Hakuna nchi pasipo watu. Watu ndiyo huanzisha nchi. Kukujibu swali lako ni kwamba, hao walioanzisha hiyo walikuwepo wakiishi hapohapo.Nchi ya Israel ilikiwa wapi kabla ya 1947?
Hao Uyghur ingekuwa watesi wao ni wazungu au waisraeli jihadists wangekuwa kwenye Olypmpic ya kulaani unyama wanaofanyiwa lkn kwa kuwa ni wachina ndio watesi jihadists hawana neno.Waarabu na waislam wanafiki tuu
Mbona wapo kimya kuhusu
Uyghur genocide
π€£π€£π€£π€£Wapigwe hadi washindwe kuinama misikitini
Utakatifu wa Taifa la Israel ulikoma pale walipo msulubisha Kristo. Sasa hivi Israel ni taifa kama mataifa mengine tuNi wakati wa Mungu wa Israel kulinda watu wake yeye mwenyewe sio kuwapa watu mzigo wa maombi kwa mambo ambayo hayawahusu.
Kama yeye mwenyewe Mungu wa Israel ameshindwa kuilinda Israel yake hadi ipigwe mabomu na Hamas, wewe mnyambo wa Karagwe unakesha kuiombea Israel una akili kweli?
Wewe myahudi wa iyunga hao waisraeli wenyewe wanampinga christo hapa sasa hivi wanashambulia makanisa yaliyopo gazaPalestine hata waungane na dunia nzima still hawawezi futa taifa la Israel, never! Kuna vita itakuja ambapo mpinga Kristo atajaribu kutaka kuifuta Israel still naye hatofanikiwa.
Kwenye Zekaria 2:8 Mungu anawaambia wana wa Israel "Hakika, anayewagusa nyinyi anagusa mboni ya jicho langu." hii ni kuonyesha how God is serious na taifa lake aliloamua kujifunua hapa duniani. Usicheze na Mungu inapokuja issue ya Israel na ndiyo maana now Iran karuka kimanga kasema aku sikuwasaidia Hamas miyeee, maana anajua jews ni watu gani scientist wake wa nyuklia wengi sana wameuwawa na Israel hivyo anajua Israel hatanii inapokuja kupigania usalama wake.
Netanyau anakwambia "Retaliation against Hamas has only just begun" Israel will use "enormous force" against the Hamas militant group.
Watu hawana supplies ya maji, umeme, mafuta, chakula yaani Gaza imehusuriwa kuna nini tena hapo!
Wahenga husema usianzishe vita ilhali upo kwenye nyumba ya vioo, ndicho kinachowakuata Palestine, mwisho wa siku hasara kubwa sana sana itakuwa upande wa Palestine sasa faida gani itakuwa wamepata! na kibaya waarabu wenzao waliowajaza maneno juzi juzi leo hawana cha kuwasaidia ndiyo kwanza wanajadili amani iwepo hivi mtu kama Netanyau atataka amani tena?
Shida sana hii!hawa magaidi wanajiita waislam mbona makatili hivi.
Ila wao ndio wachokozi..Palestina inavyo chakazwa. Soon wataanza kupost picha za watoto waliokufa ili dunia iwaonee huruma. Vita haina macho
View attachment 2777083
Kukusahihisha tu Wakristo wengi ambao sio protestant ama vibaraka wao wapo upande wa Palestina.Hii vita ni kwa sababu inahusisha imani... Muislamu anakuwa upande wa Palestina na Mkristo upande wa Israel
Huku wahindu, budhaa na watu kutoka India, China, Korea, Japan wakishangaa hawa jamaa wanagombania nini πππ
Hata sisi huko sikonge kuna pori kubwa sanaaaa,Wapewe Israel fresh tuDRC watoe eneo maporini Huko waipatie nchi mojawapo kati ya Palestine na Israel. Hasa Israel ipewe.
Wakimaliza kuchinja warushiane mabomu ya nyuklia wao waisrael wafute wote katika USO waduniaAl Qasam imetoa onyo la mwisho kwa Israel kwamba itachinja mateka mmoja baada ya mwingine kwa kila shambulio litakalofanywa na Israel Bila tahadhari
Uchinjaji huo utarekodiwa na kurushwa kwa Dunia Nzima, wamesema
Source Al jazeera news