jameson567
JF-Expert Member
- Mar 14, 2018
- 536
- 3,289
Dish la Azam ni UTV, DSTV ni Clouds.Channel ipi mkuu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Dish la Azam ni UTV, DSTV ni Clouds.Channel ipi mkuu
Kwa mabichwa ya namna hiii CCM, nawashauri waendelee kuchagua Wazee tu.Hakika Lissu sasa making ya shingo, wana chadema wanaimba kwa sauti kuu wakisema chama chao hakitaenda ubelgiji.
Hizi dalili mbaya sana kwa Lissu ambaye ametumia mabilioni katika uchaguzi huu
Clouds ni matrako saivi wanapiga nyimbo ya Gigi moneyDish la Azam ni UTV, DSTV ni Clouds.
Weka ka video tuoneHakika Lissu sasa making ya shingo, wana chadema wanaimba kwa sauti kuu wakisema chama chao hakitaenda ubelgiji.
Hizi dalili mbaya sana kwa Lissu ambaye ametumia mabilioni katika uchaguzi huu
Hizo lips ni za LisuNani huyu?.
Kweli kabisa. Hawa ndo ma think tank wa CCM huko. Ni uharo mtupu ndo mana kina Wasira na wazee wengine wanarudishwa kila sikuKwa mabichwa ya namna hiii CCM, nawashauri waendelee kuchagua Wazee tu.
Datv ni Ccm haoYaani leo ndo nimeona kumbe na Azam ni ya maana sababu hapa hata sioni huo uchaguzi Dstv wamekuwa mafala kwa leo.
WANANCHI NCHI NZIMA NDANI NA NJE YA MIPAKA WANAANGALIA.💪🏿👌🏿NDUGU MJUMBE HIYO RUSHWA ULIYOPEWA NA MBOWE INAENDA KUKIUA CHAMA WANACHAMA WENGI MAELFU YA WANACHAMA WAMEPANGA KUJIUZULU IWAPO MTAMCHAGUA MTU KWA RUSHWA.
WANANCHI NCHI NZIMA NDANI NA NJE YA MIPAKA WANAANGALIA.
Hamna mbaya mkuu🤝Nini mbaya mkuu ...kizuri kisifie
Mbowe outWANANCHI NCHI NZIMA NDANI NA NJE YA MIPAKA WANAANGALIA.💪🏿👌🏿