Yanayojiri: Uzinduzi wa mbio za Mwenge wa uhuru 2021, Umewashwa na makamu wa pili wa Rais Zanzibar utakimbizwa siku 150!

Hivi hii ibada ya sanamu bado inaendelea?
 
Huwa hauzimwi kwa siku zote 150?
Wanajazaje mafuta?
 
Matumizi mabaya ya fedha kwenye mwenge..
Uwekwe makumbusho
Au ndio njia ya ccm kupiga hela?
 
One of the useless politics Tanzania mustn't desist withdrawing.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…