LIVE Yanayojiri vita ya Israel dhidi ya Palestina na HAMAS

Live coverage on JamiiForums
Wakati wa ziara yake ya kutembelea msikiti mjini Toronto, Waziri Mkuu wa Canada amezomewa na hadhirina kotokana na msimamo wake kuhusu mauajii yanayoendelea kufanywa na utawala haramu wa Israel dhidi ya raia wa Ukanda wa Gaza huko Palestina ambako amepatwa na tahayuri asijue la kufanya.

Video iliyosambaa kwenye mitandao ya kijamii inamuonyesha Waziri Mkuu wa Canada, Justin Trudeau, akikabiliana na umati wa watu waliokuwa wakimzomea, huku baadhi ya waliohudhuria msikitini wakitoa nara: "aibu juu yako". Waandamanaji hao Wamewataka waandaaji wa mkutano huo wasimruhusu Justin Trudeau kuzungumza.

Pia, wakati Trudeau anatoka kwenye jengo la msikiti, alikumbana na waandamanaji waliokuwa na mabango yenye maandishi yanayowaunga mkono watu wa Palestina.

Ofisi ya Waziri Mkuu wa Canada ilitangaza baada ya tukio hilo kwamba: Trudeau alikuwa msikitini hapo kuhudhuria programu ya Jumuiya ya Kimataifa ya Waislamu ya Toronto ili eti kuonyesha uungaji mkono wake kwa jamii ya Waislamu ambao wameathiriwa na matukio ya kutisha katika Mashariki ya Kati. Waandamanaji waliokuwa eneo hilo wameitambua ziara hiyo ya Waziri Mkuu wa Canada eneo la msikiti wa Waislamu mjini Toronto kuwa ni unafiki na kukosa haya, hasa baada ya kutangaza uungano mkono wake kwa mauaji yanayoendelea kufanywa na Israel dhidi ya watu wa Gaza.

Waziri Mkuu wa Canada, Justin Trudeau, kama viongozi wengine wengi wa nchi za Magharibi, amewakasirisha Waislamu wa Canada na maeneo mengine ya dunia kwa kusema kuwa, Ottawa inaunga mkono haki ya Israeli ya kujilinda, wakati huu ambapo utawala huo ghasibu ukiendelea kuua raia wasio na hatia wa Gaza. Waziri Mkuu wa Canada ametoa matamshi hayo huko Israel ikiwa tayari imeua raia zaidi ya elfu nne wa Gaza.
 
Duh uchambuzi huu mbona kiboko?
Wakati wa ziara yake ya kutembelea msikiti mjini Toronto, Waziri Mkuu wa Canada amezomewa na hadhirina kotokana na msimamo wake kuhusu mauajii yanayoendelea kufanywa na utawala haramu wa Israel dhidi ya raia wa Ukanda wa Gaza huko Palestina ambako amepatwa na tahayuri asijue la kufanya.

Video iliyosambaa kwenye mitandao ya kijamii inamuonyesha Waziri Mkuu wa Canada, Justin Trudeau, akikabiliana na umati wa watu waliokuwa wakimzomea, huku baadhi ya waliohudhuria msikitini wakitoa nara: "aibu juu yako". Waandamanaji hao Wamewataka waandaaji wa mkutano huo wasimruhusu Justin Trudeau kuzungumza.

Pia, wakati Trudeau anatoka kwenye jengo la msikiti, alikumbana na waandamanaji waliokuwa na mabango yenye maandishi yanayowaunga mkono watu wa Palestina.

Ofisi ya Waziri Mkuu wa Canada ilitangaza baada ya tukio hilo kwamba: Trudeau alikuwa msikitini hapo kuhudhuria programu ya Jumuiya ya Kimataifa ya Waislamu ya Toronto ili eti kuonyesha uungaji mkono wake kwa jamii ya Waislamu ambao wameathiriwa na matukio ya kutisha katika Mashariki ya Kati. Waandamanaji waliokuwa eneo hilo wameitambua ziara hiyo ya Waziri Mkuu wa Canada eneo la msikiti wa Waislamu mjini Toronto kuwa ni unafiki na kukosa haya, hasa baada ya kutangaza uungano mkono wake kwa mauaji yanayoendelea kufanywa na Israel dhidi ya watu wa Gaza.

Waziri Mkuu wa Canada, Justin Trudeau, kama viongozi wengine wengi wa nchi za Magharibi, amewakasirisha Waislamu wa Canada na maeneo mengine ya dunia kwa kusema kuwa, Ottawa inaunga mkono haki ya Israeli ya kujilinda, wakati huu ambapo utawala huo ghasibu ukiendelea kuua raia wasio na hatia wa Gaza. Waziri Mkuu wa Canada ametoa matamshi hayo huko Israel ikiwa tayari imeua raia zaidi ya elfu nne wa Gaza.
 
Ni suala la mda hayo mahandaki yatafumuliwa yote na mtakuja kuleta thread humu tusubirie
 
Yaani kukamatwa mwanajezhi mmoka ama watatu katika vita unaona ni muujiza?!! Hivi unaijua vita wewe! Au wadhani ni mpira wa miguu huo?
Yaan ulidhani ushindi wa vita ni kuto kamatwa mateka wala kuuwa kwa jeshi la upande mmoja?
Iyo itakuwa bita au mmoja atapigwa bila kujibu
Hamasi wanajibu na kupigana kwa kuvizia some time wanajificha maeneo ya makazi ya raia ndo maana unaona tigua tigua inapigwa maeneo ya raia pia
Mnapowatetea hamasi waangalieni na Raia wao wako katika hatari gani
 
Ndio maana CCM wanaifanya na kuigeuza Bongo vyovyote wanavyotaka maana wanajua nchi imejaa mbumbumbu….[emoji2221]
Hapo nakukubari mkuu maana vichwa vya wabongo wengi ni kama wachawi
Wanafurahia mateso ya mtu bila sababu
 
Unachekesha. Yaani kumdaka askari 1 Hamas inakuwa habari ingine?
 
 
Waislam koko .........na waislaeli wa kimbiji wakitoana upepo........lakini hapa kuna cha kujifunza........nyie watu wa mnyaaaazi mnaumia wapi??
Waislam hawawezi kufurahi wakati waislam wezetu wasio na hatia wanakufa ndani ya Ghaza na Palestina

Ila wewe ndio tunakushangaa unafurahi Nini maana waisrael sio wakristo Wala hawaujui ukristo

The religious affiliation of the Israeli population as of 2022 was 73.6% Jewish, 18.1% Muslim, 1.9% Christian, and 1.6% Druze. The remaining 4.8% included faiths such as Samaritanism and Baháʼí,

Hiyo 2% hapo sio waisrael ila ni wageni kama wewe ukienda huko ndio unatengeneza hiyo 2%

Na Kwa taarifa yako majengo ambayo yamelipuliwa huko Jerusalem ni pamoja na makanisa
 
Wanapigana na jeshi lipi?Hilo jeshi lina silaha zipi za maana?Hilo jeshi ni namba ngapi duniani kinguvu?Umetumia nini kuwaza hata uwalinganishe wanamgambo wa Hamasi wasiokuwa na hata kifaru kimoja na jeshi kamili la nchi ya Ukraine?.

Magaidi ya dini yenu sio wanamgambo wa kawaida, huwa yanasumbua hata jeshi bora duniani, maana yameaminishwa kufa yakawahi mabikira, hivyo lazima utumie jinsi ya kuwaua bila wewe kufia humo, kumbuka hata Putin mnayemshabikia leo kuna kipindi alihangaika sana kuyaua.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…