LIVE Yanayojiri vita ya Israel dhidi ya Palestina na HAMAS

LIVE Yanayojiri vita ya Israel dhidi ya Palestina na HAMAS

Live coverage on JamiiForums
We Yahaya, kama kidume kweli basi bakia Gaza ili upambane na wanaume wenzio.


1697265419531.png

Yahya Sinwar, head of Hamas in Gaza, has been identified as a prime target by Israel
 
Huyo nae ni wa kumtaja, mchumia tumbo alitaka kuleta ujinga wake.Alitaka kucheza na dikteta akafyatwa.

Huyo macho-ku-mchuzi hana impact yoyote duniani, hata kwao machame hana impact.
Hata kwa familia yake hana impact?
 
Kwahiyo katika hali ya uonezi kama huo, tunakubaliana kwamba mayahudi yanstahiki kila pigo wanalopata toka kwa Hamas, sivyo?
Hakuna anayestahili kipigo, mkuu -- si Myahudi wala Mpalestina. Wote wana haki ya kuishi na kufurahia maisha ambayo Mola amemjalia kila binadamu duniani.

Jambo la msingi wakae meza moja ya mazungumzo na kusuluhisha mgogoro wao kwa amani.

Mazungumzo ya amani yana nguvu kubwa kuliko silaha zote hatari za Mrusi.
 
Hivi kwanini JAPAN high technology lakini mambo ya vita siwasikii???
1. Hiroshima & Nagasaki.

2. Lessons well-learned a hard way; history is a cherished tutor among the Japanese

3. Modern warfare is fast changing and transforming into economic one.

4. The role the United States plays in the world's geopolitics

5. Socioeconomic development within Japan itself
 
Kijana soma acha uvivu, Irone done technology ya wa-Islael, Marekani aliwekeza hela nyingi sana kufanikisha hiyo project - na production yake ipo Marekani kama ulikuwa hujui.
Hujuhi hata na wewe unachokiandika hapa, sema someni wote mkaongeze maarifa since both of you mko empty
 
Bahati mbaya sana si wewe,wala kizazi chako cha kwanza mpaka cha 10 mbele mtakaa mshuhudie hiki ulichokiandika hapa
Sio razima ashuhudie bali cha msigi ni wao kupata haki yao haijalishi ni wakati gani.

Hata hao wayahudi unao washabikia sasa hivi wameteseka maelfu ya miaka ya kutangatanga duniani na kuuawa lakini mwisho wa siku yaliisha na sasa hivi wao ndo wanawanyanyasa wengine.

Kwa hiyo hata ya hao wapalestina yataisha tu haijalishi ni miaka mingapi.
 
Sasa watakuwa wanapost vipi picha zao za kuomba Dunia iwaonee huruma
Acha dhihaka mtoto wa kike haya yanayo watokea watu wa gaza, siku moja unaweza jikuta unayapitia pamoja na watoto wako ndani ya nchi yako maana siasa hazijawahi kutabilika.
Kila mtu ni mkimbizi wa kesho hivyo ni vyema kuwa na akiba ya maneno.
 
Swali la msingi ni kwamba kwa nini isiwe pia mali ya Wapalestina?

Maana kama ni uhamiaji na uvamizi, wote hawa wana sifa hiyo inayofanana.
walichokosea wapalestina, baada ya kuvamia, wakaacha hadi majengo waliyojenga wayahudi, makaburi ya babu zao, kuta za hekalu n.k vipo hadi leo. kwahiyo wayahudi waliuwa wanarudi kwao. wapalestina hadi kufikia 1930s pale palikuwa hopeless tu, hawakujenga, hata majengo yaliyokuwepo yalijengwa na Roman empire (kina Pilato) na waingereza waliokuja kutawala. ila waarabu wao walikuwa wafuga mbuzi na kondoo tu.
 
Hutakiwi kusikitika bali ufurahi kwasababu ulicho kitaka kimekamilika sasa una sikitika nn?
We jamaa mnafiki sana, mwanzoni ulikua unachekelea Israel iliposhambuliwa, kibao kimegeuka umeanza kutia huruma.

Kichapo ndo kwanza kimeanza... na Israel inazidi kujiongezea eneo la ardhi kwa ulimbukeni wa magaidi.
 
Shirika la habari la AFP limeandaa orodha ya wageni 100 ambao wamethibitishwa kufariki, kutoweka, au kuchukuliwa mateka, kulingana na taarifa kutoka kwa mamlaka za kitaifa.Wengine wengi hawajulikanaji walipo

Marekani:27 wamekufa
Thailand:24 wamekufa
Ufaransa:15 wamekufa
Nepal:10 wamekufa
Argentina:Saba wamekufa
Ukraine:Saba wamekufa
Urusi:Wanne wamekufa
Uingereza:Wanne wamekufa
Chile:Wanne wamekufa
Austria:Watatu wamekufa
Belarusi:Watatu wamekufa
Kanada:Watatu wamekufa
Uchina:Watatu wamekufa
Ufilipino:Watatu wamekufa
Brazil:Watatu wamekufa
Peru:Wawili wamekufa
Romania:Wawili wamekufa
Australia, Azabajani, Kambodia, Ireland, Ureno, Uhispania, Uswizi, Kolombia, Paragwai:Mtu mmoja amekufa
Ujerumani, Mexico:Mateka kadhaa wamekamatwa
Italia, Paraguay, Sri Lanka, Tanzania:Kadhaa hawajulikani walipo
 
Back
Top Bottom