LIVE Yanayojiri vita ya Israel dhidi ya Palestina na HAMAS

LIVE Yanayojiri vita ya Israel dhidi ya Palestina na HAMAS

Live coverage on JamiiForums
Shirika la habari la AFP limeandaa orodha ya wageni 100 ambao wamethibitishwa kufariki, kutoweka, au kuchukuliwa mateka, kulingana na taarifa kutoka kwa mamlaka za kitaifa.Wengine wengi hawajulikanaji walipo

Marekani:27 wamekufa
Thailand:24 wamekufa
Ufaransa:15 wamekufa
Nepal:10 wamekufa
Argentina:Saba wamekufa
Ukraine:Saba wamekufa
Urusi:Wanne wamekufa
Uingereza:Wanne wamekufa
Chile:Wanne wamekufa
Austria:Watatu wamekufa
Belarusi:Watatu wamekufa
Kanada:Watatu wamekufa
Uchina:Watatu wamekufa
Ufilipino:Watatu wamekufa
Brazil:Watatu wamekufa
Peru:Wawili wamekufa
Romania:Wawili wamekufa
Australia, Azabajani, Kambodia, Ireland, Ureno, Uhispania, Uswizi, Kolombia, Paragwai:Mtu mmoja amekufa
Ujerumani, Mexico:Mateka kadhaa wamekamatwa
Italia, Paraguay, Sri Lanka, Tanzania:Kadhaa hawajulikani walipo
Tabia yetu ya kuingia na meli hapo ndio mtihani!
 
Hakuna anayestahili kipigo, mkuu -- si Myahudi wala Mpalestina. Wote wana haki ya kuishi na kufurahia maisha ambayo Mola amemjalia kila binadamu duniani.

Jambo la msingi wakae meza moja ya mazungumzo na kusuluhisha mgogoro wao kwa amani.

Mazungumzo ya amani yana nguvu kubwa kuliko silaha zote hatari za Mrusi.
Kuchukua Ardhi ya mwenzako kwa ubabe na ukatili wa kutisha kama aliokuwa anafanya Israel kwa miongo kadhaa.., Palestine hana haki ya kujitetea?
 
HAMAS KUNDI LAKISENGE LA KIGAIDI NAVUA NGUO ZANGU ZOTE NAKUWALAANI HAPA CHUMBANI KWANGU.

HAMAS NDIO WATESI WA RAIA WA PALESTINA AMBAO HAWANA HATIA.

HAMAS DOESN'T REPRESENT PALESTINIANS.

MAUMBWA HAWA.
Myebusi unavua nguo zote unataka kufanywa nini?
 
Duniani kosa vyote lakini usikose akili, ugomvi wa miaka yote Kati ya Palestina na Israel ni ardhi, kwamba Palestina iliporwa ardhi yake na Israel na HAMAS ndo wanaojiamini kwamba Wana uwezo wa kupigana na Israel na kuishinda.

Pamoja na yote, Israel iliendelea kutambua maeneo kama Gaza kuwa ni mali ya Wapalestina.

Sasa hivi Gaza ndo kwa heri tena, inaenda kuchukuliwa yote na kuwa mali ya Israel baada ya HAMAS kufanya mauaji ya kushtukiza ya waisrael zaidi ya 900.

Taarifa za uhakika ni kwamba wanajeshi laki tatu,wengi wao wakiwa makomandoo Hatari kabisa,wanaingia Gaza ndani ya masaa sita yajayo kuua kila kiumbe watakachokikuta hapo.

Na kisha watajenga kambi za kijeshi na kuigeuza Gaza kuwa mali ya Israel milele yote,kama walivyofanya kwa Syria kwa kuipora milima ya Golan Baada ya vita vya siku sita.

Hao wapalestina zaidi ya milioni moja walioamriwa kuondoka Gaza,kamwe hawatakaa warudi tena.

HAMAS imewaponza ndugu zao,Iran ni mbwa anayebweka tu lakini hawezi kung'ata,huu ndo ulikuwa wakati mzuri sana kwa Iran kuingia vitani na Israel ili aonyeshe uanaume wake.

Misri na nchi zingine za kiarabu hawawezi hata kuota tu kupigana na Israel,wanaujua mziki wake,wa mwaka 1967.

Hatimaye Gaza inaenda kuwekwa kwenye Ramani ya Israel

"Tutakachofanya hakitasahaulika kwa vizazi na vizazi"

Benjamin Netanyau, alimaanisha kuwa Gaza ndo imeenda hivyo.
 
Duniani kosa vyote lakini usikose akili, ugomvi wa miaka yote Kati ya Palestina na Israel ni ardhi, kwamba Palestina iliporwa ardhi yake na Israel na HAMAS ndo wanaojiamini kwamba Wana uwezo wa kupigana na Israel na kuishinda.
Pamoja na yote, Israel iliendelea kutambua maeneo kama Gaza kuwa ni mali ya Wapalestina.
Sasa hivi Gaza ndo kwa heri tena, inaenda kuchukuliwa yote na kuwa mali ya Israel baada ya HAMAS kufanya mauaji ya kushtukiza ya waisrael zaidi ya 900.
Taarifa za uhakika ni kwamba wanajeshi laki tatu,wengi wao wakiwa makomandoo Hatari kabisa,wanaingia Gaza ndani ya masaa sita yajayo kuua kila kiumbe watakachokikuta hapo.
Na kisha watajenga kambi za kijeshi na kuigeuza Gaza kuwa mali ya Israel milele yote,kama walivyofanya kwa Syria kwa kuipora milima ya Golan Baada ya vita vya siku sita.
Hao wapalestina zaidi ya milioni moja walioamriwa kuondoka Gaza,kamwe hawatakaa warudi tena.
HAMAS imewaponza ndugu zao,Iran ni mbwa anayebweka tu lakini hawezi kung'ata,huu ndo ulikuwa wakati mzuri sana kwa Iran kuingia vitani na Israel ili aonyeshe uanaume wake.
Misri na nchi zingine za kiarabu hawawezi hata kuota tu kupigana na Israel,wanaujua mziki wake,wa mwaka 1967.
Hatimaye Gaza inaenda kuwekwa kwenye Ramani ya Israel
"Tutakachofanya hakitasahaulika kwa vizazi na vizazi"
Benjamin Netanyau, alimaanisha kuwa Gaza ndo imeenda hivyo.
Nyongeza: wameshateuwa viogozi wapywa wa kiisraeli wa kutawala Gaza kama magavana na watendaji na ukumbuke Israel huwa ikichukua eneo huwa hawarirudishi

USSR
 
hakika naona Palestina yote ikiondoka jumla katika utambulisho wake duniani. Naona ardhi yote ya palestina Israeli ikija kutambulika kwa jina moja la Great Israel.
Siyo kirahisi kama unavyofikiri. Palestina itabakia milele.
 
Back
Top Bottom