LIVE Yanayojiri vita ya Israel dhidi ya Palestina na HAMAS

Live coverage on JamiiForums
Acha wachapwe tu,mbona hawawaachi mateka?

Ukorofi si mzuri.

Bado Lebanon wanawatunza Hezibolah na wanawaruhusu kuishambulia Israel
 
Kuna vile vitoto niliona vimefariki, miili yao vilionekana vimepitia wakati mgumu sana kabla ya mauti, iliniuma.

Vita wanaanzisha wengine, vitoto havina hili wala lile vinawaza kunywa na maziwa na kula pipi vinakuja kuunguzwa na moto mkali wa ma rockets.

Hii vita isimame, watoto Israel wanaumia na Palestine ndio zaidi.
 
vita sio ya kushabikia kabisa mpaka nawaza au hawa Israeli walifanya maksudi ili Hamas awachokoze wapate kisingizio cha kuanzisha vita !
Kuna tetesi kuwa Hamas iliungwa mkono na Wazayuni ili iwashinde Wasecular wa Fatah.

Kuna ujinga fulani kwenye Mafuvu ya Waarabu.
 
Shida ilianza pale waislam walivyosapot amas sikupendi. nikajiweka upande wa waliochokozwa wajilinde, sikujua kama watakuja kufanya haya ya sasa.

Ndomana nimetoa pole kwa waislam wote waliopongeza uvamizi
Waislamu waliosapoti Hamas waliguata mihemko na walifanya makosa ,pamoja na hayo haikupi wewe uhalali wa kushangilia vifo vya watu wasio na hatia .
 
Inasikitisha sana,vita siyo jambo la kuliombea kwa wale waliyo experience vita ama machafuko watakuwa wananielewa

Ova
 
Ndugu zangu.

Kwa kweli wayahudi wamedhamiria kuiondoa Amas katika uso wa Dunia.

Gaza inaenda kubadilika na kuwa kifusi.

Natoa pole kwa wapalestina na Waislam wote duniani. Allah awalinde wafuasi wake.
Pole toa kwa wote waislam wakristo Buddhist atheist etc,pale haipiganiwi dini kinachopiganiwa ni ardhi.
 
Ndugu zangu.

Kwa kweli Wayahudi wamedhamiria kuiondoa Hamas katika uso wa Dunia.

Gaza inaenda kubadilika na kuwa kifusi.

Natoa pole kwa wapalestina na Waislam wote duniani. Allah awalinde wafuasi wake.
subiri kwanza hadi waseme. bado.
 
Inasikitisha sana,vita siyo jambo la kuliombea kwa wale waliyo experience vita ama machafuko watakuwa wananielewa

Ova
Inasikitisha sana binadamu kufikia stage hii ,mtu anafanya kama football match waache wachapwe kama wanaopigwa ni Mende .

Hamas hawakufanya kitu kizuri na Israel unafanya unyama zaidi.
 
Binafsi hata "Evolution" kwangu ni Uongo.
We'll see if that's really true. Let's move on with our discussion.

Wanadamu hatuna mwanzo wala mwisho.
Can you prove it? Don't tell me again you do not have faith. At least it's an established fact now that you believe in something.

1. You cannot prove that God, Satan, eternity, afterlife, angels, heaven, etc. DONOT exist.

2. You cannot prove that life, our life as we know it, had no beginning. That's your faith now -- the only thing I wonder though is how strong it is. We are soon to find out.

Ukianza kuweka ulazima wa kwamba Dunia ina mwanzo, Basi hata Mungu lazima awe na chanzo.
That's illogical, at least mathematically speaking.

This is what you're basically saying:
^If Jasmoni has parents, then it must inevitably follow that Tegga has them too.^

I don't think it always works that way.

Mungu huyo anaye daiwa yupo, Hawezi kutokea tu, Ghala bin vuuuuh! From Nothing.
That's a big mistake there on your part.

God has nothing to do with a ^coming from nothing^ theory. That is what evolutions falsely teach you in school.

His very existence almost always defies all human logic. Why? Because He's God. He can never be confined within our limited, finite brain -- this includes the question of time and space that human mind often struggles to grasp.
 
Huwezi jua huwenda walifanya makusudi ili kupata sababu ya kuwafuta kabisa Hamasi na kuichukua Gaza subiri tuone mwisho wa vita
 
How did you know God exists?

Who told you God exists?

How did you know, God can never be confined with our limited finite brains?

If we cannot confine God with our limited finite brains, How did you know God exists?

Which "brain" did you use to know God exists?
 
Binafsi hata "Evolution" kwangu ni Uongo.

Wanadamu hatuna mwanzo wala mwisho.

Ukianza kuweka ulazima wa kwamba Dunia ina mwanzo, Basi hata Mungu lazima awe na chanzo.

Mungu huyo anaye daiwa yupo, Hawezi kutokea tu, Ghala bin vuuuuh! From Nothing.
Hivi ushawahi jiuliza kwanini unawaza hivyo?.
Alafu kama hakuna mungu kuna nini ?
Nijibu kwanza hayo naona unakitu nataka nijifunze kutoka kwako
 
Huwezi jua huwenda walifanya makusudi ili kupata sababu ya kuwafuta kabisa Hamasi na kuichukua Gaza subiri tuone mwisho wa vita
Unacha kujifunza Afghanistan na Iraq au pitia na vetnum war .icho kinachotafutwa hapo hakitaweza patikana
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…