LIVE Yanayojiri vita ya Israel dhidi ya Palestina na HAMAS

Live coverage on JamiiForums
Mzee unaijua chuki??
Kama umenielewa vibaya kwa sababu ya uandishi wangu, Samahani sana kwa kukukwaza, kwa sababu siwez andika kitu kwa namna ambayo itafanya kila mmoja aelewa kwa namna ambayo mm nataka yeye aelewe, na kama hujazoea kukutana na watu wanao criticise mambo ambayo ww unayaona kama hayafai kuwa criticised(maybe there too precious to you) bac nikushauri tuu ukamae kiakili, sio kila mtu atakubaliana na ideologies zako maishani, sio kila mtu atakubaliana na unachosema.
Mm nimepata criticism nyingi sana kuhusiana na maswala ya dini tena kwa hao ndugu zangu, lakini sijawahi kusema wanaotoa hizo criticism kwamba wana chuki, kwasababu kwangu criticism ni chachu ya kuendelea kutafuta ukweli na kuzidi kujifunza na sio kuanza kusema flani ana chuki.

Na mambo mengine niliokuwa napost hapa nimeyatoa kweny twitter(X) accounts zinazomilikiwa na waarabu waislamu, kwaio kama mm nina chuki na hao waislamu wenzenu waarabu nao wana chuki na nyie.
Mfano mmoja wa hizo account ni hii hapa, ingia mwenyew ujionee👇👇👇


View: https://twitter.com/Imamofpeace/status/1713065061705523645?t=8h1gqOWOCs5veM8P80BELA&s=19
Ningekuwa nachukua information kweny twitter(X) accounts za wakristo hapo sawa, lakini nachukua information from accounts za vyombo vya habari(BBC, Spectator index), account za Indians(Hindus), account za waarabu waislamu, alaf mnaniita nina chuki, au kwasababu nimetafsiri tuu yaliandikwa kweny hizo habari?

Mm najua kwamba uislamu hau support haya mambo, hau support vita wala kuua watu, na vilevile najua kwamba Western countries kama USA wanawalipa baadhi ya waislamu wasiojielewa (hata nchi zao haziwataki) kufanya uhalifu wa kuua watu, kujilipua na mabomu na kubaka watoto ili kuuchafua uislamu, na it is known kwamba Western media ina edit information, na vilevile ina walisha reporters wake scripts ili watoe information zinazo uchafua uislamu.
Ila cha kushangaza sinaona hata mmoja wenu akilizungumzia hili swala, nilichoona tuu mna support uuaji na dini inakataza.
 
Unafahamu kuhusu Crusades, mkuu?

Una habari kwamba Roman Catholic Church iliendesha harakati za mauji ya Wakristo katika kipindi cha Dark Ages (karne ya 5 - 14 AD) na kwamba ina hatia ya vifo vya mamilioni ya watu -- wengi kuliko jumla ya wale waliokufa kwenye vita vya 1 na 2 vya dunia?

Please, read your history.

Kwa hiyo na wao Wakatoliki wauawe popote pale walipo duniani, au kanuni hii inahusika kwa Wapalestina tu?
 
Inaonekana U.S.A. imekusanya raia wengi kutoka mataifa yote duniani, na wana uhuru wa kuandamana,
Hii jamii ya waarabu inaiponda sana Marekani lakini mbona bado ndoto zao ni kwenda huko huko kutafuta maisha? Kwa nini wasiende kutafuta maisha Irani Russia au China?
Sijaona maandamano ya waarabu Moscow kwa Putin.
 
Mkuu angalia war result.
Kuna baadhi ya vyombo vya Habari vya uharabuni walisema hezbullah walipoteza Fighter zaidi ya 5000.
Na Israel hawakufika hata 200.
Sasa utasemaje hezbullah ni wapiganaji??
Sinario yako ni kama ya Kongo ambapo Rwandan tutsi force na Ugandan hima force pamoja na Banyamulenge walivamia Congo kwa lengo la kumuondoa Senior kabila waliteka kama congo yote.

Walipo karibia Kinshasa wakakitana na Angola na Zimbabwe, wakapigana na vita kuamia eastern DRC , walipigana kwa miaka 4 na meizi 10.
Result ya war watu million 4 mpk 5 walikufa na wanawake 500k kubakwa. Lkn walishidwa kumpindua kabila huku Uganda ilipoteza wanajeshi zaidi ya 2000
Na rwanda zaidi ya 1000.
Vita viliisha baada ya UN na USA kuforce womanizer vita.
KUMBUKA USA WALIKUWA WANASAIDIA RWANDA NA UGANDA

Afu wakongo waseme tulipiga rwanda na Uganda kwa msaada ya Angola na Zimbabwe.
Huku Atrocities ilitokea kubwa sana.
Sasa watakuwa wamepata nini?
 
Chanzo si tumeshakubaliana ni Mayahudi kuchukua ardhi zaidi ya ike waliyopewa na UN? Sasa utasemaje wanatesana wakati mchokozi ameshafahamika?

Njia na mbinu anazotumia Myahudi katika uporaji wa ardhi ya ziada ya ile aliyopewa na umoja wa mataifa, unazijua?!
 
Matokeo yake mashambulizi yakawa yanatumwa mpaka Israel.
Vita vya mwaka 2006,
Ambapo hata Israel hawakua na Iron dome do maana hata Hamas kwa kipindi kile walikuwa wanahattack sana na hualibifu ulikuwa ni mkubwa Israel ndo maana mwaka 2011 wakaja na Iron dome.

Wiki iliyopita makombola zaidi ya 300 yalirishwa kutoka Lebanon 🇱🇧 kwani yalitua mangapi kwenye ardhi ya Israel????
 
Mwisho wa ubabe wa USA na NATO ndiyo umefikia.


Kimya kingi kina mshindo, wao wanajidai kutamba sana hapo kama mandonga, watu wanawasikiliza na kuwatazama tu.
Ndoto za alinacha hizo bi Faiza
Hebu kwanza kula chuma hicho hapo chini👇👇👇👇

World
Live TV


US sending second carrier strike group, fighter jets to region as Israel prepares to expand Gaza operations​

By Oren Liebermann, Natasha Bertrand and Brad Lendon, CNN
3 minute read
Updated 11:22 PM EDT, Sat October 14, 2023







Aircraft carrier USS Dwight D. Eisenhower deploys from Naval Station Norfolk, Oct. 14, 2023
Petty Officer 2nd Class Anderson W. Branch/Commander, U.S. 2nd Fleet

Washington/SeoulCNN —
The Pentagon has ordered a second carrier strike group to the eastern Mediterranean Sea and is sending Air Force fighter jets to the region as Israel prepares to expand its Gaza operations, US Defense Secretary Lloyd Austin said in a statement Saturday.
The US warships are not intended to join the fighting in Gaza or take part in Israel’s operations, but the presence of two of the Navy’s most powerful vessels is designed to send a message of deterrence to Iran and Iranian proxies in the region, such as Hezbollah in Lebanon.
The movements are “part of our effort to deter hostile actions against Israel or any efforts toward widening this war following Hamas’s attack on Israel,” Austin said in the statement.
The first carrier strike group, led by the USS Gerald R. Ford, arrived off the coast of Israel last week
 
Vita vya 2006 vya Lebanon mimi nazungumzia matokea ya vita.
Vile vita hakuna aliyeshinda hata moja.
Jaribu kufuatilia comments zangu hapo.
Nilichokuwa naelezea ni matokea ya vita vile.

ACHA KUCOMMECT KWA MIHEMUKO MKUU.
HILI ni jukwaa tuu tubapeana Habari.
 
Hata watching wenyewe wanaangaika wanataka kuuza vitu vyao USA.
 
Mkuu hio video ya juu sio Israel air strike maana kama ingekuwa ni air strike hilo gari trailer ingearibika.
kuvunjwa vunjwa sasa hilo trailer la gari ni bado lipo Zima kabisa.
Hao watu wameuwawa na bunduki.
Hio ni fake news
 
Chanzo si tumeshakubaliana ni Mayahudi kuchukua ardhi zaidi ya ike waliyopewa na UN? Sasa utasemaje wanatesana wakati mchokozi ameshafahamika?
Mkuu, ukiwauliza Wayahudi wao watakwambia hawakurudi Palestina kwa kupenda wala kwa lengo la kuwatesa wenyeji wao, bali lilikuwepo shinikizo kubwa la mauaji ya jamii zao hasa huko Ulaya na Urusi, huku dunia nzima ikiwaangalia tu bila kuwapa msaada wowote wa maana.

Mbaya zaidi, mataifa kama Marekani, Uingereza, South America na mengineyo yalikataa kuwapokea wakimbizi Wayahudi hao.

Salama yao waliona ilikuwa kurudi nchi ya Palestina, pengine kabisa wakiwa na ndoto za kuishi kwa amani milele.
Njia na mbinu anazotumia Myahudi katika uporaji wa ardhi ya ziada ya ile aliyopewa na umoja wa mataifa, unazijua?!
^Mbinu:^ Mkuu, unajua kwenye vita, kanuni huwa ni ileile ya msituni -- mwenye nguvu zaidi ndiye anapona.

Kwa Wayahudi pia, mbinu yao wanaona inahalalishwa na matokeo ya mwisho wanayolenga.

Nukta yangu ni ipi? Ni kwamba haisaidii sana kumtafuta mchawi kwa sasa. Kama hakuweza kupatikana kwa zaidi ya miaka 75 ya mgogoro huu, tusitegemee mapya.

Wayahudi wanasema wamekuwepo hapo Mashariki ya Kati tangu utawala wa Mfalme Daudi.

Wapalestina pia wanadai eneo hilo vizazi vyao vimekuwa vikilimiki huenda hata katika kipindi cha Ibrahimu.

Ufumbuzi wa kudumu wa amani hususan kwa njia ya pande mbili hasimu kukaa meza moja ya mazungumzo ndiyo namna pekee ya kuhakikisha utulivu na usalama wa kizazi chetu ambacho ni wazi kimesimama kwenye ukingo wa kujiangamiza chenyewe.

The future of existence of our beautiful Planet Earth, the abundance of life in it and its rich historical and material resources are in our hands.

We can choose to play dumb and obliterate all in a blink of an eye, or be reasonable and grateful enough to learn to live with others in harmony regardless of our differences.

And so, as the entrusted custodians of this world, what will we do? Time will tell.

As we desperately wait to see what direction the hypocritical politicians and warmongers would take, let all good people and well-wishers do something about it.
 
Mwisho wa ubabe wa USA na NATO ndiyo umefikia.


Kimya kingi kina mshindo, wao wanajidai kutamba sana hapo kama mandonga, watu wanawasikiliza na kuwatazama tu.
Sasa nani amelize ubabe wa USA Hamas au Hisbullah?? au Iran acha mahaba tumia akili bibi🤣🤣🤣🤣🤣🤣

Yaani hapo Hamas atatwangwa, Hisbullah atatwangwa, Iran atatwangwa na hakuna atakaye kohoa🤣🤣🤣🤣🤣🤣

USA bado ana nguvu kubwa sana hapa ulimwenguni, ila ukiwa mpenzi wa Parstoday Kiswahili aaah lazima uone Iran na Hisbullah pekee ndio wana nguvu na akili duniani🤣🤣🤣🤣
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…