Wengi hawaelewi haya mambo kuna wanadhani kuwa vita vya Israel na Palestina ni vya kidini
Kwanza kwa msiojua ni kuwa Wapalestina wengi tu ni wakristo kama ilivyo Syria na Lebanon na Iraq kuna wakristo wengi tu
Kwanza tusisahau kuwa Yesu aliishi mahali hapo na alizaliwa hapo na ukristo ulimea mizizi hapo
Kingine huko Israel kuna waislam kibao tu waislam ni wengi huko Israel kuliko wakristo!!
Msisahau kuwa Uyahudi, Ukristo na Uislam ni dini tatu tofauti......
Kingine cha kufahamu ni kuwa hata Wayahudi wengi wanaunga mkono Palestine kwasababu wanafaham wanaoitawala Israel na walowezi wengi pale sio wayahudi bali ni wazayuni kutoka Ulaya!!
Ndo maana tokea mwanzo waarab na wayahudi waliishi vizuri tokea kale na hakukua na tatizo lolote
Shida ni hao wazayuni kutokea Ulaya
Ndo maana hata Iran na Hamas wanasema kila siku kuwa hawawachukii wayahudi wala hawatokuja kuwachukia bali wanaopambana nao ni Wazayuni aka wayahudi feki kutoka Ulaya waliolowea pale na kuchukua Ardhi zao!!
Ndo maana hatushangai kuona maelfu ya Wayahudi wakiandamana duniani wakiwa wameshikilia bendera za Palestina na kuilaani Israel na kusema kabisa kuwa Israel haiwawakilishi Wayahudi na kibaya zaidi wanatumia mgongo wa uyahudi kufanya wanayofanya kitendo ambacho kinauchafulia uyahudi jina.
Haya mambo usipoyaelewa utachoka sana!!Uyahudi ni dini inayoishi katika misingi mikali ya kidini na maadili lakini vipi wazayuni waliopo pale Israel wanafuata hayo?Ingekua ni taifa la kiyahudi na la kwenye maandiko wangeruhusu Ndoa za jinsia moja usagaji na kuwa makao makuu ya Ushoga duniani hapo Telaviv?
View attachment 2789044View attachment 2789045View attachment 2789046View attachment 2789047View attachment 2789049