Andika kwa utulivu mbona unaandika kwa jaziba 😂😂😂😂Hi miafrika ndio mana inatilisha aibu ngozi nyeusi, yani hata boga linaweza fahamu.
Sijui imedanganywa na nani Palestine ni Waislam tu wanaish
Mingine hata kanisa limevunjwa na Israel bado yanashangilia ukitaka kujua Ukristo ni unafiki hapo.
Yanasema Yesu kafa kwa ajili yao, yanasema Paulo alimuota Yesu mara alikuwa mwanafunzi wa Yesu hata kumuona Yesu hajamuona, alioteshwa na shetani
Hizo video ni propaganda tu,walishawahi toa edited video kuwa hamas wanachinja watoto ila kuchunguzwa hata BBC ilikiri kuwa ni fake news.kuna video kulee telegram znasambaa mazee dah! wale vijana wakitanganyika akina molel wananyanyasika kingono ...yale mapalestina yaskiee tuuu ....
Hamas hawajifichi katikati ya raia ndugu yangu,kwa watu waliouliwa na majumba yalolipuliwa hakuna mwana hamas ama silaha iliyopatikana na hata post za ufyatuaji maroketi ziko mbali na IDF wanapolipua.Hamas wangetoka zipigwe kuliko kujificha katikati ya raia na kulialia.Wakijitokeza kama wayukreni wanavyopambana head to head ningewaona wa maana.Tofauti na hapo wanajitekenya na kujichekesha
Lazima sababu miafrika na miyarabu sio wote lakini 85% ni mijinga sana 😢Andika kwa utulivu mbona unaandika kwa jaziba 😂😂😂😂
Duuh,kama movie aiseeHeartbreaking: Hamas terrorists now on foot in southern Israel, firing at Israelis!
View attachment 2786232
Hakuna hata mmoja aliyeguswa na wanakula chakula pamoja na watejaji wao hata hawa mateka walioachiwa wamethibitisha kwamba walikuwa well treated kama bimaadamu na hawakunyanyaswa kwa namna yoyote kitu ambacho media nyingi hazikutaka kusambaza zaidi na kuendelea kuwahojikuna video kulee telegram znasambaa mazee dah! wale vijana wakitanganyika akina molel wananyanyasika kingono ...yale mapalestina yaskiee tuuu ....
Wawape Lebanon,wazipige huko Kusini ambapo HEZBOLLAH yupo, kudivert attention, Kisha baada yahapo watajua nini Cha kufanya.
Mkuu naomba msaada jinsi ya hiyo App Nama ya kubadili LughaPunguza ushamba mm hiyo habari mm ndo nimeibadilisha kutoka kwenye kiswahili kwenda kiingereza kwa kutumia app ya kutafsiri lugha ili kila mtu aelewe.
Hata BBC sasa hivi wameripoti ya kuwa hiyo barabara iko wazi kwa sasa.
Alafu ww siulisha tuambia huna upande sasa inakuweje unaumia Wayahudi wakipewa kipigo?
Russia na Israel ni ndugu wa damu, mwaka 1948 Marekani na Russia ziliunga mkono kuanzishwa kwa Israel kwa kishindoHata hivyo Russia mwenyewe yupo vitani sidhani kama aingia kwenye vita mbili kwa kipindi kimoja
Wameingia mbona....Israel hamna kitu kabisa bila USA, Kwa walichofanya urusi Bakhamut Kwa nini inakua ngumu kuingia ground hapo GAZA wakati wanasapoti ya west wote?. Wanaogopa nini?.
Koran 5;51. Enyi waislamu! Msiwafanye Mayahudi na Wakristo kuwa ni marafiki......Wamewapongeza Hamas kwa ubinaadam na utu wanaounyesha ktk kipindi chote wanachoshikiliwa
Wamesema hapo mwanzo waliaminishwa kwamba wauchukue uislamu na waislam kwa jumla lkn wanaona utafauti mkubwa.
Waliingia jana wakarudishwa nyuma , leo tena wameingia kwa mujibu wa Aljazeera ila matokeo mpaka sasa hatu jayapata.Wameingia mbona....
Labda wanahofia maisha ya raia wao walio mateka yatakuwa hatarini.
Hao wanawadanganya na kuwatia ushujaa ambao hautawasaidia, Hamas wako kwenye mahandaki wao wako pale Cairo Egypt wanakula na kulala salama, ilitakiwa wawashauli Hamas waachie mateka na vita iishe Ili waangalie namna nyingine ya kudai haki zao, wakidai haki Kwa vita Gaza yote itaisha , itachukuliwa na Israel, wapalestina wasome alama za nyakati. Hakuna namna taifa la Israel litaondoka pale mashariki ya kati eti Wapalestina wapewe nchi yao. Wao wapatanishwe tu waishi Kwa pamoja ndani ya nchi moja , waheshimiane, wasitangulize dini zao za Uislam na uyahudi.Ujumbe wa Al-Azhar kwa muqawama Palestina: Nyinyi ni mashujaa, mnapigana na wanyama
Chuo Kikuu cha Al-Azhar cha Misri kimepongeza ujasiri na ushujaa wa wanamapambano na muqawama wa Palestina na kusema kuwa wanakabiliana na jeshi la kigaidi la kinyama.
Chuo Kikuu cha al-Azhar kimesema hayo katika ujumbe wake kwa vikosi vya muqawama katika Ukanda wa Gaza na kuwapongeza wanamuqawama wa Palestina kutokana na kusimama kwao kidete kutetea ardhi na nchi yao.
Kwa mujibu wa tovuti ya Rusiya Al-Yaum, sehemu moja ya taarifa ya Al-Azhar ikiwa taasisi ya juu zaidi ya kidini ya Sunni, inasema: "Pongezi na baraka kutoka kwa Mwenyezi Mungu kwa muqawama wa Palestina na watu wasio na hatia wa Gaza, ambao ni kielelezo cha fahari, uthabiti na subira."
Taarifa ya Chuo Kikuu cha Al-Azhar imeongeza kusema kuwa, "Salamu zikufikieni enyi mashujaa, ambao kwa imani yenu mlikabiliana na manowari za kivita, meli za kubeba ndege na washambuliaji wa ndege na kuzisimamisha bila ya woga au wasiwasi wowote."
Hawa walioandika huu ujumbe nao wanapigana au ndo wale wale, wanawaomba wenzao wapigane na kuuliwa huku wao wakiwacheka?Ujumbe wa Al-Azhar kwa muqawama Palestina: Nyinyi ni mashujaa, mnapigana na wanyama
Chuo Kikuu cha Al-Azhar cha Misri kimepongeza ujasiri na ushujaa wa wanamapambano na muqawama wa Palestina na kusema kuwa wanakabiliana na jeshi la kigaidi la kinyama.
Chuo Kikuu cha al-Azhar kimesema hayo katika ujumbe wake kwa vikosi vya muqawama katika Ukanda wa Gaza na kuwapongeza wanamuqawama wa Palestina kutokana na kusimama kwao kidete kutetea ardhi na nchi yao.
Kwa mujibu wa tovuti ya Rusiya Al-Yaum, sehemu moja ya taarifa ya Al-Azhar ikiwa taasisi ya juu zaidi ya kidini ya Sunni, inasema: "Pongezi na baraka kutoka kwa Mwenyezi Mungu kwa muqawama wa Palestina na watu wasio na hatia wa Gaza, ambao ni kielelezo cha fahari, uthabiti na subira."
Taarifa ya Chuo Kikuu cha Al-Azhar imeongeza kusema kuwa, "Salamu zikufikieni enyi mashujaa, ambao kwa imani yenu mlikabiliana na manowari za kivita, meli za kubeba ndege na washambuliaji wa ndege na kuzisimamisha bila ya woga au wasiwasi wowote."
Waiarabu ni wajinga pengine tunalingana sisi waafrika katika ujingaUjumbe wa Al-Azhar kwa muqawama Palestina: Nyinyi ni mashujaa, mnapigana na wanyama
Chuo Kikuu cha Al-Azhar cha Misri kimepongeza ujasiri na ushujaa wa wanamapambano na muqawama wa Palestina na kusema kuwa wanakabiliana na jeshi la kigaidi la kinyama.
Chuo Kikuu cha al-Azhar kimesema hayo katika ujumbe wake kwa vikosi vya muqawama katika Ukanda wa Gaza na kuwapongeza wanamuqawama wa Palestina kutokana na kusimama kwao kidete kutetea ardhi na nchi yao.
Kwa mujibu wa tovuti ya Rusiya Al-Yaum, sehemu moja ya taarifa ya Al-Azhar ikiwa taasisi ya juu zaidi ya kidini ya Sunni, inasema: "Pongezi na baraka kutoka kwa Mwenyezi Mungu kwa muqawama wa Palestina na watu wasio na hatia wa Gaza, ambao ni kielelezo cha fahari, uthabiti na subira."
Taarifa ya Chuo Kikuu cha Al-Azhar imeongeza kusema kuwa, "Salamu zikufikieni enyi mashujaa, ambao kwa imani yenu mlikabiliana na manowari za kivita, meli za kubeba ndege na washambuliaji wa ndege na kuzisimamisha bila ya woga au wasiwasi wowote."
Unadhani hawa ngozi nyeusi waliokatika fyuzi za upeo kihekima wanaelewa hivyo?Sometimes tuweni na akili kidogo, tusishabikie vita