Pre GE2025 Yanayojiri Uchaguzi Mkuu CHADEMA 2025: Tundu Lissu ashinda nafasi ya Mwenyekiti CHADEMA Taifa kwa Kura 513 sawa na 51.5%

Pre GE2025 Yanayojiri Uchaguzi Mkuu CHADEMA 2025: Tundu Lissu ashinda nafasi ya Mwenyekiti CHADEMA Taifa kwa Kura 513 sawa na 51.5%

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)

Ni Mbowe au Lissu

  • Mbowe

    Votes: 179 14.7%
  • Lissu

    Votes: 1,038 85.3%

  • Total voters
    1,217
  • Poll closed .
Mntika ms#^#&£^£&£^#^#^..

Uchaguzi unarudiwa wa watu wa Zanzibar
 
Hana adabu
Hana uzalendo
Hana desturi njema
Hana amani popote alipo kivuruge tuu
Screenshot_20250122-075911.png
 
Nakuhakikishia kabisa wewe na jfs wote. Hili limekwisha na kura za lissu ni 510. Hazifiki 520. Maaba kuna chache zilibakia pale. Zingekuwa 10 zingefungwa kwenye fungu la kumi.
Mlikua mnalalamikia ccm kwenye uchaguzi wenu, system imeingilia kusaidia lisu ashinde

Siku nyingine mkishindwa au kushinda msihusishe wasiohusika
 
Back
Top Bottom