FromMahoma
Member
- Oct 13, 2016
- 73
- 36
Hakuna kigezo cha afya ya akili kufanya uwe na akaunti JF .....Aisee! Eti wayahudi wapo India na Ethiopia. Yaani nimecheka sana
Badi ss itakua zaidi
Mkuu kwahiyo tufanyeje?Kwani nyie wezangu hamuogopi yajayo?
View: https://twitter.com/visegrad24/status/1711456042326827056?t=MI17EWU6Y0-kd49f_DWvWQ&s=19
Source ya haya maelezo ipo? Kama ipo naiomba mkuuSawa.
Na wale wakristo waarabu walioishi Gaza na West Bank ambao wananyanyaswa, wanawake wao wanabakwa na familia kuporwa mali, acha hivo tuu haohao wakristo waarabu ambao wakizika wafu wao huko palestine, Hamas wanafukua makaburi yao, wanatupa miili ya wafu barabarani, wanasema kwamba kuzika mkristo kweny ardhi ya Palestine ni kosa, kwamba "Wanainajisi ardhi ya Palestine", Hamas hawataki wazikwe kweny ardhi ya palestine.
Kuna muungano hapo?? Huo muungano wa waarabu bila kujali dini uko wapi hapo kama wanawafanyia hivo??
Kweli nina uchache wa taarifa.
Kichapo gani cha kigaidi kushambulia raia kaangalie Gaza inavyoteremshiwa mvua ya makomboraHawa jamaa wamechanganyikiwa baada ya waisrael 1000 kuangamizwa siku leo wamegeukia makanisa sasa
Wameshambulia kwa makombora kanisa moja na kuliharibu kabisa
Hii sio mara ya kwanza kubomoa makanisa au kuyashambulia kichapo cha Hamas kimewaingia hadi wameanza kupaniki
Media coverage| Israeli attacks on #Gaza have targeted the third oldest #church in the world, which was 1616 years old, Saint Porphyrius Orthodox Church.View attachment 2777149
Kinondoni. Ikibidi maandamano ya Amani Ijumaa mpaka Ubalozi wa Israel na bendera ya IsraeliYa Gaza au ya wapi?
Gaza ni mwendo wa mvua ya makombora leo wafia dini mpaka mtafute huruma ya duniaHawa jamaa wamechanganyikiwa baada ya waisrael 1000 kuangamizwa siku leo wamegeukia makanisa sasa
Wameshambulia kwa makombora kanisa moja na kuliharibu kabisa
Hii sio mara ya kwanza kubomoa makanisa au kuyashambulia kichapo cha Hamas kimewaingia hadi wameanza kupaniki
Media coverage| Israeli attacks on #Gaza have targeted the third oldest #church in the world, which was 1616 years old, Saint Porphyrius Orthodox Church.View attachment 2777149
Parliamentary question | Violence against Christians in the Gaza Strip | E-006179/2011 | European ParliamentS
Source ya haya maelezo ipo? Kama ipo naiomba mkuu
Tayari waplestine 560 na majeruhi 2600 bado kufukulliwa kwenye vifusi wengineNa sisi tunampa pole nyingi kwa vifo wvya wayahudi zaidi ya 700 mpaka sasa, lakini kama anavyotowa ategemee kuppokea.
Gaidi acha propagandaHawa jamaa wamechanganyikiwa baada ya waisrael 1000 kuangamizwa siku leo wamegeukia makanisa sasa
Wameshambulia kwa makombora kanisa moja na kuliharibu kabisa
Hii sio mara ya kwanza kubomoa makanisa au kuyashambulia kichapo cha Hamas kimewaingia hadi wameanza kupaniki
Media coverage| Israeli attacks on #Gaza have targeted the third oldest #church in the world, which was 1616 years old, Saint Porphyrius Orthodox Church.View attachment 2777149
Waliuelewa mziki acha wauchezeHv nyie hamziona videos za wapalestine wanavihangaika na miili huko !? Tuwaombee wauane salama tu.
Mbona kidogo sana hao. mimi nahisi wapalestina zaidi ya 10,00 wameuliwa.Tayari waplestine 560 na majeruhi 2600 bado kufukulliwa kwenye vifusi wengine
Sent from my Infinix X663 using JamiiForums mobile app
😥Imagine umetekwa na unapewa HIYO taarifa kwamba kila shambulio litamaanisha kuchinjwa kwa kukatwa shingo na kisu na ndio mwisho wa wewe kuwa hai hapa duniani unaondoka duniani kwa maumivu makali sana hata kale ka imani ka kubadilishana wafungwa hakapo tena POW SWAP DEAL hivyo kufa wewe ni 100% kinyama na kikatili kisu kinapenya shingo na macho kuanza kuona giza na hatimaye unaanza kujisaidia na kukojoa kwa maumivu makali ya kisu kukata mifupa duuuuuuuh.
Iran yaweza kuwa ahusika au hausiki hiyo ni vigumu kuthibitisha."Iran denies involvement in Hamas attack" inakuaje tena jamaa hataki kujiingiza na kutoa support
Nami nimeuliza hilo pia, Israel ilikuwa wapi katika hii dunia kabla ya 1947Israel ilikuwa wapi??