Pre GE2025 Yanayojiri Uchaguzi Mkuu CHADEMA 2025: Tundu Lissu ashinda nafasi ya Mwenyekiti CHADEMA Taifa kwa Kura 513 sawa na 51.5%

Pre GE2025 Yanayojiri Uchaguzi Mkuu CHADEMA 2025: Tundu Lissu ashinda nafasi ya Mwenyekiti CHADEMA Taifa kwa Kura 513 sawa na 51.5%

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)

Ni Mbowe au Lissu

  • Mbowe

    Votes: 179 14.7%
  • Lissu

    Votes: 1,038 85.3%

  • Total voters
    1,217
  • Poll closed .
Natoa rai mapema baada ya ushindi huu wa lissu.

Yale tuliyo yaona ya Biden kuondolewa kwenye kinyanganyiro ndani ya chama chake yawezekana yakatokea na Tz mwaka huu.

Kuna jambo kiroho liko nyuma ya ushindi wa Lissu.

Ile roho iliyoko ndani yake ikipandikizwa kwa usahihi kwa wanachama wake kama ilivo kuwa kwa Yeshua. Tutegemee kuona mabadiliko ya siasa za kistaarabu kwenda siasa za kushawishi kwa nguvu.

Huyu Mwanaume ana near death experience watu wa hivi kiroho wana jambo la kustaajabisha mno.

My Take Chama Tawala wasifanye mambo kwa mazoea. Hili litagharimu taifa sana sana.



Kama asemavyo Kaka Paskali the Voice from within has alot to say to us.
 
Ni kizazi cha kuanzia 2000 hicho. Hakina subira wala ujasiri wa kusemeshana kwa heshima. Na hawa eti ndiyo anakuja ofisini ili kuomba kazi. Kuna swali huwa nawapa akilijibu ndivyo sivyo namtimua. Kizazi cha hovyo kabisa 🚮
Watoto wa elfu 2 mnawaonea!
Hao wanaotukanana ni watu wazima muda wowote wanazeeka
Tukiwaambia watoto wa elfu 2 wamerithi akili kwa nyie wazazi wao mnakataa.
 
Hiki ndicho kilikuwa sahihi kufanyika. Waoga wa demokrasia walitaka Mbowe akae pembeni tu kumpisha Lissu.

Nilisema hawa jamaa wanatumia hii kuifanya chadema ibakie kwenye trend. Wamefanikiwa na itaendelea kubakia hivyo.

Hongera kwa Mbowe. Wewe ni mtoto wa mjini. Umejua kujaza kibubu kwa kuiweka chadema masikioni mwa watanzania.

Ni ushujaa kuliko aibu waliyokuwa wanadhani utapata.
 
Back
Top Bottom