Pre GE2025 Yanayojiri Uchaguzi Mkuu CHADEMA 2025: Tundu Lissu ashinda nafasi ya Mwenyekiti CHADEMA Taifa kwa Kura 513 sawa na 51.5%

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)

Ni Mbowe au Lissu

  • Mbowe

    Votes: 179 14.7%
  • Lissu

    Votes: 1,038 85.3%

  • Total voters
    1,217
  • Poll closed .
Sasa wachaga wapumzike kulalamikiwa

yale malalamiko ya chama cha wachaga sasa yaishe
Lisu huyo hapo,kazi kwenu
Mzee Mbowe ndio Chanzo kikuu na malalamiko yana ukweli kwa kiasi kikubwa tu
 
Hongera kwa Lissu na Heche. Sasa waende wakajenge chama chao na watimize ahadi walizotoa. Hongera kwa Mbowe kwa kukubali ushindani na kukubali matokeo. Hongera kwa Wenje kwa kupambana.
Hongera kwa sekretariati ya CDM kwa kuendesha na kuusimamia uchaguzi.

Amandla...
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…