LIVE Yanayojiri vita ya Israel dhidi ya Palestina na HAMAS

LIVE Yanayojiri vita ya Israel dhidi ya Palestina na HAMAS

Live coverage on JamiiForums
Kasaidie maana kichapo kwa hamas ni funua funika gaza inageuzwa majivu,vichuguu na makaburi.Israel wametinga na anapigwa kwa juu,majini na ardhini
Hayajaanza leo wala jana, cha muhimu waliowekwa kambi ya mateso ya Gaza na wao wakipata upenyo wanafanya kweli.
 
Ukitafakar kwa kina binadamu wa africa masharik hasa wakitanzania ni wapumbavu, vichwa empty bora mbuzi ana akili kuliko sasa unashabikia wenzako wanavyouana na mmejitenga na makundi kufuraishana kwamba muislam vs mkristo hv wakuu mkosawasawa vichwani mwenu au dishi zimeyumba?? Dah aisee nyie watu matahila tena mafala,fuvck
 
Hamas walivyosema kwamba Gaza itakua ni kaburi la Wanajeshi wa Israel walikua hawatanii..Shambulizi moja tu wameuwa wanajeshi 67 wa Israel


#BREAKING Al-Qassam Brigades ambushed Israeli soldiers, captured 43 soldiers and killed 67 soldiers.

Source:Israel channel 14

Israeli media and Military sources confirming the Ambush but denied any captured soldier

As a result of the attacks of the Al-Qassam brigade, a unit of the Givati Brigade had to withdraw from the north of Gaza —
Palestinian Source

Source:Israel channel 14,Palestinian Source.

Verfied by: War intel page on XView attachment 2799534


UPDATE: Unconfirmed report.......Hii habari bado sijajiridhisha,nilikua na haraka sana kuipost, huwa najitahidi sana kuleta habari za kweli humu na huwa nahakikisha naleta habari za uhakika kabisa!!Na hii habari niliitoa kwenye source ya uhakika kabisa lakini mleta habari amesema binafsi kuwa anaifanyia uchunguzi kwanza na akaifuta!!....Hii ni hadi nijiridhishe kwanza nilikua fasta sana kupost hii habari humu, so hadi nijiridhishe....Mimi sio kama kina Mk254 ambaye habari zake 95% anazoleta humu ni za uongo!!..........
Wewe ni muongo zaidi ya huyo umsemaye, nyie wenye upande kwenye hivi vita mnachekesha sana, hiyo chanel unayosema imetoa taarifa ya wanajeshi wawili na majina yao wameuawa na wawili wamejeruhiwa so naona unaendeleza kuadd namba kama kawaida yenu

Wewe kwa akili yako unafikiri Hamas wanao uwezo wa kusimama kukipiga na Israel? wanachokifanya Hamas uoga tu wamejificha wanasakwa nyumba to nyumba ni mahafa makubwa ndani ya Gaza yaan nyie pro-Iran ndio mmeleta haya madhila kwa Gaza

Endeleeni kuvimba nyuma ya watoto, wanawake, wazee na mahospitalini ila watu wa Gaza ndio wanaangaika wanapigwa kipigo cha hatari, hakika sio haki cheki bomu iliyodondoshwa jana jabalia refugee camp, ni kumuua kamanda wa Hamas lakin je ameondoka na wangapi?? swali kwako

Najiuliza huyo kamanda alifuata nini jabalia camp? Hamas wanaongelea chini ya ardhi kama panya, je nani anawapa wakati wanasakwa ardhini kwenye andaki zao? Hamas ni tatizo na hawana uwezo wa kukipiga na Israel let wait and see
 
UPDATE: Unconfirmed report.......Hii habari bado sijajiridhisha,nilikua na haraka sana kuipost, huwa najitahidi sana kuleta habari za kweli humu na huwa nahakikisha naleta habari za uhakika kabisa!!Na hii habari niliitoa kwenye source ya uhakika kabisa lakini mleta habari amesema binafsi kuwa anaifanyia uchunguzi kwanza na akaifuta!!....Hii ni hadi nijiridhishe kwanza nilikua fasta sana kupost hii habari humu, so hadi nijiridhishe....Mimi sio kama kina MK254 ambaye habari zake 95% anazoleta humu ni za uongo!!..........
Una taarifa nyingi za uongo.

Sent from my SM-A6050 using JamiiForums mobile app
 
unamwambia mtu atoke kwake anatoko anaenda kukaa kwenye jengo la hospitali unapiga bomu hospitali ndiyo maana nakuambia acha ushabiki mandazi.
Hivi Gaza watoto ndio wanaoishi? watoto ndio wenye mji Gaza? acha muawawe wajinga sana, mlipewa tangazo mkajidai et nyieni ni Hamas wacha waone na wakipate, huyu Ritz na Kimsboy hawa hawana nia njema na watu wa Gaza

Najiuliza mikwara yote ya Iran ameshindwa nini kuingia vitani? Iran ni tatizo na lengo lake ni kupunguza nguvu Israel kwa kuunda makundi ila anachokiona ni shida, Israel ni wababe ila tuwaombee watu Gaza make sio wote walienda kubaka Israel
 
Kuna wakati najiuliza kwanini Mungu akaenda kuwaweka wapalestina jirani na Israel?

Inawezekana alijua kabisa hawa jamaa watakuwa wachokozi, dawa yao ni kuwaweka karibu na mwenye nguvu ili awatandike vizuri, hakuna jambo lolote linalotokea hapa duniani kwa bahati mbaya ndugu zangu, yote ni mipango.

Ndio maana hata Prime Minister wa Egypt nae anakataa kuwaruhusu wakimbizi toka Palestina kuingia nchini kwao, wanafahamu wapalestina ni wachokozi, kaa nao mbali, matokeo yake sasa .....
View attachment 2799852
 
Aliyekua anachekelea vifo vya watoto huko Gaza, kuweka vibonzo na kukejeli na kushangilia vifo vya watoto huko Gaza kifo cha Gafla

Jamaa mmoja maarufu mitandao hususan huko X na mfuasi kindakindaki wa Israel wa mtandaoni aliyejipatia umaarufu kwa kuwacheka na kuwakejeli watoto wa Gaza na vifo vya wapalestina amefariki ghafla kwa Shambulizi la Moyo

Ni majuzi tu alitoka kupost mtoto wa Kipalestina aliyejeruhiwa vibaya kwa vita na kuandika maneno ya kejeli na kumuedit kwenye Tangazo la vipodozi huku akitia kejeli

Hili tukio lilisababisha hasira sana miongoni mwa maelfu huko hususan huko X akilaaniwa na kila mtu.

Amefariki kwa shambulizi la Ghafla la Moyo hii ndo inaitwa Karma kweli Mungu hachezewi, yuko wapi sasa?

Tujifunze sana kupitia hili.

View attachment 2799606View attachment 2799607View attachment 2799608View attachment 2799609View attachment 2799610View attachment 2799611
allah akbarr!!!! na waliocheka watoto wa Israel na kurekodi mateso yao na mauaji yao pamoja na kubakwa live na kurusha mitandao nao leo wanakipata cha moto, wanaishi shimoni kama nguchiro aise maisha haya acha tu kimsboy mwambie mungu wako ayatollah ajifunze.

Umeshindwa kuweka picha ya Mama Samia kwenye avatar yako au hata ya baba yako ila umeweka ya mungu wenu anayeua kila kona ya middle east dah umesahau watanzania waliotekwa na Hamas kisa et ni wakristo dah tujifunze usemavyo mnafiki mkubwa wewe
 
allah akbarr!!!! na waliocheka watoto wa Israel na kurekodi mateso yao na mauaji yao pamoja na kubakwa live na kurusha mitandao nao leo wanakipata cha moto, wanaishi shimoni kama nguchiro aise maisha haya acha tu kimsboy mwambie mungu wako ayatollah ajifunze.

Umeshindwa kuweka picha ya Mama Samia kwenye avatar yako au hata ya baba yako ila umeweka ya mungu wenu anayeua kila kona ya middle east dah umesahau watanzania waliotekwa na Hamas kisa et ni wakristo dah tujifunze usemavyo mnafiki mkubwa wewe
Umepiga za uso mkuu.
 
Ha ha ha, watu wabaya wapo kwenye kila Jamii ya kidunia, the one who grab a black, ni kama mkosaji mwingine au muhalifu yoyote,
Nadhani dunia itunge sheria ya ni marufuku nchi kuivamia/kuishambulia, ghafla nchi nyingine, na hilo litakapotokea basi dunia ikemee na nchi chokozi iadhibiwe kwa kushambuliwa, ikaliwe kiuongozi, na kijeshi.
 
Back
Top Bottom