Moisemusajiografii
JF-Expert Member
- Nov 3, 2013
- 43,960
- 77,533
Hawana baya.Walienda kurina asali ndiyo nyuki wanafanya yao.Wazazi wao wana ubaya gani???
Teampempaz wanaupiga mwingiiiiiiiiteamHamas mnajibu kinyonge sana
Pole sanaTutapiga vitukuu vya Ishmael mpaka maji viite mmaaa!
Pole sanaTangu lini waislamu mkawa na ukoo na mitume wa mayahudi.
Pole sanaNdoo maana sitakaa niseme free magaidi. Wenzao wakiuliwa na watu wao wanashangilia wakijibiwa wanaitafuta huruma ya dunia. Israel pelekea moto magaidi
Kwenye kijijini chenu, mdogo wako na vijana wengine wameenda kuvamia kijijini cha jirani, wameua na kuwachukua mateka na kuwaleta kwenye kijijini chenu.Wazazi wao wana ubaya gani???
Pole sanaKisheria za kiserikali wangesema ni Mbakaji.. [emoji38][emoji38][emoji38]
Pole sanaJuzi kati wakadanganya kuwa watu 500 wameuawa kwa mpigo ila asubuhi yake wakakuta hakuna jengo lililovunjwa sana sana ni corolla 5 zimewaka moto
Pole sanaSi mlishabikia walipoanzisha?
Vita haina macho, mkiwapenda hao ndugu zenu hameni vinginevyo wataendelea kuuliwa
Okay, kwa hiyo unakubali kwamba hao waarabu na huyo Iran hawana akili na mwenye akili ni Marekani, tukubaliane hapo kwanza.israel akifanya ground offensive kwenye vita hii atarudisha maeneo alochukua 1948, israel hawamtegemei Mungu tena wanamtegemea marekani, unawezaje ua watoto zuia chakula kwa raia wa kawaida, israel na marekani hawana uwezo wa kuwapiga mataifa ya middle east wakiungana ndio maana marekani amekua akihakikisha waarabu hawana umoja, yaani marekani hataki kabisa irani ahusike kwenye vita ambayo us atakuepo anajua moto wa drones na balistic missile za iran.
Pole wape palestina kulePole sana
Hizo pole kawape palestina kule wanapelekewa moto sio poaPole sana
Kwa hiyo unatuambia kuwa baba wa imani Ibrahimu kuwa Alizini pole sanaishmail mwenyewe ni mtoto haramu lakini Mungu alimtambua ndo mana mwamedi akazaliwa, kwa hiyo hata mwamedi ni mtoto wa nje ya ndoa
Hamna lolote hizo ni kelele tu, toka lini hao wanaojita Israel wakawa wakusema ukweli.
Kwanza nashangaa vipi waliruhusiwa kutumia jina la Mtume liwe inchi, wana lana kweli hawa, kutumia jina la Mtume ambaye hakuwahi kuasi wakaenda itwa hao walio laniwa jina lake.
Pole sanaUmeona hao watoto na wanawake?
Unataka kusema nini kwamba Gaza wanaoishi pale ni wanawake na watoto tu.
Acheni kuomba huruma ya Dunia[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Pole sanaMagaidi ya dini yenu sio wanamgambo wa kawaida, huwa yanasumbua hata jeshi bora duniani, maana yameaminishwa kufa yakawahi mabikira, hivyo lazima utumie jinsi ya kuwaua bila wewe kufia humo, kumbuka hata Putin mnayemshabikia leo kuna kipindi alihangaika sana kuyaua.
Sawa endelea na matusi mamako alikuzaa kwa kunywa maji si ndio..? Mpumbavu mkubwa ww unamtukana mzazi wangu anahusikaje hapa. Msenge mkubwa wewe. Ndio maana unavaa pedo kaoshe mataqo hayo yananuka kachambe ukasujibinue mataqo yapapaswe kule fala sana wewe. Na matusi utayala leo k#m@m@k0 🖕Sasa si ndo maana nimekuambia ya kuwa alimbaka mama yako ndo ukaziliwa ww tahira.
Hata hivyo usimlaumu mudi kwa sababu hakuna aliye mtuma mama yako awe mgawa nyapu hovyo hovyo akiwa bado mdogo, mbaya zaidi ww ulirithi tabia ya mama yako kwa sababu na ww umeanza kuliwa kudu lako ukiwa mdogo kama mama yako fala ww.
Pole sanaMbona bado sana!! Watakufa sana!! HAMAS, waache kutumia watu kama ngao yao, zamu hii wala hata asilimia kubwa ya dunia haiwaonei huruma hao Wapalestina, kwani huwezi kutumia mbinu ile ile ukategemea majibu tofauti!! Na kibaya zaidi zamu hii ni kama wao ndio wachokozi!!! Hao wenzao tu wa ukingo wa magharibi, wanawakataa hao Hams kwa ujinga wao.
Hii dunia aisee...!!Hawa jamaa wanashangaza sana. Hebu ona hapa anavyofurahia Hamas wanaporusha maroketi kwenda kupiga Israeli. Allahu Akbar za kutosha....
View attachment 2793794
Muone hapa anavyolia baada ya kukoswa koswa na makombora ya Israel walipojibu mapigo...Vita siyo lelemama. Natumaini watapata suluhisho la kudumu siku moja. Watauana na kuwindana hivi mpaka lini?
View attachment 2793795