LIVE Yanayojiri vita ya Israel dhidi ya Palestina na HAMAS

LIVE Yanayojiri vita ya Israel dhidi ya Palestina na HAMAS

Live coverage on JamiiForums
S
Sawa.

Na wale wakristo waarabu walioishi Gaza na West Bank ambao wananyanyaswa, wanawake wao wanabakwa na familia kuporwa mali, acha hivo tuu haohao wakristo waarabu ambao wakizika wafu wao huko palestine, Hamas wanafukua makaburi yao, wanatupa miili ya wafu barabarani, wanasema kwamba kuzika mkristo kweny ardhi ya Palestine ni kosa, kwamba "Wanainajisi ardhi ya Palestine", Hamas hawataki wazikwe kweny ardhi ya palestine.

Kuna muungano hapo?? Huo muungano wa waarabu bila kujali dini uko wapi hapo kama wanawafanyia hivo??

Kweli nina uchache wa taarifa.
Source ya haya maelezo ipo? Kama ipo naiomba mkuu
 
Kanisa gani limeshambuliwa?

Mbona hujaleta zile hashtag za Pray4Palestine.
 
Hawa jamaa wamechanganyikiwa baada ya waisrael 1000 kuangamizwa siku leo wamegeukia makanisa sasa

Wameshambulia kwa makombora kanisa moja na kuliharibu kabisa

Hii sio mara ya kwanza kubomoa makanisa au kuyashambulia kichapo cha Hamas kimewaingia hadi wameanza kupaniki

Media coverage| Israeli attacks on #Gaza have targeted the third oldest #church in the world, which was 1616 years old, Saint Porphyrius Orthodox Church.View attachment 2777149
Kichapo gani cha kigaidi kushambulia raia kaangalie Gaza inavyoteremshiwa mvua ya makombora

Sent from my Infinix X663 using JamiiForums mobile app
 
Hawa jamaa wamechanganyikiwa baada ya waisrael 1000 kuangamizwa siku leo wamegeukia makanisa sasa

Wameshambulia kwa makombora kanisa moja na kuliharibu kabisa

Hii sio mara ya kwanza kubomoa makanisa au kuyashambulia kichapo cha Hamas kimewaingia hadi wameanza kupaniki

Media coverage| Israeli attacks on #Gaza have targeted the third oldest #church in the world, which was 1616 years old, Saint Porphyrius Orthodox Church.View attachment 2777149
Gaza ni mwendo wa mvua ya makombora leo wafia dini mpaka mtafute huruma ya dunia

Sent from my Infinix X663 using JamiiForums mobile app
 
"Iran denies involvement in Hamas attack" inakuaje tena jamaa hataki kujiingiza na kutoa support
 
Hawa jamaa wamechanganyikiwa baada ya waisrael 1000 kuangamizwa siku leo wamegeukia makanisa sasa

Wameshambulia kwa makombora kanisa moja na kuliharibu kabisa

Hii sio mara ya kwanza kubomoa makanisa au kuyashambulia kichapo cha Hamas kimewaingia hadi wameanza kupaniki

Media coverage| Israeli attacks on #Gaza have targeted the third oldest #church in the world, which was 1616 years old, Saint Porphyrius Orthodox Church.View attachment 2777149
Gaidi acha propaganda

View: https://twitter.com/sentdefender/status/1711447965745762539?t=TicgimJsD6YC7NcyeYHsgQ&s=19
 
Naona majirani kimyaaa...hawa jamaa wakikupiga wanachukua na kipande cha ardhi...
 
Imagine umetekwa na unapewa HIYO taarifa kwamba kila shambulio litamaanisha kuchinjwa kwa kukatwa shingo na kisu na ndio mwisho wa wewe kuwa hai hapa duniani unaondoka duniani kwa maumivu makali sana hata kale ka imani ka kubadilishana wafungwa hakapo tena POW SWAP DEAL hivyo kufa wewe ni 100% kinyama na kikatili kisu kinapenya shingo na macho kuanza kuona giza na hatimaye unaanza kujisaidia na kukojoa kwa maumivu makali ya kisu kukata mifupa duuuuuuuh.
😥
 
Kwani yalianza leo hayo hata yawe mapya kwa wapelesyina? Wanayo hayo tokea mwaka 1948.
 
"Iran denies involvement in Hamas attack" inakuaje tena jamaa hataki kujiingiza na kutoa support
Iran yaweza kuwa ahusika au hausiki hiyo ni vigumu kuthibitisha.

Lakini hapohapo mpango wa Hamas ambao kiongozi wake yupo Qatar ni mpango ulosukwa kitaalam sana na hicho ndicho kinowasumbua Israeli.

Ila upande mwingine wa shilingi ni kwamba Israeli amepata tamaa zaidi ya kuongeza ardhi. Kabaila yoyote anapotaka ardhi hutumi ambinu nyingi ambazo zingine huku kwetu Tanzania huongea na maafisa wa ardhi.

Lakini ni matajiri na mabwanyenye wa Israeli ambao wanatamani ardhi zaidi ndo huenda wapo nyuma ya mpango huu wa kupunguza idadi ya watu.

Hoja yangu imejikita kwenye kauli walozitoa katibu mkuu wa Umoja wa Mataifa, raisi wa Misri na raisi wa Uturuki kwamba Israeli aangalie mashambulizi yake ya ndege kama yafanana na mashambulizi ya Hamas.

Tukumbuke, vyombo vyote vya habari ambavyo vipo mikononi mwa wenye uswahiba na mabwanyenye hao havitaandika wala kutangaza idadi kamili ya wapalestina wataouawa huko Gaza.
 
Back
Top Bottom