Mzushi weweYes ni wazoefu wa hizi kazi [emoji116] viroba vya Wanamgambo wa Israel [emoji847]View attachment 2799630
Hezbollah infographic on the losses of the Israeli army on the Lebanese border:Mzushi wewe
UPDATE: Unconfirmed report.......Hii habari bado sijajiridhisha,nilikua na haraka sana kuipost, huwa najitahidi sana kuleta habari za kweli humu na huwa nahakikisha naleta habari za uhakika kabisa!!Na hii habari niliitoa kwenye source ya uhakika kabisa lakini mleta habari amesema binafsi kuwa anaifanyia uchunguzi kwanza na akaifuta!!....Hii ni hadi nijiridhishe kwanza nilikua fasta sana kupost hii habari humu, so hadi nijiridhishe....Mimi sio kama kina MK254 ambaye habari zake 95% anazoleta humu ni za uongo!!..........
hahaa na Hamas hawasong mbele , ila waislam sijui nan aliwarogaAisee hawa Muqawama wa Hamas ni balaa yaani unaambiwa wako fit kinoma.Israel hajafanikiwa kuua hata mmoja anabakia kuua raia na watoto wasio na hatia.Allahu akbar!
na ndo allah anakufundisha ujinga huo?Kinachokusumbua sio chuki tu bali Pampus ulizovaa zishajaa sasa zinakuwasha, badilisha pampas mkuu ulale!!
na mtoto anafanya nn hapo si tangazo lilitoka tyrSema akiuwa watoto..
kama hamas hawauliw mbona hao hamas hawasong mbele tangu trh 7 oct , hv waislam nan aliwaroga ?tatizo lake anaua raia na watoto ovyo ovyo hakuna atakayelalamika akiua Hamas
Ungeachana na hii makitu.......ushauri wa bureeeeSi haba…
kwamba trh 7 oct mlifuata sheria za vita kwa kuteka raia wema na kuua raia wema waliokuwa kwenye picnic , uislam na ushetan ni mapachaSasa ulitaka Hamas wakae tu ili wanajeshi wa Israel wawauwe?
Israel anacho ambiwa ni afuate sheria za vita na sio kupiga piga hovyo kama ni kupambana apambane na hamas awaangamize kama anavyo sema na sio kuuwa raia.
kama hamas hawaangamizw mbona hao hamas hawasongi mbele tng trh 7 oct ? hv waislam nan aliwaroga ?Akawaangamize Hamas kwenye uwanja wa mapambano, sio kwenda kupiga mabomu hospitali na mashule halafu anaishia kuua watoto na wanawake.
aya bisha na hapoPost za kweli sasa!!yaani kuna watumwa wa akili humu basi tu
kama haangamiz hamas na ni majengo tu yanabomolewa , kwann hamas hawasong mbele ? si hawaguswiAnaangamiz nani ww hujui sheria za vita unabomaoa majengo kwa kuwa uanmiliki tu drone
ww ni kilaza , na hiyo dini yako imekufanya msukuleUPDATE: Unconfirmed report.......Hii habari bado sijajiridhisha,nilikua na haraka sana kuipost, huwa najitahidi sana kuleta habari za kweli humu na huwa nahakikisha naleta habari za uhakika kabisa!!Na hii habari niliitoa kwenye source ya uhakika kabisa lakini mleta habari amesema binafsi kuwa anaifanyia uchunguzi kwanza na akaifuta!!....Hii ni hadi nijiridhishe kwanza nilikua fasta sana kupost hii habari humu, so hadi nijiridhishe....Mimi sio kama kina MK254 ambaye habari zake 95% anazoleta humu ni za uongo!!..........
waendelee kucheza na wakristo ambao ni wastaraabu ila kwa myaudi watashikishwa ukuta kwa sanaMtaandika andika lakini mwisho kichapo kiko pale pale, Wayahudi ni namba nyingine, mumezoea kuchinja Wakristo tunawachukulia poa, ila uzombi wa dini yenu uliwatuma kwa Wayahudi, wale wanalipua hadi mitoto na wasipate tabu, kuna video ukizitazama kule Telegram kama una moyo mwepesi utalia kwa mnachofanyiwa.
asingefanya hvyo asingekufa ?Aliyekua anachekelea vifo vya watoto huko Gaza, kuweka vibonzo na kukejeli na kushangilia vifo vya watoto huko Gaza kifo cha Gafla
Jamaa mmoja maarufu mitandao hususan huko X na mfuasi kindakindaki wa Israel wa mtandaoni aliyejipatia umaarufu kwa kuwacheka na kuwakejeli watoto wa Gaza na vifo vya wapalestina amefariki ghafla kwa Shambulizi la Moyo
Ni majuzi tu alitoka kupost mtoto wa Kipalestina aliyejeruhiwa vibaya kwa vita na kuandika maneno ya kejeli na kumuedit kwenye Tangazo la vipodozi huku akitia kejeli
Hili tukio lilisababisha hasira sana miongoni mwa maelfu huko hususan huko X akilaaniwa na kila mtu.
Amefariki kwa shambulizi la Ghafla la Moyo hii ndo inaitwa Karma kweli Mungu hachezewi, yuko wapi sasa?
Tujifunze sana kupitia hili.
View attachment 2799606View attachment 2799607View attachment 2799608View attachment 2799609View attachment 2799610View attachment 2799611