WrestlerRSF254
JF-Expert Member
- Jan 30, 2023
- 1,196
- 2,012
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣 huyo hamna kitu ni muongo na taarifa zake zote ni za uongoFunny Russia hajui idadi ya askari wake waliokufa huko Ukraine ila yupo busy na vifo vya askari wa IDF
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣 huyo hamna kitu ni muongo na taarifa zake zote ni za uongoFunny Russia hajui idadi ya askari wake waliokufa huko Ukraine ila yupo busy na vifo vya askari wa IDF
WAISLAMU NA WAARABU WANAJITAHIDI NA FEKI NYUZI KUWACHAFUA WAYAHUDI LAKINI HAIWEZEKANI MAANA BINADAMU TUNAZO AKILI TIMAMU.Huu ni wakati wa Serikali ya Tanzania kuvunja mahusiano na Israel haraka sana kwa yanayoendelea huko Gaza!!
Huko nyuma tuliwahi kusema kuwa "kila mtu anastahili haki ya kutambuliwa na kuthaminiwa utu wake". Pia tulisema kwamba kila watu wana haki ya kuwa na mahali ambapo watakuwa salama kutoka vitisho vyovyote vya utu wao na nafasi yao kama jamaa.
Tokea enzi za Nyerere tuliamini ya kwamba hakuna mwanadamu mwingine ambaye ana haki ya kumtawala kwa nguvu mwanadamu mwingine kwa kisingizio chochote kile. Hii ilikuwa ni falsafa yetu dhidi ya ukoloni.
Leo hii tunashuhudia yanayoendelea Palestina ambapo karibu maelfu ya watu wameshauawa. Je, Bunge linapokutana siku chache zijazo zilaani mauaji hayo? Je, serikali ilaani pande zote mbili kwa kusababisha mazingira ambayo yanamnyima mwanadamu nafasi ya kuwa huru kufanya lolote? Tunapaswa tuungane na nchi nyingine mfano Bolivia ambazo zimevunja uhusiano na Israel kutokana na suala la Gaza
Hatuwezi kuendelea kulisapoti taifa la kigaidi ambalo lina mchango mkubwa wa ubaguzi wa Rangi na.ambalo limeshiriki kuwaangamiza Waafrika wengi mfano wakati wa makaburi walitoa misaada ya kila aina kwa makaburu ili waendelee kuwauwa watu weusi kule Africa ya kusini bado zile cases za waafrika waethiopia kufungwa vizazi wasizae kwa nguvu!
Kwa yanayoendelea naiomba serikali ivunje uhusiano mara moja na huu utawala katili wa Israel View attachment 2799632View attachment 2799631View attachment 2799633View attachment 2799634
Acheni ni uongo Israel wanawakaza kinoma hao Hizbullah, na hawana uwezo wowote wa kumsumbua IDF make moto wanaokipata ni zaidiHezbollah infographic on the losses of the Israeli army on the Lebanese border:
- 1 UAV
- 2 armored vehicles
- 2 Humvees
- 9 tanks (damaged or destroyed)
- 17 SIGNIT devices
- 27 reconnaissance devices
- 33 radars
- 120 soldiers wounded and killed
- 144 security cameras
The removal of tracking systems on the Lebanese-Palestinian border could simplify the offensive actions of infantry forces in the future.View attachment 2799635
Wewe umeona wazayuni tu?Hawa wazayuni ushetani wanaofanya huko shetani mwenyewe akasome
Rajab allah akbarrr!!! wewe ni muongo kuna jamaa amesema kwamba ukiwa muislam hata umesoma ila ujinga ni lazma, mlijidanganya na allah akbar leo mnakipata Israel waje hadi huku kwetu kuwatafuta magaidi wapo wwngiYes ni wazoefu wa hizi kazi [emoji116] viroba vya Wanamgambo wa Israel [emoji847]View attachment 2799630
Israel ni Taifa la Mungu, labda ungeshauri tutume Jeshi likawasaidie kupiga hao wahaini. Nakwambia hivi Israel itazidi kubarikiwa na haitoanguka,anayejaribu kuiangusha ataanguka yeye. Ailaaniye atalaaniwa,aibarikiye atabarikiwa.Huu ni wakati wa Serikali ya Tanzania kuvunja mahusiano na Israel haraka sana kwa yanayoendelea huko Gaza!!
Huko nyuma tuliwahi kusema kuwa "kila mtu anastahili haki ya kutambuliwa na kuthaminiwa utu wake". Pia tulisema kwamba kila watu wana haki ya kuwa na mahali ambapo watakuwa salama kutoka vitisho vyovyote vya utu wao na nafasi yao kama jamaa.
Tokea enzi za Nyerere tuliamini ya kwamba hakuna mwanadamu mwingine ambaye ana haki ya kumtawala kwa nguvu mwanadamu mwingine kwa kisingizio chochote kile. Hii ilikuwa ni falsafa yetu dhidi ya ukoloni.
Leo hii tunashuhudia yanayoendelea Palestina ambapo karibu maelfu ya watu wameshauawa. Je, Bunge linapokutana siku chache zijazo zilaani mauaji hayo? Je, serikali ilaani pande zote mbili kwa kusababisha mazingira ambayo yanamnyima mwanadamu nafasi ya kuwa huru kufanya lolote? Tunapaswa tuungane na nchi nyingine mfano Bolivia ambazo zimevunja uhusiano na Israel kutokana na suala la Gaza
Hatuwezi kuendelea kulisapoti taifa la kigaidi ambalo lina mchango mkubwa wa ubaguzi wa Rangi na.ambalo limeshiriki kuwaangamiza Waafrika wengi mfano wakati wa makaburi walitoa misaada ya kila aina kwa makaburu ili waendelee kuwauwa watu weusi kule Africa ya kusini bado zile cases za waafrika waethiopia kufungwa vizazi wasizae kwa nguvu!
Kwa yanayoendelea naiomba serikali ivunje uhusiano mara moja na huu utawala katili wa Israel View attachment 2799632View attachment 2799631View attachment 2799633View attachment 2799634
Kwani hao waarabu wa gaza September 07 hawakufanya unyama?Dini zimepumbaza watu. Israel wanafanyia watu unyama usio na mfano lakini dini zimepumbaza watu hawataki kuliona hilo, wanakesha wakiiombea Israel wakati mungu mwenyewe ameshindwa kuilinda Israel.
Mungu mwenyezi uwezo wa kuilinda Israel hana halafu mijitu mipumbavu inakesha kuiombea Israel na inapeleka maombi kwa huyo huyo mungu asie na uwezo wowote wa kuilinda Israel yake, hizi ni akili ama mavi?
Unakuja lijitu ligogo ama lihehe la huko iringa limeshindwa 'kuwaombea' (kitu kinaitwa maombi hakina msaada wowote kwenye maisha ya binaadam) wangoni ama wahehe wenzie, anakesha na kufunga kuiombea Israel na unakuta anatembea na bendera ya Israel kwenye gari ama nyumba yake.
Dini ni utapeli kama utapeli mwingine kitu kinachoitwa Mungu hakipo na wala hakina uwezo wowote wa kufanya chochote.
Jamaa huyu alikua anashangilia na kuleta nyuzi kibao humu 🤣🤣🤣Punguza unafiki, Hamas walipo invade Israel wewe ulikuwa mmoja wa watu walioshangilia. Anacho fanya Israel ni kutoa SoMo kwamba siku nyingine Hamas Akirudia yatamtokea makubwa. Halafu Hamas inawapelekesha wapalestina wa Gaza, so Israel ni kama anataka kuwakomboa.
Kanya kuku kanya, kanya bata kaharisha 😁😁😁WAISLAMU NA WAARABU WANAJITAHIDI NA FEKI NYUZI KUWACHAFUA WAYAHUDI LAKINI HAIWEZEKANI MAANA BINADAMU TUNAZO AKILI TIMAMU.
NB : Walichokifanya hamas September 07 walitegemea wayahudi watawachekea na kuwakenulia meno?
Mkuki kwa nguruwe mtamu ila kwa binadamu mchunguKanya kuku kanya, kanya bata kaharisha 😁😁😁
Mkono wa Mungu uwe juu yako na ghadhabu ya Mungu iwake juu yake mpaka ukiri kuwa yupo Mungu akupaye pumzi hii bure. Mungu anakuhitaji,tena wewe utakuwa Mwalimu mzuri sana kufundisha wengine.Dini zimepumbaza watu. Israel wanafanyia watu unyama usio na mfano lakini dini zimepumbaza watu hawataki kuliona hilo, wanakesha wakiiombea Israel wakati mungu mwenyewe ameshindwa kuilinda Israel.
Mungu mwenyezi uwezo wa kuilinda Israel hana halafu mijitu mipumbavu inakesha kuiombea Israel na inapeleka maombi kwa huyo huyo mungu asie na uwezo wowote wa kuilinda Israel yake, hizi ni akili ama mavi?
Unakuja lijitu ligogo ama lihehe la huko iringa limeshindwa 'kuwaombea' (kitu kinaitwa maombi hakina msaada wowote kwenye maisha ya binaadam) wangoni ama wahehe wenzie, anakesha na kufunga kuiombea Israel na unakuta anatembea na bendera ya Israel kwenye gari ama nyumba yake.
Dini ni utapeli kama utapeli mwingine kitu kinachoitwa Mungu hakipo na wala hakina uwezo wowote wa kufanya chochote.
Wewe punguani kweli basha wako wanarusha mabomu hivyo wanabomoa nyumba mashule hospital hilo tangaza unalosema unataka raia wa Palestina waende wapi? Acha ushoga wewe wanarusha mabomu mpaka kwenye kambi za wakimbizi.Hivi Gaza watoto ndio wanaoishi? watoto ndio wenye mji Gaza? acha muawawe wajinga sana, mlipewa tangazo mkajidai et nyieni ni Hamas wacha waone na wakipate, huyu Ritz na Kimsboy hawa hawana nia njema na watu wa Gaza
Najiuliza mikwara yote ya Iran ameshindwa nini kuingia vitani? Iran ni tatizo na lengo lake ni kupunguza nguvu Israel kwa kuunda makundi ila anachokiona ni shida, Israel ni wababe ila tuwaombee watu Gaza make sio wote walienda kubaka Israel
Unaandika uharo tu.Wewe ni muongo zaidi ya huyo umsemaye, nyie wenye upande kwenye hivi vita mnachekesha sana, hiyo chanel unayosema imetoa taarifa ya wanajeshi wawili na majina yao wameuawa na wawili wamejeruhiwa so naona unaendeleza kuadd namba kama kawaida yenu
Wewe kwa akili yako unafikiri Hamas wanao uwezo wa kusimama kukipiga na Israel? wanachokifanya Hamas uoga tu wamejificha wanasakwa nyumba to nyumba ni mahafa makubwa ndani ya Gaza yaan nyie pro-Iran ndio mmeleta haya madhila kwa Gaza
Endeleeni kuvimba nyuma ya watoto, wanawake, wazee na mahospitalini ila watu wa Gaza ndio wanaangaika wanapigwa kipigo cha hatari, hakika sio haki cheki bomu iliyodondoshwa jana jabalia refugee camp, ni kumuua kamanda wa Hamas lakin je ameondoka na wangapi?? swali kwako
Najiuliza huyo kamanda alifuata nini jabalia camp? Hamas wanaongelea chini ya ardhi kama panya, je nani anawapa wakati wanasakwa ardhini kwenye andaki zao? Hamas ni tatizo na hawana uwezo wa kukipiga na Israel let wait and see
Ww ni mpumbavu unasema hamas wako chini ya ardhi alafu wakati huo unasema wanashambulia majumba ili watoke sasa majumba na mahandaki yana uhusiano gani?Nilishasema sana huku ila kwa kuwamnaongozwa na ushabiki siyo uhalisia, ndiyo maana mnaona vita ni kama kuchota maji mtungini na kunywa na kisha kumwaga yaliyobaki.
Vifo na majeruhi na kutekwa ni matokeo ya vita hasa vita ya kuvizia.
Vita ambayo adui yupo chini ya ardhi, anatoka tu pale anapotaka kutekeleza shambulizi.
Na kwa sasa ni hatari sana kwa Israel,kwa kuwa wapo katikati ya adui.
Ila mwisho wa siku lazima wa kushindwa awepo. Tulipogigana na adui anaeonekana juu ya ardhi lakini ndani ya ardhi yake tulishinda ila kwa hasara kubwa .
Hii vita Israel ataishida ila kwa hasara kubwa ,vifo vingi na majeruhi wengi.
Kuendelea kuvunja majumba ni kujaribu kuharibu maficho ya adui, mwisho wa siku adui ataonekana waziwazi na hapo ndipo atakaposhindwa.
Israel haishambulii watoto na wanawake kama mnavyodai kwa kutaka,ndiyo maana waliambiwa waondoke , lakini Hamasi kwa kujua ,kuondoka kwa raia katika maeneo hayo kuna athari kubwa kwao wakawazuia wasiondoke.matokeo yake ni hayo ya kufa.
Vita si nzuri hata kidogo.
BAKWATA mpo na huku?Huu ni wakati wa Serikali ya Tanzania kuvunja mahusiano na Israel haraka sana kwa yanayoendelea huko Gaza!!
Huko nyuma tuliwahi kusema kuwa "kila mtu anastahili haki ya kutambuliwa na kuthaminiwa utu wake". Pia tulisema kwamba kila watu wana haki ya kuwa na mahali ambapo watakuwa salama kutoka vitisho vyovyote vya utu wao na nafasi yao kama jamaa.
Tokea enzi za Nyerere tuliamini ya kwamba hakuna mwanadamu mwingine ambaye ana haki ya kumtawala kwa nguvu mwanadamu mwingine kwa kisingizio chochote kile. Hii ilikuwa ni falsafa yetu dhidi ya ukoloni.
Leo hii tunashuhudia yanayoendelea Palestina ambapo karibu maelfu ya watu wameshauawa. Je, Bunge linapokutana siku chache zijazo zilaani mauaji hayo? Je, serikali ilaani pande zote mbili kwa kusababisha mazingira ambayo yanamnyima mwanadamu nafasi ya kuwa huru kufanya lolote? Tunapaswa tuungane na nchi nyingine mfano Bolivia ambazo zimevunja uhusiano na Israel kutokana na suala la Gaza
Hatuwezi kuendelea kulisapoti taifa la kigaidi ambalo lina mchango mkubwa wa ubaguzi wa Rangi na.ambalo limeshiriki kuwaangamiza Waafrika wengi mfano wakati wa makaburi walitoa misaada ya kila aina kwa makaburu ili waendelee kuwauwa watu weusi kule Africa ya kusini bado zile cases za waafrika waethiopia kufungwa vizazi wasizae kwa nguvu!
Kwa yanayoendelea naiomba serikali ivunje uhusiano mara moja na huu utawala katili wa Israel View attachment 2799632View attachment 2799631View attachment 2799633View attachment 2799634
we mpumbavu kafanye kazi usaidie ukoo wako kupunguza ufukara ukiendelea hivi mtaendelea kuwa mafukara. Ulihangaika sn na DP World kwa uzushi na upotoshaji sasa hivi umehamia mpk kwenye nchi za watu. We unaumwa siyo bure, nani anakulipa.Huu ni wakati wa Serikali ya Tanzania kuvunja mahusiano na Israel haraka sana kwa yanayoendelea huko Gaza!!
Huko nyuma tuliwahi kusema kuwa "kila mtu anastahili haki ya kutambuliwa na kuthaminiwa utu wake". Pia tulisema kwamba kila watu wana haki ya kuwa na mahali ambapo watakuwa salama kutoka vitisho vyovyote vya utu wao na nafasi yao kama jamaa.
Tokea enzi za Nyerere tuliamini ya kwamba hakuna mwanadamu mwingine ambaye ana haki ya kumtawala kwa nguvu mwanadamu mwingine kwa kisingizio chochote kile. Hii ilikuwa ni falsafa yetu dhidi ya ukoloni.
Leo hii tunashuhudia yanayoendelea Palestina ambapo karibu maelfu ya watu wameshauawa. Je, Bunge linapokutana siku chache zijazo zilaani mauaji hayo? Je, serikali ilaani pande zote mbili kwa kusababisha mazingira ambayo yanamnyima mwanadamu nafasi ya kuwa huru kufanya lolote? Tunapaswa tuungane na nchi nyingine mfano Bolivia ambazo zimevunja uhusiano na Israel kutokana na suala la Gaza
Hatuwezi kuendelea kulisapoti taifa la kigaidi ambalo lina mchango mkubwa wa ubaguzi wa Rangi na.ambalo limeshiriki kuwaangamiza Waafrika wengi mfano wakati wa makaburi walitoa misaada ya kila aina kwa makaburu ili waendelee kuwauwa watu weusi kule Africa ya kusini bado zile cases za waafrika waethiopia kufungwa vizazi wasizae kwa nguvu!
Kwa yanayoendelea naiomba serikali ivunje uhusiano mara moja na huu utawala katili wa Israel View attachment 2799632View attachment 2799631View attachment 2799633View attachment 2799634
Jamaa punguani kweli lakini sishangai akili za mashoga huwq zipo hivyo zaidi ya mabasha zake watu wengine kwake hawana thamani.Ww ni mpumbavu unasema hamas wako chini ya ardhi alafu wakati huo unasema wanashambulia majumba ili watoke sasa majumba na mahandaki yana uhusiano gani?
Alafu unacho takiwa kujua Israel kuuwa watu makusudi ni jambo la kawaida kabisa kwake huna haja ya kuwatetea hapa, kwasababu huko west bank anauwa maelfu ya wapalestina kila mwaka na kuwafukuza kwenye nyumba zao hali ya kuwa hawana silaha.