We ulitaka chama kiende KIZIMKAZI ??Dah kwahiyo chama kinaenda ubeligiji
Huu ndio ukomavu wa kisiasa
Huyu si ndo Yeriko Nyerere? Uso ka matakho.
Yeah confirmed tayari. Done deal. Natumaini hukuenda Selian ๐คฃhata mbowe amempongeza lissu kwa ushindi huko x so worryout jamaa angu
Wameshatangaza? Huku umeme wamekata mpenz.
Ny**** tu kinamsumbua halafu Hata hoja hakina kijitu kama hichi hata ndoa hakiiweziHichi kimama mayala aisee,๐คฃ๐คฃ
Inamaana huko bado haijanyesha...huku kigamboni tokea saa12 alfajiri inapiga balaaa na umeme kushneyNilipo inapiga na umeme umekatika, Kuna kitu juu ya huu uchaguzi
Jamaa hajaamini kilichotokea
Usikute huyu ndio bwana Lucas
Ni haki na jukwaa huru japo sijasoma comments na mawazo yako ila usiwakwaze wenzako. ๐๐๐๐Nadhani hili ni jukwaa huru la kutoa maoni
Kama yangu huyapendi pita kwa kutulia
Nani ataoa takataka hiyo mkuu,mwamamke hana mipaka.Ny**** tu kinamsumbua halafu Hata hoja hakina kijitu kama hichi hata ndoa hakiiwezi
Hahahaha daah mnanipa vibe sana wakuu. Leo lazima nile mavyakula nnayoyapenda nijipe furaha.View attachment 3209682
Huyo Hilda yupo ukumbini na anasakata rhumba kwa vibe sana!. Matokeo pengine yapo hivyo!
Kwa hatua hii ya Mbowe kukubali matokeo ameonesha utashi mkubwa Sana na kwa Hilo anastahili heshima iliyotukuka, hii inarejesha uhai wa CHADEMA kwa kiasi kikubwa mno.Heshima yake imerudi, hongera sana Mbowe.
Historia yako imeandikwa, wewe ni baba wa demokrasia.
Ni haki na jukwaa huru japo sijasoma comments na mawazo yako ila usiwakwaze wenzako. ๐๐๐๐
Sure ni vijana wadogo wasio na ukomavu na ustahimilivu wa upinzani wa hoja.Ni kizazi cha kuanzia 2000 hicho. Hakina subira wala ujasiri wa kusemeshana kwa heshima. Na hawa eti ndiyo anakuja ofisini ili kuomba kazi. Kuna swali huwa nawapa akilijibu ndivyo sivyo namtimua. Kizazi cha hovyo kabisa ๐ฎ