LIVE Yanayojiri vita ya Israel dhidi ya Palestina na HAMAS

Live coverage on JamiiForums
Mauaji ya raia yanayoendele Gaza kutokana na mashambulizi ya Israel kiukweli yanasikitisha na ki ubinadamu si sawa kabisaaa ni ya kulaani. Ila wakulaumiwa zaidi ni Hamas kwa kitendo ilichokifanya kuua raia wasio na hatia, kuwachoma moto/ kuwachinja watoto inatosha kusema hiki kikundi ni cha kigaidi dunia nzima ilipaswa kulaani pia kitendo kile walichofanya. Nina maswali wajuvi wa hizi mambo naombeni mnisaidie majibu yenye tija yasiyo egemea upande wowote.

Kabla ya shambulizi lolote kutokea huko Gaza je, Israel hutoa taarifa ya tahadhali kabla ya shambulizi au hushambulia bila taarifa?
Kama jibu ni ndio, sasa ni kwanini raia wanakufa katika mashambulizi hayo?

Kwanini wakazi wa Gaza hawajahama makazi yao hadi sasa ingawaje eneo hilo limegeuka uwanja wa vita?

Uhusiano wa Fatah na Hamas ukoje? Na je, Fatah anamsapoti Hamas?

Je, target hasa ya Hamas hasa ni ipi?

Je, maadui wa Hamas ni kina nani, kama ni Israel tu sasa kwanini inawauwa na kuwateka raia ambao wengine sio wa israel, hutumia kigezo gani kutengeneza uadui?

Je, kwanini nchi kama Misri iliyokaribu na Gaza inashindwa kuwapokea raia wa Palestina kama wakimbizi?

Je, target ya Israel ni ipi katika vita hii?
 
Ngoja nimuite Bejamini Netanyahu atakujibu ila sisi wasangazua wa huku Lukunguni Mvomero hatuna majibu ya maswali yako.
 
biafra hawakuwai kuua raia wema ila hamas wamefanya hivyo
Fact check chochote unachokisikia kwenye Mainstream Media, hio ndiyo njia ya kwanza ya kukwepa Propaganda

Propaganda za kum frame adui yako kama "Shetani", mnyama anayefanya uovu ambao hauingii akilini kama kukata vichwa vya watoto au kula watoto, havijaanza leo

Si Sadam alikua na silaha za maangamizi / Nuclear? Zipo wapi?

Wa Libya walikua wanateseka wakati wa utawala wa Gadaffi? Ni kweli?

Juzi huyo mama ya EU alikua anailaani Russia kwa kukata supply ya Gas yake, kuwa ni kitendo cha kishetani kwa raia?

Leo Israel wamekata access ya Chakula na Madawa ambayo sio yao kwa wananchi zaidi ya Milioni 2 ambao hawana pa kwenda na huyo huyo mama ameapa kuwa pamoja na Israel kwa kila hali

Una wapa watu Milioni 2 masaa 24 kutoka kwenye nchi yao halafu unataka Binadam wa ku support? Ni wanyama wenzao kama U.S na EU watawa support

Bado mnaamini vyombo vyao vya habari?

Propaganda
 

Acha kufananisha Biafra na Magaidi.
 

Ondokeni Gaza , acheni maneno mengi. Mnaiga kunya kwa tembo wakati hamuwezi. Nendeni Kaskazini mkapewe maelekezo mengine.
 
Kwahiyo tunakubaliana Palestine ananyanyaswa na tunakubaliana anaonewa, je, njia anazotumia mkandamizi wake kumkandamiza Palestine unazijua?
 
Mfumo wa kutoa taarifa au taadhari ya bomu ulilipuliwa na hao israel. Hapo ni dozi ya kimyakimya
 
Maelezo meengi cjaona ulipoilaan Hamas kwa kuchinja watoto. Unawalaumu media stream huku ukifanya kile kile.
 
Tulia mnyooshwe vita mliianza wenyewe, unakuaje mchokozi na huna mbwinu za kupigana

Mpaka mnye
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…