ielewemitaa
JF-Expert Member
- Jan 7, 2014
- 10,764
- 9,477
Dola sio muhimu kwasasa ila muhimu kwasasa ni kuwaambia wananchi ukweli kuwa wizi na ufisadi nani kafanya na kuleta shida kwenye maisha yaoSema tundu ni kiboka ya kundi la kushindwa🤣🤣🤣
Dola hamshiki hata atembee uchi
Kuna kura za umakamu kurudiwaZa ndani sana zinasema Lissu kambwaga Mwenyekiti
Kwa upande wa Zanzibari.Wako chini ya 50%
Lissu amekukosea nini mama d?
Asante mjumbe kwa taarifaZa ndani sana zinasema Lissu kambwaga Mwenyekiti
Nafasi ya makamu Zanzibar inarudiwa.Uchaguzi unarudiwa..!
Kwa upande wa Zanzibari makamu ya mwenyekitiWako chini ya 50%
Mkuu mambo ya siasa hauwezi kuyaelewa hivyo ukiona jambo hahlielewi fahamu tu hilo jambo halipo Kwa ajaili yako.
Sasa hapo nimelinganisha sisiem na nini hicho cha kijinga da mkubwa? Maandiko? Mungu? Au wewe? Au...Usikinganishe CCM na vitu vya kijinga wewe
Hana adabu
Hana uzalendo
Hana desturi njema
Hana amani popote alipo kivuruge tuu
Muite Mjumbe mzitoAsante mjumbe kwa taarifa
Sawa sawaKwa upande wa Zanzibari makamu ya mwenyekiti
Mjumbe usiseme hivyo makamanda hatujalala usiku kuchaMbona Bon amepanic?
Maripota wanaweka mahaba mbele kuliko weledi...Jf ya leo updates, za live mara lissu mara mbowe,
Acha tupaki pembni toangalie mtanange kimara foleni sana
Mlikua mnalalamikia ccm kwenye uchaguzi wenu, system imeingilia kusaidia lisu ashindeNakuhakikishia kabisa wewe na jfs wote. Hili limekwisha na kura za lissu ni 510. Hazifiki 520. Maaba kuna chache zilibakia pale. Zingekuwa 10 zingefungwa kwenye fungu la kumi.