamwe
Kwasisi tuliohesabia mitandaoni kwa msaada wa camera tumeona kama machame tumedondokea pua.Lissu akishinda uchaguzi huu imani inarudi hata wabunge wa Ccm watapoteza sana majimbo ndo maana majizi ya ccm yanamuombea mbowe ushindi maana ni mshindani dhaifu