Stephen Ngalya Chelu
JF-Expert Member
- Oct 31, 2017
- 8,252
- 18,335
Ashinde lissu nchi ichangamke...
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
*****Hapa timu Mbowe ndio tunahitaji mzalendo kama marehemu Mzee Jecha
Millard ayo sio online TV?Toa tv zako za online hapa labda apost Millard ayo
Mama umechafukwa. Kiantenna kimesimama. 😆😂Hana adabu
Hana uzalendo
Hana desturi njema
Hana amani popote alipo kivuruge tuu
Tunampongeza Mangi Mbowe kwa kuamua kulinda Heshima ya chamaHongera Lissu Hongera Heche,
Tanzania imeshinda kawatumikieni Wananchi na Wanachama wenu
View attachment 3209650
Kwa hio machame kilioHIyo sio ramli mkuu, tumefuatilia mwanzo mwisho. Za ndani ni kuwa ushindi unaenda Singapore
Sasa unajishika K ya nini na watu tunahesabu kura hapa. Unatoa harufu mbaya tu sijui umejamba wewe
Tayari Lema kashauza matokeo huko XKwa hio machame kilio
Tunaposema huu ni wakati wa Lissu tunamaanisha. Usiwe na wasiwasi. Chama kitang'aa.X matokeo tayari. Lisu 52% ameshinda. lakini kwangu bado hafai hata kidogo. Chama kitakufa huko mbele maana Mbowe alikuwa na subira ya hekima.
Ndio maana nasema Mbowe kapoteza ushawishi hadi kupewa back up na CCM hata kutumia mbinu zao chafu hiyo sio utamaduni wa Chadema , ikitokea akashinda basi ujue Chadema ule ushawishi iliyokuwa nao utapungua kwa kiasi kikubwa ukibisha nenda kaangalie wale foot soldiers wake watatu walioaminiwa X miaka mingi wanavyoigwa spana kwa sasa wengine hadi wamepunguza kutweet ni post 1 au 2 kwa siku then wanapotea.Hapa timu Mbowe ndio tunahitaji mzalendo kama marehemu Mzee Jecha
HahahahahHarufu mbaya inayotoka ulikopitia huijui?? Au ya kule unakoingiziwa kila siku
Nyege tu zinamsumbua huyo,sisi tulikaa kimyaa kwenye uchaguzi wao.Mama D mbona una hasira shida nini?
Hata ungekua wewe usingeweza kuvumilia🤣Sasa lema anaharibu ladha ya ushindi.
Huu ni ukuda ni sawa na kuangalia mechi huku mwingine anasikiliza kwenye redio 🤬
Mama D mbona una hasira shida nini?
Itakuwa nzuri sana kuongeza ushindani wakisiasa hapa nchini. Inahitajika a strong opposition kupambana na CCMHIyo sio ramli mkuu, tumefuatilia mwanzo mwisho. Za ndani ni kuwa ushindi unaenda Singapore
Nani kashinda?Tayari Lema kashauza matokeo huko X