johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 97,869
- 171,716
Hapa nakubaliana na weweKuna vitu havihitaji ushahidi hata wewe unajiongeza, Hamas walivamia Israel sababu walijua stock yao imekwisha, baadae uliona Israel anaomba silaha kutoka kwa collective west,
Kama biblia haikuhusu basi achana nayo maana hata wakristo hawahangaiki na kitabu ambacho hakiwahusu,sababu huku Kuna Yehova huko Kuna Allah ni Mungu tofauti kabisaBiblia ni andiko moja la kipumbavu sana.
Limejaa uongo na Utapeli.
Mungu hayupo.
Roho mtakatifu ni propaganda za kidini hizo.
Waligoma kwasababu Uganda siyo nchi yao.Jiulize kwanin baada ya vita vya Dunia ilitakiwa waje Uganda wakagoma.
Mbona swali la kipuuzi? Wataendaje nchi ambayo sio yao? Hawapo hapo kwa kubahatisha.Jiulize kwanin baada ya vita vya Dunia ilitakiwa waje Uganda wakagoma.
Wewe hujitambuhi, Ukraine ni former USSR so inataka itoke kwenye makucha ya Russia ili aje kwenye European Union braza okKwani ukraine pale hajawagusa.
Unasema Mungu hayupo, aliyepo ni Nani Sasa? Wewe hupaswi kuishi hata kwa dakika Moja zaidi mjaa laana.Biblia ni andiko moja la kipumbavu sana.
Limejaa uongo na Utapeli.
Mungu hayupo.
Roho mtakatifu ni propaganda za kidini hizo.
Hakuna ulazima wa kuwepo "Nani"Unasema Mungu hayupo, aliyepo ni Nani Sasa? Wewe hupaswi kuishi hata kwa dakika Moja zaidi mjaa laana.
Ukishaona Mungu huyo ana elezewa kwa utofauti, Na maandiko mawili yanayo tofautiana maelezo kumhusu Mungu huyo.Kama biblia haikuhusu basi achana nayo maana hata wakristo hawahangaiki na kitabu ambacho hakiwahusu,sababu huku Kuna Yehova huko Kuna Allah ni Mungu tofauti kabisa
Unapewa kitu, kama kitu hicho huna. Waisrael kwa nini wakapewe Uganda au nchi nyingine yoyote wakati nchi yao ya Israel, ipo?Jiulize kwanin baada ya vita vya Dunia ilitakiwa waje Uganda wakagoma.
Sina jibu jingine la kukupa,wwe kafunue koloani achana na bibliaUkishaona Mungu huyo ana elezewa kwa utofauti, Na maandiko mawili yanayo tofautiana maelezo kumhusu Mungu huyo.
Fahamu kwamba Mungu huyo ni mawazo na kazi za kibinadamu tu..
Ndio maana utofauti wa kumueleza hutokea, Kwa vile hayupo.
Quran na biblia vyote ni maandiko ya kutungwa na kusadikika sawa na Hekaya za Abunuwasi.Sina jibu jingine la kukupa,wwe kafunue koloani achana na biblia
Ukraine Kuna takriban asilimia 20 ya raia wa kiyahudi.Una ushahidi?
Lete uthibitisho kama mimi nilivyokupa
Embu acha kutudanganya hapa.Hivi hujui Russia inaiogopa Israel?
HIli huwezi kuliewa kirahisi.
ANajua fika akiigusa Israel Us na Ulaya nzima ameigusa
Wakati unasema hilo houthi Jana wamefyatua ballistic missiles Iranian made kwenda Israel US navy wakazi intercept na kama zingepita iron dome isingeweza kuzi intercept.Waziri Mkuu wa Israel amewaonya Iran amasema wawe Makini wameonywa kwa Kingereza na Biden lakin nayeye anawaonywa kwa Kiebrania.
View attachment 2784764
Usidanganye bwana bro .Mzee upo sahihi, Indians(Hindus) na waislamu hawapatani kabisa tena ni maadui, walipigana vita hadi ikaigharimu India kugawa part kubwa ya ardhi yake na kuwapa waislamu, ndo ile ardhi ya Pakistani, inawauma hadi leo kwa sababu wao sio wazawa wa pale walihamia tuu kutoka uarabuni Karne ya saba wakaanza kuwalazimisha kubadili dini na kuchoma Hindu temples, ndo maana hawawez kupatana.
Hao Hizbollah waingilie mara ngapi, Israel wameweka wazi hawataki matatizo nao ila wakiendelea basi nao litawakuta jambo.Wakati unasema hilo houthi Jana wamefyatua ballistic missiles Iranian made kwenda Israel US navy wakazi intercept na kama zingepita iron dome isingeweza kuzi intercept.
Kupigana tu na Hamas Israel imetoa mpaka jeshi la akiba je kama hizbollah ikiingilia?!!!!
Ile ni limited fire exchange ila hawaja engage full scale war.Hao Hizbollah waingilie mara ngapi, Israel wameweka wazi hawataki matatizo nao ila wakiendelea basi nao litawakuta jambo.