LIVE Yanayojiri vita ya Israel dhidi ya Palestina na HAMAS

LIVE Yanayojiri vita ya Israel dhidi ya Palestina na HAMAS

Live coverage on JamiiForums
20231009_202731.png
 
Hamas wamesema kama Israel itaendelea kuua raia wao basi wataanza kuwachinja mateka wa Israel live. Huu ndo ugaidi wenyewe sasa
 
Nchi ya Israel ilikiwa wapi kabla ya 1947?
Hakuna nchi pasipo watu. Watu ndiyo huanzisha nchi. Kukujibu swali lako ni kwamba, hao walioanzisha hiyo walikuwepo wakiishi hapohapo.
watu katika ardhi ya Tanzania walikuwepo kabla ya Uhuru, walikuwepo kabla ya juna Tanganyika, walikuwepo kabla ya jina Tanzania, walikuwepo kabla ya mkutano wa Berlin. Kwa uhuru au jina la nchi kuja baadaye haiwaondolei haki ya kuwa walikuwepo, na kwamba ni kwao.
 
Hawa Jamaa ni Wanyama..
Huyu mwanamke nafikiri walimuingilia aisee..
 
Waarabu na waislam wanafiki tuu
Mbona wapo kimya kuhusu

Uyghur genocide​

Hao Uyghur ingekuwa watesi wao ni wazungu au waisraeli jihadists wangekuwa kwenye Olypmpic ya kulaani unyama wanaofanyiwa lkn kwa kuwa ni wachina ndio watesi jihadists hawana neno.
 
IDF instructs Israelis to prepare for 3-day stay in bomb shelters/secure rooms, ensure supply of food, water, battery-run devices in case power is down. This is a clear indication of imminent escalation into larger war.
 
Kuna kitu kinaitwa Rules of Engagement ni pamoja na kutoua mateka.

Lakini tatizo ni kwamba hivi vikundi vya Kigaidi havifuati sheria zozote sote tunakumbuka ISIS ilipowakamata Mashia wa Iraq na kuwachinja pembeni ya Mto.

Modus Operandi ya Gaidi ni kuingiza Hofu kwa yeyote yule.
 
Ni wakati wa Mungu wa Israel kulinda watu wake yeye mwenyewe sio kuwapa watu mzigo wa maombi kwa mambo ambayo hayawahusu.

Kama yeye mwenyewe Mungu wa Israel ameshindwa kuilinda Israel yake hadi ipigwe mabomu na Hamas, wewe mnyambo wa Karagwe unakesha kuiombea Israel una akili kweli?
Utakatifu wa Taifa la Israel ulikoma pale walipo msulubisha Kristo. Sasa hivi Israel ni taifa kama mataifa mengine tu
 
Palestine hata waungane na dunia nzima still hawawezi futa taifa la Israel, never! Kuna vita itakuja ambapo mpinga Kristo atajaribu kutaka kuifuta Israel still naye hatofanikiwa.
Kwenye Zekaria 2:8 Mungu anawaambia wana wa Israel "Hakika, anayewagusa nyinyi anagusa mboni ya jicho langu." hii ni kuonyesha how God is serious na taifa lake aliloamua kujifunua hapa duniani. Usicheze na Mungu inapokuja issue ya Israel na ndiyo maana now Iran karuka kimanga kasema aku sikuwasaidia Hamas miyeee, maana anajua jews ni watu gani scientist wake wa nyuklia wengi sana wameuwawa na Israel hivyo anajua Israel hatanii inapokuja kupigania usalama wake.
Netanyau anakwambia "Retaliation against Hamas has only just begun" Israel will use "enormous force" against the Hamas militant group.
Watu hawana supplies ya maji, umeme, mafuta, chakula yaani Gaza imehusuriwa kuna nini tena hapo!
Wahenga husema usianzishe vita ilhali upo kwenye nyumba ya vioo, ndicho kinachowakuata Palestine, mwisho wa siku hasara kubwa sana sana itakuwa upande wa Palestine sasa faida gani itakuwa wamepata! na kibaya waarabu wenzao waliowajaza maneno juzi juzi leo hawana cha kuwasaidia ndiyo kwanza wanajadili amani iwepo hivi mtu kama Netanyau atataka amani tena?
Wewe myahudi wa iyunga hao waisraeli wenyewe wanampinga christo hapa sasa hivi wanashambulia makanisa yaliyopo gaza
 
Palestina inavyo chakazwa. Soon wataanza kupost picha za watoto waliokufa ili dunia iwaonee huruma. Vita haina macho
 
Hii vita ni kwa sababu inahusisha imani... Muislamu anakuwa upande wa Palestina na Mkristo upande wa Israel

Huku wahindu, budhaa na watu kutoka India, China, Korea, Japan wakishangaa hawa jamaa wanagombania nini 😂😂😂
Kukusahihisha tu Wakristo wengi ambao sio protestant ama vibaraka wao wapo upande wa Palestina.

South America ina Wakristo kibao ila karibia yote ipo upande wa Palestina, hao Lebanon kibao ni Wakristo wapo Palestina, Wa Palestina wengi wa Usa ni wakristo ila nao wapo Upande wa Palestine.

Israel ina Mashabiki wengi Africa na India,
 
Al Qasam imetoa onyo la mwisho kwa Israel kwamba itachinja mateka mmoja baada ya mwingine kwa kila shambulio litakalofanywa na Israel Bila tahadhari

Uchinjaji huo utarekodiwa na kurushwa kwa Dunia Nzima, wamesema

Source Al jazeera news
Wakimaliza kuchinja warushiane mabomu ya nyuklia wao waisrael wafute wote katika USO wadunia

Tupumzike makelele ya Waisrael na Waparestina
 
Back
Top Bottom