BonventureSr
JF-Expert Member
- Nov 16, 2023
- 879
- 1,432
Kaoshe hiko kitoa taka mwili,mayala wa sisiem mkubwa wewe.Harufu mbaya inayotoka ulikopitia huijui?? Au ya kule unakoingiziwa kila siku
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kaoshe hiko kitoa taka mwili,mayala wa sisiem mkubwa wewe.Harufu mbaya inayotoka ulikopitia huijui?? Au ya kule unakoingiziwa kila siku
Mama D ndugu yangu katika kristo acha kujiharibia upako wako wa Morning Glory.Harufu mbaya inayotoka ulikopitia huijui?? Au ya kule unakoingiziwa kila siku
Naona wanambowe wengi wa machame tena wadadaKwa hio machame kilio
OderoKwa hesabu za mtandaoni
Mbowe 43%
Lisu 57%
Wewe Una adabu? Mpuuzi mmoja Tu wewe, au kwa sababu unajificha kwenye fake ID unajiona mtakatifu Sana mpaka kufikia hatua ya kuwanyooshea wengine vidole.Hana adabu
Hana uzalendo
Hana desturi njema
Hana amani popote alipo kivuruge tuu
Asante mjumbe kwa taarifa
Hutanishinda mimi.Na iwe hivyo, nitafurahi mno!
TLNani kashinda?
Mbona kinyonge namna hiyo mkuu? Matokeo bado hayajatangazwa rasmi, vuta subira maana boss wako na sisiem wakiamua kufanya mauzauza huwa hawashindwiX matokeo tayari. Lisu 52% ameshinda. lakini kwangu bado hafai hata kidogo. Chama kitakufa huko mbele maana Mbowe alikuwa na subira ya hekima.
Duh.
Tusubiri matokeo rasmi...
mods wanasubir waweke kitufe cha breaking newsToka ukimbini, za moto kabisa, Lisu kashinda kwa margin ndogo. Karatasi zimesainiwa kuthibitisha matokea.
Details baadaye kidogo.
Mod tafadhali naomba, isomeke Wanamabadiliko.
Wewe Una adhabu? Mpuuzi mmoja Tu wewe, au kwa sababu unajificha kwenye fake ID unajiona mtakatifu Sana mpaka kufikia hatua ya kuwanyooshea wengine vidole.
Lissu akishinda CCM watatafutana sana mwaka huu
Sasa wachaga wapumzike kulalamikiwaNaona wanambowe wengi wa machame tena wadada