Yanayojiri: Uchaguzi wa Marudio Kenya - Oktoba 26, 2017


It is my belief that Uhuru and Raila will pass but Kenya as a country will remain. I wish kenyans a peaceful presidential election.
 
Na wewe umejuaje ni wa ethiopia
 
Mbona sasa kenya inakoelekea ni kubaya kuliko tarehe 6??
Irregularities ni nyingi sana mara hii ya marudio. I can't guess what will follow.
 
Ukiwa muongo usiwe msahaulifu nakuona unang'ata na kupuliza, pole sana lumumba boy
 
Uko Canaan nini? Eti 700 votes have been cast TODAY? Huku Kenya hata saa saba na nusu bado haijafika.
Hivi kuna tofauti ya masaa mangapi kati ya Canaan na Kenya?labda hilo ndio linalowasumbua wale wenye wana safari ya Canaan.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…