Gol D Roger
JF-Expert Member
- Sep 16, 2023
- 2,316
- 6,082
Na Wapalestina (Wafilisti) wao wasemeje, mkuu?anachomaanisha Benjamin netanyau, na ambacho ni cha kweli ni kwamba, kwa historia yote ya eneo lile, wafalme wote hadi uwepo wa roman empire, ottoman etc, wayahudi ndio ardhi yao, na hata walipohama hawakuhama wote, wapo waliobaki ambao sasa wapalestina waliwazidi idadi tu ila walibaki wengi sana pia.
Na Wapalestina (Wafilisti) wao wasemeje, mkuu?
Wamekuwepo hapo hata karne ya 12 BC. Hiki ni takriban kipindi cha matukio yaliyoandikwa kwenye kitabu cha Waamuzi, muda mrefu kabla hata ya Mfalme Daudi mwenyewe.
Ww ni mpumbavu hili sio jukwaa la dini na mada haina uhusiano wowote na dini lakini ww kila saa kuwashwa washwa tu kuongelea waisilam, huna akili.wapi nimeweka mzaha na dini ya mtu?
Alaf nyie watu hamjui maana ya chuki.
Laiti kama ww na mwenzako Hammaz mngekuweko Quora kweny majukwaa ya dini, bac kila mchangiaji mngesema ana Chuki na uislamu.
Criticism sio chuki, ngoja nitoe mfano mmoja, labda let's say mm ni msabato alaf nikasikia mtu anasema eti Ellen G White ni free Mason na ni muongo tuu hana lolote au akasema wasabato wote wanaabudu siku na sio mungu, alaf mm nianze kusema jamaa ana chukia wasabato, ni kweli anawachukia wasabato?
Mfano mwingine, let's say mm ni mkatoliki, alaf nikasikia mtu anasema wakatoliki wana abudu masanamu kwa sababu kweny makanisa yao kuna sanamu ya yesu au wakatoliki wanamfanya "Pope" kama mungu mtu, alaf mm nianze kusema jamaa anawachukia wakatoliki, ni kweli anawachukia wakatoliki??
Jifunzeni kutofautisha kati ya chuki na Criticism/opinion, tatizo lenu hamjuagi kutofautisha hivo vitu viwili?
Alaf na habari za kugeuza vita iwe ya kidini, nyie ndo kwanza narudia tena nyie ndo kwanza kuifanya hii vita ya kidini, we chunguza wenzako wanachoongea mtandaoni.
Tatizo mpo kweny "Comfort zone", Tokeni kweny "Comfort zone" kuna mambo mengi sana ya kujifunza??
Hizi video tuwe nazo makini, kuna video moja nimeona inasema hivo kwamba Israeli Air strike ndo imelipua magari ya watu gaza wanaohama, cha kushangaza "Aurora Intel" wakaieka hio video in 30fps na hawakuona air strike/projectile yeyote ilitoka juu, sisemi kwamba hamas ndo wana plant hayo mabomu kweny barabara ili kuzuia watu kuondoka, ili wawatumie kama human shields, ninachosema tuu tuwe makini na hizi video.
VIDEO YENYEW HII HAPA👇👇👇
View: https://twitter.com/TheMossadIL/status/1713224556758880269?t=3gtPV6UhDEC_Nl-lSegWVg&s=19
Na hizo picha za video in 30fps before the bomb went off ni hizi hapa👇👇👇
THERE WAS NO PROJECTILE
View attachment 2782253
View attachment 2782254
View attachment 2782256
View attachment 2782257
Kwenye hizo picha upande wa Kulia hizo niwaya eti zote au macho yngu mabovuHizi video tuwe nazo makini, kuna video moja nimeona inasema hivo kwamba Israeli Air strike ndo imelipua magari ya watu gaza wanaohama, cha kushangaza "Aurora Intel" wakaieka hio video in 30fps na hawakuona air strike/projectile yeyote ilitoka juu, sisemi kwamba hamas ndo wana plant hayo mabomu kweny barabara ili kuzuia watu kuondoka, ili wawatumie kama human shields, ninachosema tuu tuwe makini na hizi video.
VIDEO YENYEW HII HAPA👇👇👇
View: https://twitter.com/TheMossadIL/status/1713224556758880269?t=3gtPV6UhDEC_Nl-lSegWVg&s=19
Na hizo picha za video in 30fps before the bomb went off ni hizi hapa👇👇👇
THERE WAS NO PROJECTILE
View attachment 2782253
View attachment 2782254
View attachment 2782256
View attachment 2782257
Hammas sijuhi Hammaz unachotetea hapa ni pumba, mashariki ya kati pale hakuna kundi lenu au nchi yoyote ya kuingia vitani na Israel na hilo hata wewe unalitambua ila ni ujinga tu ndo unatuletea hapa.Mzee! Labda hili suala uwe unaliongelea kiushabiki. Lebanon kuna jeshi la nchi halafu kuna jeshi la Hizbullah.
Israel alilipiga jeshi la nchi na kuingia Lebanon. Hizbullah akaingia vitani kuinusuru nchi yao. Jeshi la nchi la Lebanon lilishindwa. Lakini jeshi la Hizbullah waliikomboa nchi.
Hizbullah walikuwa wanapigana vita ya namna mbili; ya ardhini na angani. Kitu ambacho kwa mara ya kwanza mashambulizi yakawa yanafika mpaka Israel na matokeo mshindi hakupatikana.
Labda kama hufahamu sheria za kimataifa za vita. Hata vunge la EU mbunge kutoka Irish kawaumbua wenzake kuwa Israel anavunja sheria za vita za kimataifa: Kuzuia huduma muhimu kama maji, umeme, msaada wowote kuwafikia, chakula n.k uhalifu wa kivita
Ninachomaanisha ni kwamba; Israel si kikundi cha mgambo kama Hamas! Au ni kikundi cha kigaidi. Wao ni nchi kamili na wanajeshi ambao wapo ndani ya sheria za kimataifa za kivita.. Kinachotakiwa kufanywa ni kitumia weledi wa medani za kivita kwa upande wao na si kulipua makazi ya raia. Waingie Gaza na wapambane kuwatokomeza Hamas.
Kwa sasa unashindwa kumtofautisha Israel na Gaidi kwa sababu mbinu wanazotumia zote ni sawa!
Sasa utavamiaje pasipo kuvamiwa?
Yaani Hizbullah ashambulie tu Israel? Hata wewe ukilipima hili linakuingia akilini?
Unachoshindwa kuelewa ni kwamba: Hamas ni kikundi tu cha wanamgambo! Wanatengeneza roketi kwa kutumia pipe za kupitishia maji, hawana zana zozote za kufanya liwe na sifa ya kuitwa jeshi.
Hizbullah wana jeshi la anga, la ardhini na majini. Hawana tofauti na Israel kwa sifa wote wanaitwa jeshi. Wana vifaru n.k
Kwa misingi hiyo Israel hawezi kupambana na Hizbullah hata mnadhimu wao wa jeshi kwa sasa kinachoendelea ameshakizungumzia.
Kwa hii vide naweza kusemea kuwa inawezekana hamas wameusika kwani Karla Vita kuna kutega mabomu ya ardhini sasa raia naona walivyo ambiwa waondoke wametumia njia ambozo inawezekana ilikua nimetego ya hamas Kwa Askari WA Israel so hiyo unaweza kutokeaHizi video tuwe nazo makini, kuna video moja nimeona inasema hivo kwamba Israeli Air strike ndo imelipua magari ya watu gaza wanaohama, cha kushangaza "Aurora Intel" wakaieka hio video in 30fps na hawakuona air strike/projectile yeyote ilitoka juu, sisemi kwamba hamas ndo wana plant hayo mabomu kweny barabara ili kuzuia watu kuondoka, ili wawatumie kama human shields, ninachosema tuu tuwe makini na hizi video.
VIDEO YENYEW HII HAPA👇👇👇
View: https://twitter.com/TheMossadIL/status/1713224556758880269?t=3gtPV6UhDEC_Nl-lSegWVg&s=19
Na hizo picha za video in 30fps before the bomb went off ni hizi hapa👇👇👇
THERE WAS NO PROJECTILE
View attachment 2782253
View attachment 2782254
View attachment 2782256
View attachment 2782257
Kaa kimya.Ww ni mpumbavu hili sio jukwaa la dini na mada haina uhusiano wowote na dini lakini ww kila saa kuwashwa washwa tu kuongelea waisilam, huna akili.
Tunza kumbukumbu ya hii post yako uje nayo baadayeUzuri tayari historia imeshaandikwa. Wababe wameweza kuwavamia asubuhi na mapema! Wakawatandika siku nzima, huku mayahudi wakijificha wasiuwawe!
Na baada ya kuwabonda vya kutosha, na kuchukua baadhi ya mateka! Hao mayahudi wameona watumie sasa makombora kuua akina mama na watoto! Badala ya kuwaua hao wanamgambo qa Hamas. Kama wana ujanja, waingie Gaza kuwatafuta hao Hamas halafu waone kitakacho wakuta.
Unashangalia historia kuandikwa wakati watu wanazidi kufaUzuri tayari historia imeshaandikwa. Wababe wameweza kuwavamia asubuhi na mapema! Wakawatandika siku nzima, huku mayahudi wakijificha wasiuwawe!
Na baada ya kuwabonda vya kutosha, na kuchukua baadhi ya mateka! Hao mayahudi wameona watumie sasa makombora kuua akina mama na watoto! Badala ya kuwaua hao wanamgambo qa Hamas. Kama wana ujanja, waingie Gaza kuwatafuta hao Hamas halafu waone kitakacho wakuta.
More than 700 Palestinian children reportedly killed in Gaza, UNICEF says
From CNN's Lauren Kent
Black smoke rises after an Israeli airstrike in Gaza on Saturday. Ali Jadallah/Anadolu Agency/Getty Images
More than 700 children have been killed in Gaza and another 2,450 have been injured since last Saturday, according to the United Nations Children’s Fund, citing local sources.
The Saturday figures are an update to UNICEF's Friday statement, which said “hundreds & hundreds of children have been killed and injured,” noting the number rises every hour.
Elder joined calls from the international community saying, “Israeli children being held hostage in Gaza must be safely and immediately reunited with their families and loved ones.”
Previous reporting from CNN's James Frater
===========================
Huu unyama na ugaidi unaofanyika kwa mwavuli wa 'haki ya kujitetea' lazima ulaaniwe na kila mpenda amani.
Hawa wanaojiita 'civilized world' na wenye democratic institutions huku wanafumbia macho haya ni wanafiki tu na mawakala wa kuzimu wanaotaka kutoa damu za Wapalestina kama kafara.
Ufunuo wa yohana 3:9 " tazama, nakupa walio wa sinagogi la shetani wasemao kwamba ni Wayahudi nao sio, bali wasema uongo. Tazama, nitawafanya waje kusujudu mbele ya miguu yako na kujua ya kuwa nimekupenda".
Hao mawakala wa Ibilisi wanaojiita Wayahudi kumbe ni 'Wayahudi feki' na wanaua raia wema wa Palestine adhabu yao kubwa ipo.
Palestine haitaangamizwa kamwe wala kufutwa na yeyote.
Mungu ibariki Israel..🙏🙏🙏🙏
Mungu ibariki Palestine...🙏🙏🙏
Lakini mbona huyo ni mdoli kweli mkuu. Hapo ukiweka hizo chuki unazozisema pembeni, mi naona watu wanakimbia na mdoliWewe inafahamika tangu huu Uzi uanze ni mtu mwenye chuki na wapalestina na waarabu na waislamu.
Sasa sijajua kama chuki ni sehemu yako ya ibada kwamba ukiifanya ndipo baraka za Mungu wako kwako zinaongezeka ama laa!
Chochote ambacho unakiabudu ama kukihusudu kwako ndicho Mungu wako basi kwa roho yako Mungu wako atakuwa ni mwenye chuki kubwa sana isiyomithilika!
Uandishi wa kukosoa na uandishi wa chuki unafahamika Mh.Bw. Mkubwa!Mkristo akisema neno lolote kuhusu uislamu anaitwa mwenye chuki na anastahili kukatwa kichwa ila muislamu akiongea kitu kuhusu ukristo au akiua mkristo "Allahu Akbar" ni mfia dini.
Kama kusema ukweli ni chuki, bac mimi nina chuki na mungu wangu ana chuki.
Ambacho hujui ni kwamba baba angu alikuwa muislamu na mm mwenyew nilivokuwa mdogo nilikuwa muislamu, huwez kunidanganya chochote kuhusu philosophy za kikristo na kiislamu.
Kama nina chuki na uislamu bac ninamchukia hadi baba angu mzazi na ndugu zake wote(bibi angu, wajomba zangu na Shangazi zangu) ambao kwanza walimtenga baba angu na kutishia kumuua baada ya kubadili dini, ila mm hadi leo mtoto wa kafir nawasaidia kila siku wakinihitaji hadi kweny masherehe yao nipo, michango mikubwa natoa mm, mm huyuhuyu waliomtenga baba angu.
Some other things are very personal sitaki tuu kuyasema hapa tuishie hapo.
SINA CHUKI NA PALESTINE.
SINA CHUKI NA WAARABU(NAFANYA NAO KAZI SANA).
SINA CHUKI NA WAISLAMU(NDUGU ZANGU WOTE UPANDE WA BABA NI WAISLAMU NA HOLIDAYS TUNAKARIBISHANA TUNAKULA MEZA MOJA)
SIWEZI KUMCHUKIA BINADAMU MWENZANGU, KAMA SINA CHUKI NA WALIOMTISHIA KUMUUA BABA ANGU NITAMCHUKIA NANI MWINGINE DUNIA HII??
TATIZO LAKO MZEE, HUJAZOEA KUSIKIA UKWELI NDO MAANA UNAONA KAMA CHUKI.
CRITICISM SIO CHUKI.
hawa wanastahili kila kipigo wanachokipata. watu hamuwajui walivyo wakatili. miaka ya sabini, baada ya kupigwa sana na wayahudi, walikimbilia ukimbizini, wakawekwa kwenye makambi Lebanon, walebanon ambao majority walikuwa ni wakristo waliwakaribisha kwa moyo safi, walipokaa na kushiba, walichinja walebanoni wengi sana na kuibadilisha lebanon kuwa ya kiislam hadi leo. nenda angalia historia ya vita vya lebanon halafu angalia nani walikuwa wanasababisha na nani walichinja hadi wakristo wa lebanon wote walikimbia nchi, na wao walikuwa wageni. wanavuna walichopanda.Na Wapalestina (Wafilisti) wao wasemeje, mkuu?
Wamekuwepo hapo hata karne ya 12 BC. Hiki ni takriban kipindi cha matukio yaliyoandikwa kwenye kitabu cha Waamuzi, muda mrefu kabla hata ya Mfalme Daudi mwenyewe.
thawa tu, bora yesheeeSisi tunasimama kwenye haki na kupinga uonevu
Ushan'fahamu? Mr Makame Shahada Pandu Ameirthawa tu, bora yesheee